UmkhontoweSizwe
Platinum Member
- Dec 19, 2008
- 9,454
- 8,894
Gerrard, naskia ManCity wameingia kwenye race, wanaweza kuharibu hiyo deal
Hao ManShite tamaa zinawasumbua na ni waharibifu wa vipaji tu. Santa Cruz, Shaun Philips, Adebayor, nk, wote wanasugua bench tu shite. Kuuza hawataki, ku-let go hawataki, bado wanataka kusajili wengine!
