Sakho ni defender poa sana.....naomba nikubaliane kutokubaliana na wewe kwa Sakho...mimi nitakuwa MTETEZI na SHABIKI wa kwanza wa SAKHO popote pale atakapokuwa.....hivi nikuulize kitu,unaweza kumtofautishaje Sakho wa FRANCE national team na huyu wa LFC? na kwanini kuna utofauti mkubwa kati ya Sakho wa National team na huyu wa LFC? Naomba tazama performance ya Sakho wiki mbili tu zilizopita akiwa National team dhidi ya SPAIN kwenye link hii
https://www.youtube.com/watch?v=Fh7dh02GnYI,baada ya hapo nadhani utakuja na mawazo tofauti na kumfikiria Sakho vile ninavyomfikiria mimi na wanaLFC wachache tunaomuangalia sakho kwa jicho tofauti kabisa......!!!!!!!!
Blue:hapretend,ana accuracy ya hatari sana......muangalie vizuri..
Kijani:Hakuwa na kosa pale,kosa lilikuwa kwa yule aliyetakiwa kuwepo eneo lile....na hakuwepo....sakho alipiga pasi kwenye nafasi,watu na mawenge yao sijui walikuwa wapi.....it was not Sakho s fault......
Purple:Are you sure
Tores? angalia takwimu mchezaji gani LFC anaongoza kwa succcessful tackles zaidi yake.....uje hapa utuambie....
Red:You must be joking...................!!