Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Halafu Mbu nshakushitukia...wewe ni mmoja wa wale damdam Liverpoolians ambao walikumbwa na fantasy storm ya Arsenal enzi za akina T. adams, D. Benkamp, P. Viera., T. Henry et la. Rudi nyumbani yakhe, usione khaya kushika bendera ya Bwawa la Maini tena baada ya storm ya Washika Bunduki kuisha. Tulishakusamekhe....lol
...😀 QM kwanza poleni!
umepatia ndugu yangu, Liverpodians enzi za kina Kevin Keegan, John Barnes, Ian Rush, Bruce Grobbelar, Peter Beardsley, na Kenny Dalgish,....baada ya Generation ile antics za kina Robbie Fowler zilinikinaisha...wakati huo Nwanko Kanu na generation ya 'weusi' wanaanza kufanya mavituz pale Highbury.
...kabumbu safi ya Arsenal kwasasa huko kwenye Bwawa itabidi mnisamehe kwanza...kwasasa am not fanatical, only sympathetical kwa Liverpool.
All in all, bado nafasi ya ushindi ipo, hata kama kwa extra minutes kisha matuta,...kwanza JT hatocheza mechi inayofuatia, ila huyu mserbia Branislav Ivanovic katokea wapi huyu naye? halafu Essien, Lampard na Drogba wote wapo in-form mnhhhh!!! 🙁
Poleni kwa kipigo cha mbwa mwizi, mjue Chelsea sio man u wala madrid. Hapo UCL hakuna matumaini tena mpaka mwakani, bora hata man u bado wana ka-fantansy fulani! Hakuna mtu kanifurahisha kama huyu kocha wa chelsea, yaani mtu kama essien kazi yake ilikuwa gerrald tu! noma ...
Pole mkuu FMES
One down! Poleni sana LOOSERPOOL....!
Saikosisi;
If you are a football fan you'll have to admit that Chelsea managed liverpool fair and square; it was all about tactics and nothing more...
Chelsea suffocated the kops midfield easily due to slow pace of both alonso and lucas. Rafa underestimated them and he realised the plan very late. in addition, the defence of chelsea was excellent especially the cover that was brought by essien [he is classic and managed gerrard like a baby]. when chelsea equalised i thought we were done but then we went to break i said ok ...lucas out masch in, and aurelio out insua in... it didnt happen
credit to HIddinks.. he is a whiz and a master tacktician,
Respect and we shall see you next week
honestly, i have very limited hopes especially after watching essien commanding the holding midfield like that
But still wanaweza kuoverturn results pale darajani