Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Sana hata mie nimemkubali na nitawa-follow hao ''itk'' ili niwe najiridhisha na other sources mkuu!
Best katika hao ni Indykaila kwenye twitter jamaa utacheka anachukiwa na kupendwa sababu ni Muhindi na Wahindi wengi wanafanya kazi KFC basi watu wanaumuita KFC wengine Kama unavyowajuwa wazungu na tabia zao humrushia mpaka maneno ya ubaguzi ila jamaa anaendelea na kazi yake tu wanaompa Nguvu wanamuita Cheif hehehe! Ila Dimarzio sio itk Huyu Dimarzio twitter yake sana Italy na Timu mchezaji Italy aki link na British Football anaongelea Sema utaona Kitaliano ameiwekea link kwa English pia jamaa ndio aliosema mwanzo Ashley Cole na Evra kwa kuhusiana na Italy mpira na hata Loic Remy yeye ndio wa kwanza anawajua ma Agent wa wachezaji wengi.
 
Sana hata mie nimemkubali na nitawa-follow hao ''itk'' ili niwe najiridhisha na other sources mkuu!

Jay Riley (@Jay_78_)
Graeme Kelly (@GraemeKelly1)
Karl (@Karlton81)
Moley (@Moley_LFCDT)
Peter phillips (@PeterPhillips_)
Kuna huyu red army (@19YNWA)
Kuna Anfield HQ (@AnfieldHQ96) huyu ana mpaka website...

BUT hawa ndo wenyewe sasa!
James Pearce
Tony Barret
Ben Smith
Neil jones (siyo sana lakin)
Hata Bascombe wa Telegraph nae ni mzuri.kuhusu habari za LFC
Na Paul Joyce pia...
 
Best katika hao ni Indykaila kwenye twitter jamaa utacheka anachukiwa na kupendwa sababu ni Muhindi na Wahindi wengi wanafanya kazi KFC basi watu wanaumuita KFC wengine Kama unavyowajuwa wazungu na tabia zao humrushia mpaka maneno ya ubaguzi ila jamaa anaendelea na kazi yake tu wanaompa Nguvu wanamuita Cheif hehehe! Ila Dimarzio sio itk Huyu Dimarzio twitter yake sana Italy na Timu mchezaji Italy aki link na British Football anaongelea Sema utaona Kitaliano ameiwekea link kwa English pia jamaa ndio aliosema mwanzo Ashley Cole na Evra kwa kuhusiana na Italy mpira na hata Loic Remy yeye ndio wa kwanza anawajua ma Agent wa wachezaji wengi.

Indy mwanzoni alianzaga kama "funpage" he was only tweeting fun things about football kama kina footyhumour au kina JohnNOTterry, lakin suddenly akageukia kwenye transfers..na kishajiestablish huko..ndo maana watu wanamzingua sana

Nahisi ndo mtu anayeongoza kupata Abuse nyingi twitter na Ni LFC fan yule..

Juzi schenadarin wa southampton alvyotweet "the 6 years of amazing journey has just ended and ruined in 1 hour" alikuwa anawaua southampton coz waliblock move yake ya kwenda spurs( jana skysports wanasema kahand in a transfer request)..asa Indy akamtumia msg akamwambia "just leave it to us, You'll go to spurs"...indy mjinga sana yule muhindi...

BTW, Hivi inakuwaje unahand in a transfer request kwa club ambayo ilikulea na ikakufanya ufahamike, tena eti unataka kutoka southampton kwenda Spurs!!!!!!!

DI MARZIO, yupo sky italia
 
Best katika hao ni Indykaila kwenye twitter jamaa utacheka anachukiwa na kupendwa sababu ni Muhindi na Wahindi wengi wanafanya kazi KFC basi watu wanaumuita KFC wengine Kama unavyowajuwa wazungu na tabia zao humrushia mpaka maneno ya ubaguzi ila jamaa anaendelea na kazi yake tu wanaompa Nguvu wanamuita Cheif hehehe! Ila Dimarzio sio itk Huyu Dimarzio twitter yake sana Italy na Timu mchezaji Italy aki link na British Football anaongelea Sema utaona Kitaliano ameiwekea link kwa English pia jamaa ndio aliosema mwanzo Ashley Cole na Evra kwa kuhusiana na Italy mpira na hata Loic Remy yeye ndio wa kwanza anawajua ma Agent wa wachezaji wengi.

Nimeipenda sana hiyo YNWA!!!
 
Jay Riley (@Jay_78_)
Graeme Kelly (@GraemeKelly1)
Karl (@Karlton81)
Moley (@Moley_LFCDT)
Peter phillips (@PeterPhillips_)
Kuna huyu red army (@19YNWA)
Kuna Anfield HQ (@AnfieldHQ96) huyu ana mpaka website...

BUT hawa ndo wenyewe sasa!
James Pearce
Tony Barret
Ben Smith
Neil jones (siyo sana lakin)
Hata Bascombe wa Telegraph nae ni mzuri.kuhusu habari za LFC
Na Paul Joyce pia...

Vizuri sana umenirahisishia kazi YWNA!!!
 
Nimesoma sehemu naona watu wanampigia upatu sterring kuvaa lfc no 7 because he is young and talented watu kisa slogan ya lfc huwa hawa nunui world class player bali tuna create them

Kwa mtazamo wangu sterring bado hajafikia time ya kumkabidhi no 7 anatakiwa akomae zaidi
 
Hivi hii inaweza kutokea dunia hii???
 

Attachments

  • 1406991244001.jpg
    1406991244001.jpg
    21.6 KB · Views: 111
Sio mbaya make club yake wameshusha ada hadi m14£.

Jamaa ni mkali, kamuacha Remy mbaali sana sema zile "off the field" issue zake ndo mtata! Lakini he is a good option. He has everything as a striker
 
kwanini Rogers ham hamchezeshi Reina? Kamkosea nini sipendi kumuona Jones golini Mie.
 
kwanini Rogers ham hamchezeshi Reina? Kamkosea nini sipendi kumuona Jones golini Mie.

Alipo pelekwa kwa mkopo Napoli huyu Reina aliandika barua kuwaaga mashabiki kinyume kabisa na utaratibu!Kimsingi inabidi uage mashabiki kama umeuzwa na wala sio kama umeenda kw amkopo ambapo msimu ukiisha unarudi kweny team yako!

Hata akibaki itakuwa sababu tu Liverpool wamekosa offer na hatachezi game hata moja Liverpool
 
Tumecheza vyema na Milan,lkn kuna mtu hapa anajua habari za Markovic maana hata benchi simuoni mechi ya pili sasa!Nisipomuona Jumatatu fainali na Man U nitasikitika sana
 
Back
Top Bottom