HENRY14
JF-Expert Member
- May 13, 2021
- 2,952
- 5,583
Relax mkuu. Mko 2 points mbele. Au umesahau kuwa 2 points ni muhimu kuliko GD? Mnataka mmpige Sheffield wa watu nyingi wakati tayari maisha yake magumu kinoma?Next ni SHEFFIELD UTD tunahitaji kuwa more clinical zaidi kwenye attacker, Ni lazima tupunguze GD yetu na Arsenal GD ya +6 ni nyingi sana.