Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

ImageUploadedByJamiiForums1409000650.572759.jpg

😆😆👆
#Liverhampton jogoo kashindwa kutembea na mkiendeleza kelele atakufa huyu


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Usubiri uone nn, misimu yote ukiondoa uliopita Man U uanza ktk mazingira haya na mwisho unaujua vema tena I kushindana na timu zilizotumia mabilioniya fedha wakati huo, hivyo sikuona mantiki ya kuifananisha na Liverpool au Asernal ambazo mpaka Leo bado wako kaburini, sioni chochote cha kufufuka!!!


IshaAllah.....

Hatuna sababu ya kuandikia mate....I might be wrong...ila historia huwa haina makosa!!
 
Ukweli nikwamba tutakua nahali ngumusana msimu huu kutokana na nahatua tuliofikia msimu ulioisha.
 
Msipende kila wakati kukimbilia kutoa lawama, hata angefanya kwa kufuata mtazamo wako stil mngefungwa lawama ungezipindua tena, soka Lina mambo mengi .... Narudia kusema mpira wa sasa ni pesa, man city ni timu iliyotumia pesa nyingi kuwekeza Ktk soka na kwa Muda mrefu , liver hawajafanya na wakifanya ni mambo ya bei rahisi , ifike wakati watu wakubali kushindwa

Na huu ndo ukweli,wanaKop wenzangu wanajitia upofu,Man city wana team nzuri sana,we have to be realistic
 
Msipende kila wakati kukimbilia kutoa lawama, hata angefanya kwa kufuata mtazamo wako stil mngefungwa lawama ungezipindua tena, soka Lina mambo mengi .... Narudia kusema mpira wa sasa ni pesa, man city ni timu iliyotumia pesa nyingi kuwekeza Ktk soka na kwa Muda mrefu , liver hawajafanya na wakifanya ni mambo ya bei rahisi , ifike wakati watu wakubali kushindwa

take like
 
Kiukweli hii game ya mancity imekuja mapema sana,br bdo ajapata first eleven hopfully uko mbele tutatisha,gud game thou,still kuna finishing problems..
 
Huu mpira Moreno nilijuwa hatoendelea itakuwa kaweza kuukanyagia tunacheza Kama ilivyokuwa Totenham na Totenham sasa wanacheza Kama sie hii Game Kama zile za City wakipiga United zile game za 4-1 na 6-1 LFC imecheza ovyo Kabisa.

Niwazuri mno Totenham ss iv wala ucshangae tukipoteza hio gam tatizo cc imekua kama tuna anza
 
Dropping Manquillo, kumuanzisha kwa mara ya kwanza Moreno katika game ngumu kama hii, Kuendelea kumchezesha Coutinho wide..GJ kuendelea kuwepo uwanjani..ni vitu vichache tu ambavyo hata KIBADENI angevifikiria kabla ya kupanga kikosi..

SAKHO or AGGER deserves kuanza kwenye Back 5..

It hard to say this but BR team selection, Moreno and Lovren costed us this match..

Tukiendelea kumchezesha Coutinho wide tutastruggle sana..hata kama Balotelli atakuwepo uwanjani..

NI AIBU sana.

Acha kulialia, tulia sindano iingie...nadhani hizo sindano 4 ulizodungwa ni dozi tosha. Kwani hao wachezaji unaowakandia wao walisajiliwa kucheza mechi laini tu?
 
Du ni kwel mkuu Belo ni lazma 2wape pole ndugu zet 3-1 c mchezo ni nyingiiii
 
Last edited by a moderator:
Kiukweli hii game ya mancity imekuja mapema sana,br bdo ajapata first eleven hopfully uko mbele tutatisha,gud game thou,still kuna finishing problems..

Gemu tulianza vizuri mambo yalikuja kugoma kuanzia dakika ya 40 ila tusikate tamaa man city wametumia makosa tuliyofanya.
 
Ulevi ni noma nenda kapumzike wewe!

goli la 4 kafunga nani kama sio mMan City? unajua football wewe? nenda kacheze BEDBALL ulale, muda umewadia---hilo ndio unalijua wewe. Mambo ya FOOTBALL waachie wenyewe.
 
Back
Top Bottom