Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Why BR bro???

Henderson, Coutinho etc, wangecheza leo, energy ya kuifunga City ingetoka wapi???

And after all, ni Europa league bro!!!!...

haina HAJA ya kuMoan!!

Tulifanya hivi na real Madrid tukafungwa tukacheza na Chelsea pia tukafungwa, hatujifunzi tu
 
Sturridge had Liverpool's best opening before half-time, but took too many touches to cut inside Uysal from the right after being played in by Balotelli, and Gonen beat out the shot.
 
Brendan Rogers anajijuwa chini juu season ikiisha anafukuzwa haijalishi Liverpoolfc hata ikishinda game zote anafukuzwa so Mie sina wasiwasi na ukitaka kujuwa anafukuzwa tabia ambazo Rogers anazifanya, Anamtumia Ballotelli kama njia ya sababu za lawama, Hendo na Coutinho sio wagonjwa wamepewa mapumziko sababu anatizama City game ya City utawaona huyu Rogers ni fundi wa Academy anafundisha tu style basi ila uwanjani hajui mabeki atawapanga vipi yupi aende wapi anasimama tu Kama vile yeye ni Lippi au Cappello wakati haijafikia huko hamuoni Benitez au Morinho anavyopigia Kelele wachezaji mpaka firimbi ya mwisho. Brendan Rogers nataka atandikwe na Balotelli alikuwa anataka aharibu apate wa kumlaumu makosa ni ya Manager Mie nashangaa tukishinda wale ambao wanamsifu.
 
Why BR bro???

Henderson, Coutinho etc, wangecheza leo, energy ya kuifunga City ingetoka wapi???

And after all, ni Europa league bro!!!!...

haina HAJA ya kuMoan!!
. Hakuna cha Energy wangetoa wapi wanalipwa kwa week pesa nyingi mbona timu zengine wanacheza hawaleti zarau sheria Kote lazima mtu mjitume makombe yote hakuna kulaza damu angekuwa benitez usingeona Players Kuwa Lazy vile au asimame tu kimya anajuwa amepewa kazi ili awe traffic kwa wachezaji Mie binafsi kila kombe muhimu sipendi sababu za Bora tumetolewa kombe hili soon Brendan Rogers ndio anatakiwa kuitwa Specialist in failure na si Wenger.
 


Umenena vema mkuu, morinho anamuonea Wenger tu
 
Pazi leo unamgeuka Brendan?

Specialist in failure lol... ila mtampchapa city
 
Last edited by a moderator:
England are set to fast-track Liverpool midfielder Jordon Ibe into the senior squad in a bid to persuade the 19-year-old not to play for Nigeria. (Daily Mail) (external)
 
Mkuu naona vipigo vya Arsenal na Liverpool Europe vinakufariji. Maumivu ya kukosa mid-week games yameshapotea. Anyway Manchester United fans mtaendelea kujutia kustaafu kwa Fergie kwa msimu mwingine.

Kalele zinakuwa zinapungia mjini
..Si unaona hata Pazi anaonekana kwa kunyata.

Mwisho wa msimu utajua kama tunajuta kuhusu Fergie kustaafu au la
...utd watamaliza juu yenu na liver
 
Last edited by a moderator:
Nacheza CL mwakani kiurahisi kabisa!Ww utarudi Europa Mungu akisaidia

Kama ulivyosonga mbele kiurahisi leo mbele ya Besiktas 😂😂😂😂😂

Nimekwambia uweke bet, unarukaruka tu 🙈🙈🙈🙈🙈
 
Kama ulivyosonga mbele kiurahisi leo mbele ya Besiktas 😂😂😂😂😂

Nimekwambia uweke bet, unarukaruka tu 🙈🙈🙈🙈🙈

Siogopi bet na kumbuka was 12 points a drift on mid Dec tp just 2 points now!

Taja bet na taja tuta excute vipi!Nipo Canada kikazi na nakuwa Dar mwezi ujao
 
Kalele zinakuwa zinapungia mjini
..Si unaona hata Pazi anaonekana kwa kunyata.

Mwisho wa msimu utajua kama tunajuta kuhusu Fergie kustaafu au la
...utd watamaliza juu yenu na liver

Man U akipata nafasi ya CL najipiga ban kwa mwezi mzima na nakupa ww kreti nzima ya Kilimanjaro kama upo Dar

Man U uozo huyu acheze CL?
 
Last edited by a moderator:
#Bookmark 02/26/2015

Nina uhakika na nilichokiandika
Mwezi wa tano tutakumbushana kuhusu jambo hili.

Jumapili kama namuona Lukaku atakavyokuwa anacheka na nyavu... na kule Aguero atakavyoondoka na mpira wake baada ya kutupia tatu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…