Tangu kipindi kile cha Benitez mpaka hiki cha BR, yule Tony Evans sijawahi kumsikiliza na kuchukua mawazo yake yoyote yale, huwa namuona ni mpuuzi sana!!!
Na ndo maana juzi alivyosema LFC hawajawa impressed na EMRE CAN so far, nikaona ni upuuzi, lakin leo naona many ITK's wanarun na hyo same story, kuwa LFC officials wamekuwa dissapointed na perfomance ya CAN so far, kwamba they expected more kutoka kwa CAN..
Hii ishu ni ya KIJINGA sana, mzee Tony Evans ni mmoja kati ya watu WATATU maarufu ambao wanaongoza kuchukiwa na LFC fans wanaomjua huyu jamaa duniani kote, ana inside infos nyingi za club, lakin tangu aje BR infos zake zimekuwa LIMITED sana!
Hapa inaelekea, kuna MPUUZI mmoja ambaye labda alikuwa AGAINST na usajili wa CAN kwenye ile Transfer comittee ndo kamwambia kuwa LFC and JWH are very dissapointed na perfomance ya CAN mpaka sasa!
huu nu UPUUZI, na ninasema ni upuuzi kwasababu, Club na BR hawawezi wakajitoa akili na kuexpect mchezaji wa Miaka 20 aje LFC na kuperfome level za SG, na offcourse katika game zote alizocheza kwny EPL, sidhan kama kafikisha hata Dk 60(katika games 3), afu mtu unakuja kusema LFC arent impressed na CAN!!!, itakuwa ni dhambi kwa dogo, na itakuwa ni UFINYU wa akili hata kwa BR (kitu ambacho sidhan kama BR anakifikiria), Basi tungeambiwa na MARKOVIC nae hajaImpress so far kutokana na LIMITED time anayopata uwanjani!!!, CAN anacheza maeneo ambayo yana competition kubwa ya No., na mpk sasa kuna watu wawili tu ndo wamejihakikishia Namba kwenye hilo eneo (SG and JH tu), afu eti unataka mtu aje tu kwa miaka yake 20 atoe perfomance kama ya SG, which took SG muda kidogo nae kusettle wakat kipind kile anaanza akiwa na miaka 17, hebu fikiria Tungesemaje kuhusu kina MORENO na MANQUILO kama wangekuja kipind cha GJ wa 2008-2010, kina Riise, Arbeloa, Riera, Aurelio??..and most of all Moreno and Manquilo wanapata muda mwingi wa kucheza ndo maana Vipaji vyao tunaviona, EMRE CAN lini kacheza zaidi hata DK 30 katika game moja??..afu useme hajakuImpress???..na Emre can was our BEST player katika pre-season, and now yupo na under21 ya germany na anacheza kwenye CM na ndo the BEST player kwa Ujeruman, leo katoa Assists kama tatu peke yake!, then WAPUUZI flan wanakaa bar, na kuambiana kuwa BR na JWH hawaja impressed na CAN, mchezaji ambaye alitucost Shaqiri, na recently imejulikana pia BAYERN walipiga chini BID yetu kwa JAVI MARTNEZ, kabla ya WC, baada ya kuona tumewafanyia Uhuni kwa CAN ( kipind kile tulikuwa kwenye mazungumzo na Lervekusen), Bayern tried to block the deal BUT mwisho wa siku CAN himself decided to join the RED NATION, nadhan thats why when Pep contacted BR about Reina, BR responded very quickly ili kusoften uhusiano wa kimichezo baada ya ile ishu ya CAN.
Tony Evans anasema LFC hawajawa Impressed na CAN, coz he "strolls" sana!!! but wote tuliona alivyoiblock mid ya Dembele na capoue kwa dk zile chache alizocheza!!, I wonder huyo aliyemwambia huyo mshenzi Evans kuhusu CAN, sijui alimwambiaje kuhusu JH kipind kile alivyokuwa our worst player on the pitch kuliko hata GJ sahiv, lakin you can see jinsi JH alivyoImprove sasa..
Japokuwa Luis Alberto hakupata muda mrefu wa kucheza last season, lakin BR aligoma kumuuza, kakubali kumtoa kwa mkopo tu, BR rates LUCAS, itakuwa kwa CAN jaman??..
Tony Evans, alishawahi kusema Mignolet siyo chagua la BR (na BR hayuko Impressed na Migs), juzi juzi kasema Sakho halikuwa chaguo la BR, the comittee forced it, (kisa tu sahv BR anaprefer combo ya DL na MS), na akasema Balotelli nalo halikuwa chaguo la BR ( wakat BR alianza kumuongelea MB tangu 2012 wakat yupo swansea, na ukifatilia kwa umakini, wachezaji wengi ambao BR anawasign Alishawah kuwaongelea sana hapo nyuma)..na katika suala la Usajili BR ndo ana MAAMUZI ya mwisho, Kama kukiwa na mgongano, Huwa inapigwa kura, BUT BR ana ile VETO, ndo mtu wa mwisho kuamua, na kama ndo hivyo angewakataa hao kina Migs, sakho na MB, au kama comittee ingekuwa na nguvu zaid ya BR si ingegoma kumleta ASPAS??..
Ni UPUUZI, kujiona upo karibu na Club ndo utoe infos za kijinga kama hizo, ambazo hazina mashiko, na sidhan kama kuna mtu mwenye akili anaweza akazipa uzito zaid ya KUKEREKA NAZO.
Emre can yupo pale kwa ajili ya FUTURE, huwez tu from NOWHERE ukamdrop SG kwenye kikosi chako sahiv, labd angekuja Javi Martnez na angeshindwa kutoa competition kwa SG wa miaka 34 sasa, Tungejiuliza maswali na sisi mashabiki, lakin kwa kijana wa miaka 20, who ambaye bado ana vingi vya kujifunza kutoka kwa SG (role model wake), aje eti kutoa competition kwa SG.
Tony Evans always ataendelea kuwa "disgrace" kwenye family ya LFC duniani kote..Mwandishi wa habari mkongwe sana, afu bado unakuwa na mambo ya kipuuz, ni muda umefika astaafu tu awachie kina Tony Barret, james pearce, paul joyce, Neil jones na kina Bascombe wafanye kazi zao.