Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mrkovic kaumia nini tena?
Bring on manshit United DonDonald Liverpoolfc 2 Ac Milan 0 Huyu Balotteli ndio mkorofi ila LFC wamchukue ila Mie Naomba zaidi awe Bony kuja LFC Good goal from Suso!
Markovic na Sturidge wameumia ila Agger safari nafikiri tayari Mie nafikiri ukiwaacha 1 Striker mwengine hao mabeki wa pembeni pia tunahitaji bado Middle anayecheza kucheza number 8 na 10 kwamba kukaba anaweza na sehemu ya kufunga anafunga sana.
By now tuna wachezaji wangapi majeruhi?
zile one-two za high speed za Phill, Bony ataziweza jamani..!!!!
Kwa bei anayouzwa Ballotel sahiv, i'd prefer Mario all day...
Nilielewa hii ndo itakuwa conclusion yako brother, tangu nilivyoanza kukusoma stari wa kwanza.
Tutawanyukaaaaa 3-0
Nilielewa hii ndo itakuwa conclusion yako brother, tangu nilivyoanza kukusoma stari wa kwanza.