tpaul
JF-Expert Member
- Feb 3, 2008
- 24,225
- 22,632
Full tym!
mbona hutoi matokeo?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Full tym!

Man city 3-1 Liver 94'
Usubiri uone nn, misimu yote ukiondoa uliopita Man U uanza ktk mazingira haya na mwisho unaujua vema tena I kushindana na timu zilizotumia mabilioniya fedha wakati huo, hivyo sikuona mantiki ya kuifananisha na Liverpool au Asernal ambazo mpaka Leo bado wako kaburini, sioni chochote cha kufufuka!!!
Ni desturi yetu waafrika kwenda kutoa pole kwa wafiwa,huu utaratibu haujaanza leo
Msipende kila wakati kukimbilia kutoa lawama, hata angefanya kwa kufuata mtazamo wako stil mngefungwa lawama ungezipindua tena, soka Lina mambo mengi .... Narudia kusema mpira wa sasa ni pesa, man city ni timu iliyotumia pesa nyingi kuwekeza Ktk soka na kwa Muda mrefu , liver hawajafanya na wakifanya ni mambo ya bei rahisi , ifike wakati watu wakubali kushindwa
You will never walk alone!
Msipende kila wakati kukimbilia kutoa lawama, hata angefanya kwa kufuata mtazamo wako stil mngefungwa lawama ungezipindua tena, soka Lina mambo mengi .... Narudia kusema mpira wa sasa ni pesa, man city ni timu iliyotumia pesa nyingi kuwekeza Ktk soka na kwa Muda mrefu , liver hawajafanya na wakifanya ni mambo ya bei rahisi , ifike wakati watu wakubali kushindwa
MUONGO! Liver 0, ManCity 4. Kumbuka magoli yote yamefungwa na wachezaji wa ManCity. Unatudanganya unadhani mpira umeangalia mwenyewe? Liver oyeee!
Huu mpira Moreno nilijuwa hatoendelea itakuwa kaweza kuukanyagia tunacheza Kama ilivyokuwa Totenham na Totenham sasa wanacheza Kama sie hii Game Kama zile za City wakipiga United zile game za 4-1 na 6-1 LFC imecheza ovyo Kabisa.
Ukweli nikwamba tutakua nahali ngumusana msimu huu kutokana na nahatua tuliofikia msimu ulioisha.
Dropping Manquillo, kumuanzisha kwa mara ya kwanza Moreno katika game ngumu kama hii, Kuendelea kumchezesha Coutinho wide..GJ kuendelea kuwepo uwanjani..ni vitu vichache tu ambavyo hata KIBADENI angevifikiria kabla ya kupanga kikosi..
SAKHO or AGGER deserves kuanza kwenye Back 5..
It hard to say this but BR team selection, Moreno and Lovren costed us this match..
Tukiendelea kumchezesha Coutinho wide tutastruggle sana..hata kama Balotelli atakuwepo uwanjani..
NI AIBU sana.
Liverhampton mmeamua kuumia tuu majeruhi kadri dakika zinavyoenda
---you will walk with Man City.
Kiukweli hii game ya mancity imekuja mapema sana,br bdo ajapata first eleven hopfully uko mbele tutatisha,gud game thou,still kuna finishing problems..
Ulevi ni noma nenda kapumzike wewe!