Kapige mswakiNyunyu kuku broiler Leo ndio mwanzo wa kupoteana
Mtanyeshewa mvua ya magoli na ile mijitu ya madrd
Jumapili anakuja haland anawaweka pakt
Baada ya hapo mtapoteana
Bingwa was EPL Ni arsenal
Pimbi nyieπ€£π€£π€£
Kuna sababu jamaa pamoja na kuanza msimu kwa kuyumba bado wamiliki wana imani nae na ukizingatia wameuza ku balance vitabu na pia walibet vimbaya kununua wachezaji ambao hawajawasaidia sana.Captain Marvelous eehh Bwana Oβneil amepata suluhisho la kufunga. Last two matches win 2/2, conceded 1, & scored 5, 1 cleansheet,.
Home vs Sβton
Away vs Fulham.
Jamaa amemsulubu Fulham pale Craven Cottage 1-4,
Its a nice turn up best of luck to them. Napenda wanavyocheza jamaa, mpira mksubwa sanaa.
Cunha n Larsen wamnetengeneza sssi nzuri sana
TaKnow You Can.
Ynwaβ
Pound for pound goals... Hit em Moo Salah... π₯ π₯ π₯ π₯ π₯Mohamed Salah's goals & assists have been worth 17 points to Liverpool this season, the most of any player in the division. Without them, Chelsea would lead the league table, and Liverpool would be 13th.π€―
View attachment 3162061
πππUle msimu Deeny na Sarr wanafanya yao that beating was coming bro yaaani the signs were there every game we could see how boys had that aura kwamba we are unbeatable kumbe its was a slim hope we were to beat Wenger record..Ila Mourinho ana records zake ngumu ngumu na nyingi zimekaa kudefend zaidi as a team and as individual. Concede 15 goals per season hii kuvinja kwa modern football sio kazi rahisi. Kama ile Invicible ya Wenger, japo Klopp tried alot only remained with one match achukue invicible all of a sudden Watford wakagoma, tukapigwa 3 saaaafi.
Ynwaβ
π€£ π€£ π€£ π€£ π€£ π€£ π€£ Hatukua contenders especially kwa bookies hivyo tuna enjoy mpira aisee. Wachezaji hawana presha wana utulivu maana hata hao bookies walituweka nafasi ya 3 mpaka 5 kumbe hao so called contenders wako hoi bin taaban so Liverpool wamechukua fursa kwa mikono miwili and here we are 8 points clear haha...January Man City tunaziba viraka na baada ya hapo ni vichapo mfululizo kwa yeyote yule atakayekuja mbele yetu kwahiyo hakikisheni mnetuacha pointi za kutosha la sivyo mtaishia kuwa runner-up.
Jitahidi uwe unaangalia mechi za hizi klabu za kuleee nafasi ya 12 mpaka 20.. Mipango wanayo sana.Dah! Niliichukulia hii mechi ni rahisi π€£π€£
Link ya game wadau