The Magnificent
JF-Expert Member
- Jan 6, 2011
- 2,694
- 1,249
mkuu hupendi timu yako ikibeba kombe sio...pia vilevile kumbuka ueropa lig ni moja ya njia ya kufuzu champions league endapo mngebeba hlo kombe ilhali kwny top four hakueleweki
Kwa timu na kocha tulienae kwa sasa tusingefika popote ndugu yangu,bora tumetoka mapema tukaconcentrate na EPL,hata tungefika fainali afu tusichukue kombe na tayari tumekosa top4,ingekuwa nonsense.
