Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Club ya L'pool naipendaga sana mchezo wake na ukiifuatilia historia yake utaipenda mwenyewe tu.
Viva Liverpool FC!!!!
Mpaka sasa Liverpool 5 Tottenham 0 dk 89 red card imewaumiza spurs
Jana tulitembea wengi mkuu,kuna wapinzani lakini sio Chelsea.Arsenal kaanza kuloose point mapema.Naam na nyie mliokua mnasumbua miaka ya 80 Kua mabingwa Mmeanza Kua Kero mitaani na kauli mbiu yenu You will never walk alone! Eti mnaota ubingwa na nyie! Leo mnapigwa mzidi kupotea!
Leo mnatembea peke yenu!
Jana tulitembea wengi mkuu,kuna wapinzani lakini sio Chelsea.Arsenal kaanza kuloose point mapema.
Cardif anakuja pale Anfield,then tunawafuata Man city halafu tunaenda kuvunja daraja la Chelsea..
"Nlikuwepo":bolt:
Jana tulitembea wengi mkuu,kuna wapinzani lakini sio Chelsea.Arsenal kaanza kuloose point mapema.
Cardif anakuja pale Anfield,then tunawafuata Man city halafu tunaenda kuvunja daraja la Chelsea..
"Nlikuwepo":bolt:
Unaota wewe! Eti mnavunja daraja! Yani siku hiyo Yule mnyonya damu Kwa meno atakabwa mpaka chupi ichomokee kichwani!
Tena nawasubiri Kwa hamu nije niwaoneshe Kandanda!
Halafu anasema kabisa eti atatuonyesha KANDANDA!!!! kwa timu gani???? Chelsea?Ikiwa Crystal Palace alokuwa mwanzo mwisho anadefend mkaishia kumpiga goli mbili kwa moja,sasa ndio mnataka kunitunishia kifua mie?Kipindi kile mlisema Tores ndiye anaye wafunga mkanunua kwa bei kubwa. Saizi huyu bwana magoli atafunga matatu ili mnunue bei kubwa zaidi ya Tores
Kipindi kile mlisema Tores ndiye anaye wafunga mkanunua kwa bei kubwa. Saizi huyu bwana magoli atafunga matatu ili mnunue bei kubwa zaidi ya Tores
Halafu anasema kabisa eti atatuonyesha KANDANDA!!!! kwa timu gani???? Chelsea?Ikiwa Crystal Palace alokuwa mwanzo mwisho anadefend mkaishia kumpiga goli mbili kwa moja,sasa ndio mnataka kunitunishia kifua mie?
"Nlikuwepo":bolt:
Mchumba mbabe!!Inasikitisha kuona mpaka leo Mourinho hana forwad wa kumtumainia wala first eleven ya uhakika.Mlichopishana nyie Chelsea na Man U ni BAHATI tu....Wewe kweli unabisha tu! Crystal Palace mchumba tu Yule
Mchumba mbabe!!Inasikitisha kuona mpaka leo Mourinho hana forwad wa kumtumainia wala first eleven ya uhakika.Mlichopishana nyie Chelsea na Man U ni BAHATI tu....
"Nlikuwepo":bolt:
Wewe Kumbe Mbado!
Tangu lini Happy One Akawa na timu moja tu?!
Kila mchezaji Wa Chelsea lazima acheze kila mmoja lazima afunge sio kutegemea Shyrose tuuuuuuuu!
Lazima anyonywe damu safari hii! Asifikiri yeye ni Zombi peke yke!
Hahahaaaa,Ivanovic safari hii atacheza mbali nahuo mzimu...
Luis Suarez Bites Branislav Ivanovic - YouTube
"Nlikuwepo":bolt: