Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Huyu mwamba anaitwa Ramsdale.

Hadi sasa hana kombe lolote hata kombe la kawaha huko arse8
Ameona isiwe noma,ajiunge nami kupooza koo na fanta OrangeView attachment 2950692
Unajua kwa nini anapooza koo?
..

Wababe wa ligi tukitoa Ramsdale tunaweka Raya. Waswahili wanasema 'toa chuma, weka chuma'. Na bado next season tutaongeza vyuma vingine sekta mbali mbali. Watu wataelewa kwa nini mkorea anasemaga 'watu wataita maji mma' na 'timu hazitaingia uwanjani'
 
Urafiki gani wakati tukipoteza mnafurahia
 
Hatufurahi ni ile kuchekelea kidogo kama ukimuona rafiki yako ameteleza na kuanguka ila hajaumia
Nyeusi it's nyeusi...nyeupe ni nyeupe...sasahvi ni kuwaombea njaa Hawa kuku videri...na watateleza tu...Manyumbu kwny hili yatatusaidia hiyo j2🀠🀠
 
β—Ό Liverpool injury updates

πŸ”΄ Alison Becker, Trent Alexander Arnold, Diogo Jota hawa wanarudi mazoezini wiki hii

πŸ”΄ Ibrahima Konate alichelewa siku ya mwisho ya mazoezi kuelekea mchezo na Brighton hivo hakuweza kutumika,

πŸ”΄ Curtis Jones tayari amerejea zoezini tangu wiki iliopita, Andy Robertson alipata maumivu ya Enka akiwa na Scotland lkn Klopp anasema sio serious na atarejea wiki hii zoezini

πŸ”΄Stefan Bajcetic kijana ataendelea kupata fitness katika kikosi cha Liverpool U21 na badae atarejeshwa timu ya wakubwa kuendelea pale alipo ishia

➑ Kiufupi nikwamba wachezaji wote muhimu wa Liverpool waliokuwa majeruhi wame rejea rasmi kuipambania Liverpool kasoro tu Thiago Alcantara ambae muda wake rasmi hauja tajwa
 
Hebu waambie waonyeshe vikombe vyao walivyopata mwaka huu
Hata vya kahawa kama vipo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…