Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Kwa timu hii, inabidi tufute matumaini ya top 5

Timu sio mbaya hii mkuu.Imeifunga Man United na So far inaongoza ligi....Game imekataa tu Leo na Kumbuka mfungaji wenu mashuhuri anarudi muda si mrefu.
Liverpool nina uhakika itaperfom vizuri kuliko Chelsea msimu huu.
 
Du swansea wamekaza sn ndo tumetoka sare!Sio mbaya sn coz swansea were better side today so for liv to get a point ni fair results!WE'RE BACK ON TOP
 
Timu sio mbaya hii mkuu.Imeifunga Man United na So far inaongoza ligi....Game imekataa tu Leo na Kumbuka mfungaji wenu mashuhuri anarudi muda si mrefu.
Liverpool nina uhakika itaperfom vizuri kuliko Chelsea msimu huu.
Kumfunga ManU isiwe hoja.
Nimechukia mno hadi wameniharibia siku yangu. We fikiria toka dakika ya 65 hatujagusa mpira zaidi ya kufukuza hapi kipenga cha mwisho tunafukuza kukaba, tena kwa timu ndogo kama Swansea!
Unamtoa Moses ambae angalau kulikuwa na matumaini ya goli la 3 toka kwake badala ya kumtoa huyu Jordan Henderson ambae nadhani ni gay!
Unamweka Skirtel kati badala aanze Agger. nakwambia leo tumeponea bahati tu ilikuwa tunywe hata 4-2!
Rogers is a mid table manager sio top 4 manager. Bado kazi tunayo
 
Mkuu bora tungeshinda ila 2-2 sio mbaya ubaya unakuja hatukucheza vizuri tatizo lipo katikati ya Uwanja LFC ilihitaji kuwa na watu kama Mascherano alivyokuwa LFC SG sio yule tena anahitaji msaada Jordan Henderson anarukaruka tu nakujali nywele zake basi, Aspas naye si mchezaji mie bora Dogo Ibe apige kulia na Coutinho kaumia kazi tunayo ila nyuma kumetulia winger zimetulia Striker sio mbaya japo hatuna natural number 9 na middle yenye kurusha mtu na mpira timu zenye kufika katika nje ya 18 zenye mashuti zitatuumiza sana Lucas naye sio yule Lucas waule msimu akaumia na Chelsea ndio ikawa basi LFC bado nafasi ya 4 ni ngumu saaaana ila Rogers kaonyesha matumani na yanaonekana yapo toa leo japo namchukia Hendo ila alikuwa sawasawa kumtoa Moses ila angeleta alberto in huwezi kutoa katia tulizidiwa kati.
 
Kwa ninia Liver walionyesha kuchoka sana kipindi cha pili?
Sababu katikati ya uwanja tulikuwa wazi sana SG na Lucas walikuwa hawajui wamkabe nani na wamuache nani sababu Coutinho ndio anayeweka mpira na kuchezesha, kengine Wisdom kulia alikuwa wasiwasi umemjaa na Hendo hamsaidii Wisdom wala katikati ya uwanja hamsaidii SG wala Lucas, hatuna lie kazi ya Mascherano japokuwa Glenn Johnson anauzi ila kulia beki muhimu Johnson Kuwepo, Suarez akirudi atacheza winger ya kulia Moses kushoto Sturidge peke yake coutinho nyuma ya sturidge na Suarez then SG atakaa na Lucas. 4,2,2,2 au 4,2,3,1.
 
Mkuu Pazi, tuna kazi sana. Coutinho atakuwa nje kama wiki sita hadi mwisho wa October, majeruhi wengine ni Agger, Johnson, Cissokho, Coates na Joe Allen. Kwa mwendo huu tuna mtihani kweli... Ila Jogoo ni Jogoo tu...
 
Punainen

News hii imenisikitisha sana Kamanda wangu. Yani utafikiri Mi ndiyo mwenye club!

Philippe Coutinho blow for Liverpool Fc GONGA HAPA

Mkuu Pazi, tuna kazi sana. Coutinho atakuwa nje kama wiki sita hadi mwisho wa October, majeruhi wengine ni Agger, Johnson, Cissokho, Coates na Joe Allen. Kwa mwendo huu tuna mtihani kweli... Ila Jogoo ni Jogoo tu...

Liverpool Fc midfielder Philippe Coutinho will be out until late october with a shoulder injury that needs surgery,the club have confirmed.

Imenitouch sana mkuu!

Copy kwa Kaizer Pazi
 
Last edited by a moderator:
Punainen

News hii imenisikitisha sana Kamanda wangu. Yani utafikiri Mi ndiyo mwenye club!

Philippe Coutinho blow for Liverpool Fc GONGA HAPA



Liverpool Fc midfielder Philippe Coutinho will be out until late october with a shoulder injury that needs surgery,the club have confirmed.

Imenitouch sana mkuu!

Copy kwa Kaizer Pazi

Hakuna shida sana Suarez anarudi kati pale then Sturrigde ataenda pembeni..
 
Last edited by a moderator:
Wakuu, tunaanza maisha bila Coutinho, na leo tupo na The Saints.. Point tatu muhimu tusonge mbele... YNWA.
 
Thanks Viper! Kwenye mpira pamoja na mengine yote, bahati pia inahitajika.
 
Naona leo mambo magumu. Watakatifu wanaingia madhabahuni wanavyotaka! Tutatoka kweli leo?
 
Thanks Viper! Kwenye mpira pamoja na mengine yote, bahati pia inahitajika.

Bahata ipo kwenye korokoro mpira si mchezo wa bahati nasibu. Unacheza dkk 45 unaenda kupumzika na kupata mawaidha then unarudi tena dkk 45 hapo ukifungwa umefungwa tu hamna bahati
 
Leo zamu yenu maana game 3 kushinda mkaona kama mmeshachukua ubingwa vile
 
Back
Top Bottom