mak89
JF-Expert Member
- Sep 21, 2012
- 1,072
- 914
Mkuu mak89 me nadhan kwa game ya Jana, hatuna cha kumoan Aisee, tbf...
Hatuna tu Clinical Finisher, tuliyenaye ni DS na ndiyo ametoka majeruhi..
Suala la kukosekana ST makin ndo limetupunguzia credits katika hii formation mpya 3-4-3.. kwenye formation ya mara ya kwanza tulikuwa tunacheza mpira m-bovu sana...lakin BR has managed to turn things around kidogo, kubadilisha formation wakat upo kwenye Presha kubwa inahitaj guts sana, hicho ndo kinamshinda MP na hata Klopp kwa sasa, nadhan ni BR na Luis Enrique wa Barca wamefanikiwa kufanya hivyo msimu huu..
Aim kubwa ni TOP FOUR, na bado tupo mbali nayo kidogo..so kuna Sub ambazo zilikuwa ni inevitable..we got West ham and very tough fixture mwez wa pili..
Me nadhan tulikosa ST tu wa maana..hata BR angefanyaje, lakin bila Clinical finisher lazima ustruggle kupata goal..we saw that against Bolton..
Tumsubiri Danny, tuone ataleta kitu gan kipya kwenye hii first 11 ya sasa!!
Borini, lambert na Balotelli wa SASA, hawaitoshelezi LFC kwa kiasi flani.
Mkuu MosDef, sijamlaumu BR kwa performance mbovu bali kwa kuwaacha watu ambao walikuwa wamefeli kwa game ya jana kama Gerrard ambapo mi nadhani lallana ilikuwa ni sub nzuri he's trickery na tayari Terry na Ivanovic walikuwa na kadi za njano hapo kungeongeza pressure kwao maana walikuwa na kutana na mtu mwenye speed.
Kushinda mechi ya jana ilikuwa ni hatua ya mwisho ya kumpeleka Gerrard Wembley, ningependa kuona Gerrard anaondoka na vikombe atleast viwili.
Katika strikers tuliyonao ukitoa sturridge mwenye afadhali ni Lambert sema hana speed tu na tangu tumeanza kuutumia huu mfumo wa 3-4-3 lambert kacheza game mbili na zote kaingia sub na kafunga goli moja ingekuwa vizuri kama tungeanza na lambert.
Mignolet ame-improve sana lazima tumpe credit kwa hilo. Sasa waweke nguvu zao wenye game na west ham kama tutashinda tutakuwa kwenye nafasi nzuri sana ya kurudi top4.
3-4-3 na 4-4-2 diamond, kwa kuwa kuna tetesi kuwa Sturridge atarudi game ya west ham, mi nadhani we should switch to 4-4-2 diamond ili kumpunguzia pressure maana ni injury prone, tukiwa na striker wawili itasaidia countinho acheze kwenye tip ya diamond. Kwenye 3-4-3 ni nzuri ila chances za sturridge atakuwa vulnerable kuwa injured.
Last edited by a moderator: