Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Liverpool oyee
Hatutembei peke yetu mkuu.Saaaafi sana....
Mmewakata "kidomodomo!"
sturidge anazd kung'aa ndan ya anfield,tutafka tu tunakotaka wakuu
Hatutembei peke yetu mkuu.
Leo nna furaha ya ajabu.
Naona safari ya kurudi enzi zetu imewadia
Tatizo wapinzani wetu Malaria imewapiga vibaya washabiki wa Man U basi hata kuja kutupa hongera hamtaki? Wacheni unazi mngeshinda mngekuja mbio na Mapicha.
Kweli usemalo Nzi katikati LFC sie ni wabovu ila utd hawakucheza vibaya sana tatizo hawakulazimisha kuingia kati sie beki zilikuwa kwenye heshima.