Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Mkuu mak89 me nadhan kwa game ya Jana, hatuna cha kumoan Aisee, tbf...

Hatuna tu Clinical Finisher, tuliyenaye ni DS na ndiyo ametoka majeruhi..

Suala la kukosekana ST makin ndo limetupunguzia credits katika hii formation mpya 3-4-3.. kwenye formation ya mara ya kwanza tulikuwa tunacheza mpira m-bovu sana...lakin BR has managed to turn things around kidogo, kubadilisha formation wakat upo kwenye Presha kubwa inahitaj guts sana, hicho ndo kinamshinda MP na hata Klopp kwa sasa, nadhan ni BR na Luis Enrique wa Barca wamefanikiwa kufanya hivyo msimu huu..

Aim kubwa ni TOP FOUR, na bado tupo mbali nayo kidogo..so kuna Sub ambazo zilikuwa ni inevitable..we got West ham and very tough fixture mwez wa pili..

Me nadhan tulikosa ST tu wa maana..hata BR angefanyaje, lakin bila Clinical finisher lazima ustruggle kupata goal..we saw that against Bolton..

Tumsubiri Danny, tuone ataleta kitu gan kipya kwenye hii first 11 ya sasa!!

Borini, lambert na Balotelli wa SASA, hawaitoshelezi LFC kwa kiasi flani.

Mkuu MosDef, sijamlaumu BR kwa performance mbovu bali kwa kuwaacha watu ambao walikuwa wamefeli kwa game ya jana kama Gerrard ambapo mi nadhani lallana ilikuwa ni sub nzuri he's trickery na tayari Terry na Ivanovic walikuwa na kadi za njano hapo kungeongeza pressure kwao maana walikuwa na kutana na mtu mwenye speed.


Kushinda mechi ya jana ilikuwa ni hatua ya mwisho ya kumpeleka Gerrard Wembley, ningependa kuona Gerrard anaondoka na vikombe atleast viwili.


Katika strikers tuliyonao ukitoa sturridge mwenye afadhali ni Lambert sema hana speed tu na tangu tumeanza kuutumia huu mfumo wa 3-4-3 lambert kacheza game mbili na zote kaingia sub na kafunga goli moja ingekuwa vizuri kama tungeanza na lambert.

Mignolet ame-improve sana lazima tumpe credit kwa hilo. Sasa waweke nguvu zao wenye game na west ham kama tutashinda tutakuwa kwenye nafasi nzuri sana ya kurudi top4.


3-4-3 na 4-4-2 diamond, kwa kuwa kuna tetesi kuwa Sturridge atarudi game ya west ham, mi nadhani we should switch to 4-4-2 diamond ili kumpunguzia pressure maana ni injury prone, tukiwa na striker wawili itasaidia countinho acheze kwenye tip ya diamond. Kwenye 3-4-3 ni nzuri ila chances za sturridge atakuwa vulnerable kuwa injured.
 
Last edited by a moderator:
Raheem wamwache aende Bayern, manake amekuwa kipenz cha Guardiola..LFC wanaweza wakapata mchezaj mwingine wa maana kama wakimuuza yule dogo kwa £30-45..

wakamchukue Dybala tu kabla LVG hajam-beba yule dogo..manake naona anapoteza muda wake tu Parlemo kule, afu RS anazingua huku..

Raheem ni mchezaj mzuri sana, anasumbua sana mabek, lakin ana maamuz ya kitoto sana Aisee...hatak kumpa Ushirikiano kabisa Coutinho wakiwa kwenye 18..ndo maana chances kibao zinakuwa wasted tu..

Labda kwa Guardiola atajifunza bhana...

Bayen wanamtaka? Aende tu...huyu dogo mbinafsi sana aisee...yaani inaonekana hakujifunza kitu kutoka kwa Suarez kabisa
 
Tunaweza zungumza yote ila Mignolet anastahili credit nyingi he's the beast now, hatetereki hata akiwa anam-face ST (mfano jana kwa Costa)

Still believe kwa MB ingawa anafanya some blunder nilichokiona kwenye gemu kadhaa Coutinho ni mgumu kumpa mipira MB even yupo kwenye good position .... tusubiri ujio wa DS kama watacheza pamoja na MB pale mbele(hata kwa dk 60) I BET IN THREE MATCH MB CAN SCORE 4 GOALS.

Mwenye taarifa ya the beast Sakho kuhusu injury yake jamaa anaendeleaje?
 
I love my club...no matter we win or lose,LFC will always be in my heart...

The greatest English football club with an amazing history and fantastic fans across the world....

and this short video clip shows why this is the club of my heart....

hapa Ni Australia,kwenye moja ya pre season matches.....it was against Merborne Victory...

Look at these fans....

https://www.youtube.com/watch?v=5iLL57puZPM


YOU'LL NEVER WALK ALONE....


#RedOrDead

CC. Janjaweed MosDef Malafyale mak89 Ed n Edd nEddy Tisha-TOTO osokonoi Pazi Asprin miss chagga....

Bila kuwasahau HATERS wote wa manure wakiongozwa na RRONDO.....
 
Last edited by a moderator:
I love my club...no matter we win or lose,LFC will always be in my heart...

The greatest English football club with an amazing history and fantastic fans across the world....

and this short video clip shows why this is the club of my heart....

hapa Ni Australia,kwenye moja ya pre season matches.....it was against Merborne Victory...

Look at these fans....

https://www.youtube.com/watch?v=5iLL57puZPM


YOU'LL NEVER WALK ALONE....

#RedOrDead

CC. Janjaweed MosDef Malafyale mak89 Ed n Edd nEddy Tisha-TOTO osokonoi Pazi Asprin miss chagga....

Bila kuwasahau HATERS wote wa manure wakiongozwa na @PRRONDO.....

thank u sana
 
I love my club...no matter we win or lose,LFC will always be in my heart...

The greatest English football club with an amazing history and fantastic fans across the world....

and this short video clip shows why this is the club of my heart....

hapa Ni Australia,kwenye moja ya pre season matches.....it was against Merborne Victory...

Look at these fans....

https://www.youtube.com/watch?v=5iLL57puZPM


YOU'LL NEVER WALK ALONE....


#RedOrDead

CC. Janjaweed MosDef Malafyale mak89 Ed n Edd nEddy Tisha-TOTO osokonoi Pazi Asprin miss chagga....

Bila kuwasahau HATERS wote wa manure wakiongozwa na RRONDO.....

najua huwa hampati usingizi bila kutaja hio timu....poleni kwa kuchapwa jana lakini ni kawaida tu mlitegemea nini sasa kama hata kwenu mlishindwa!
 
Mkuu MosDef, sijamlaumu BR kwa performance mbovu bali kwa kuwaacha watu ambao walikuwa wamefeli kwa game ya jana kama Gerrard ambapo mi nadhani lallana ilikuwa ni sub nzuri he's trickery na tayari Terry na Ivanovic walikuwa na kadi za njano hapo kungeongeza pressure kwao maana walikuwa na kutana na mtu mwenye speed.


Kushinda mechi ya jana ilikuwa ni hatua ya mwisho ya kumpeleka Gerrard Wembley, ningependa kuona Gerrard anaondoka na vikombe atleast viwili.


Katika strikers tuliyonao ukitoa sturridge mwenye afadhali ni Lambert sema hana speed tu na tangu tumeanza kuutumia huu mfumo wa 3-4-3 lambert kacheza game mbili na zote kaingia sub na kafunga goli moja ingekuwa vizuri kama tungeanza na lambert.

Mignolet ame-improve sana lazima tumpe credit kwa hilo. Sasa waweke nguvu zao wenye game na west ham kama tutashinda tutakuwa kwenye nafasi nzuri sana ya kurudi top4.


3-4-3 na 4-4-2 diamond, kwa kuwa kuna tetesi kuwa Sturridge atarudi game ya west ham, mi nadhani we should switch to 4-4-2 diamond ili kumpunguzia pressure maana ni injury prone, tukiwa na striker wawili itasaidia countinho acheze kwenye tip ya diamond. Kwenye 3-4-3 ni nzuri ila chances za sturridge atakuwa vulnerable kuwa injured.

BR na FSG wamefanya blunder katika mkataba wa SG, na hakuna turning back yoyote..ile game ilikuwa inahitaji presence ya SG..

Coutinho alikuwa na Room kubwa jana, coz SG alifanikiwa kule kwenye zone ya mbele, kuizima ile balance ya Matic, coz Matic alishindwa kukibalance kiungo jana, Na movements za SG zikafanya akina Terry kukatika mara kwa mara, SG alifanya chochote kile ili kuwaacha Countinho na Raheem wasumbue mbele kule...

Jana Hendo (captain wenu mtarajiwa) ndo kachemsha sana, ye ndo alikuwa na kazi ya kuwacover SG, Phill na Raheem, lakin cha ajabu Lucas na Leiva ndo wakawa wanafanya hiyo shughuli, kitu kilichopelekea mpaka markovic kuingia ndan kidogo kutafuta mipira, na kumuachia Emre Can abak peke yake na Hazard...

Ukimwaribia Matic balance kwenye Kiungo, Cesc anakuwa na madhara kidogo sana, Na kumstress Matic kuna hitaji legends kama SG, Lallana hawez fanya kazi hyo hata kidogo, Na sidhan kama BR ndo huwa anamwelekeza hivyo bali antumia ukongwe wake tu kuusoma mchezo...na ndo maana replacement ya SG inatakiwa iwe kubwa sana, mtu kama Javi Martnez anatakiwa kuja kucover hiyo void ya SG (atleast)..

Yeah! kurud kwa Danny, that means lazima formation iwe switched, unless kama BR atataka kumdrop Markovic or Sterling.. na kurudi kwenye back-4..kitu ambacho me nafikir tungestick na mfumo huu huu... Sakho, Can and skritel wako so composed at the back, hii inampa hata kujiamini Mignolet..

GJ game ya Bolton alicheza kama LCB, na he bossed ule upande..
 
I love my club...no matter we win or lose,LFC will always be in my heart...

The greatest English football club with an amazing history and fantastic fans across the world....

and this short video clip shows why this is the club of my heart....

hapa Ni Australia,kwenye moja ya pre season matches.....it was against Merborne Victory...

Look at these fans....

https://www.youtube.com/watch?v=5iLL57puZPM


YOU'LL NEVER WALK ALONE....


#RedOrDead

CC. Janjaweed MosDef Malafyale mak89 Ed n Edd nEddy Tisha-TOTO osokonoi Pazi Asprin miss chagga....

Bila kuwasahau HATERS wote wa manure wakiongozwa na RRONDO.....

Thats the LFC way man!!!!!

DOPE saaaana!!!!!
The Magnificent A.K.A Teixeira!!!

hahahahah!!!!
 
Last edited by a moderator:
I love my club...no matter we win or lose,LFC will always be in my heart...

The greatest English football club with an amazing history and fantastic fans across the world....

and this short video clip shows why this is the club of my heart....

hapa Ni Australia,kwenye moja ya pre season matches.....it was against Merborne Victory...

Look at these fans....

https://www.youtube.com/watch?v=5iLL57puZPM


YOU'LL NEVER WALK ALONE....


#RedOrDead

CC. Janjaweed MosDef Malafyale mak89 Ed n Edd nEddy Tisha-TOTO osokonoi Pazi Asprin miss chagga....

Bila kuwasahau HATERS wote wa manure wakiongozwa na RRONDO.....

Yaani bila kutaja MANU hamsikiii raha kabisaaaa.....
 
Last edited by a moderator:
Chelsea striker Diego Costa has been charged with violent conduct over his clash with Liverpool's Emre Can on Tuesday night.




A statement from the Football Association confirmed Costa's alleged stamp was missed by all four officials on duty for the second leg of the Capital One Cup semi-final at Stamford Bridge.
 
I love my club...no matter we win or lose,LFC will always be in my heart...

The greatest English football club with an amazing history and fantastic fans across the world....

and this short video clip shows why this is the club of my heart....

hapa Ni Australia,kwenye moja ya pre season matches.....it was against Merborne Victory...

Look at these fans....

https://www.youtube.com/watch?v=5iLL57puZPM


YOU'LL NEVER WALK ALONE....


#RedOrDead

CC. Janjaweed MosDef Malafyale mak89 Ed n Edd nEddy Tisha-TOTO osokonoi Pazi Asprin miss chagga....

Bila kuwasahau HATERS wote wa manure wakiongozwa na RRONDO.....

The crowd is amaizing
 
Last edited by a moderator:
Happy birthday to the legend Jamie
 

Attachments

  • 1422469503459.jpg
    1422469503459.jpg
    39.6 KB · Views: 64
Back
Top Bottom