Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Relax mkuu. Mko 2 points mbele. Au umesahau kuwa 2 points ni muhimu kuliko GD? Mnataka mmpige Sheffield wa watu nyingi wakati tayari maisha yake magumu kinoma?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Yule mwamba Jurrien Timber namkubali sana mlipata chuma aisee
 
Vipi. Bado tuko pamoja kumkimbiza Kipara au leo mtapigwa na Sheffield na kutuachia sisi hii kazi tuifanye wenyewe?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…