Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

haswaaaaa MKUU wamejiachia sana kuna photo za kumwaga kwenye thread za wenzetu why yetu imedoda bana ikiwezekana tunahitaji kuwekwe na picha za vikosi kipindi hicho tunanyakua makombe ya uefa na ligi fa caling camp

huku nafasi maalam ya kubandika picha ya sherehe za ubingwa 2014 ikiachwa wazi kabisaaaaaaa.

I second u, moyo utasuuzika Mbu akitupia ka photo walikonyanyua ndoo majogoo wa anfield!!
 
Last edited by a moderator:
🙂🙂🙂 yataka moyo sana ila inatakiwa sasa na nyie muwe ngangari na hii sredi yenu mpaka izoeleke....

Mkifungwa, mkishinda nyie bananeni humu humu kama Belo na simu yake ya kuchaji, au Shedafa wa Tottenham Spuds maskini.... Jamaa ana moyo kweli, wenzake wote wamehama timu, wanashabikia Man City!!!!
ndetichia upo?!



#MosKwito !

Pamoja sana umesomeka mkuu!!!
 
Last edited by a moderator:
  • Thanks
Reactions: Mbu
Take it easy bro, it's done!

Ila tu nawaomba kitu kimoja wewe na mashabiki wenzako wapya wa Liverpool humu;

"Tunataka" muwe active members haswaaa, sio kujitoa kifua mbele Liverpool wakiwa wanashinda tu....

Hii ni moja ya thread zilizokuwa #dhaifu sana humu ndani, [kama ya wale Spurs] until recently mlipoanza dalili za kuwa top four ndio "tunaona" exodus yenu... 🙂

Mkiwa na moto huu, jukwaa la sports litanoga sana kama kina Wacha1, Ntuzu, Mentor, Balantanda, Peasant, pierre.fm . Fm Nzi, Belo, Shedafa, mfarisayo, TIMING, EMT, na wengineo wengi wanavyopeana banters za hapa na pale!

You Will Never Walk Alone 😉
Karibuni sana....



#MosKwito !

Hapa umewavulia uvivu na kuwachana live mzee...hawa madogo wa 90's wanaboa sana. Hapa nakumbuka mechi nyingi za nyuma mi ndo nikiweka update hamna hata fan mmoja wa Liverfool akionekana, siku timu ikishinda ndo utawaona tena wachache sana wakijinadi. Kama vp vp wakaushie kwanza akili iwakae sawa mpaka wakibebe ndoo ndio ufanye update.
Hata #mods tutawaalert kwa hilo.
 
Last edited by a moderator:
🙂🙂🙂 yataka moyo sana ila inatakiwa sasa na nyie muwe ngangari na hii sredi yenu mpaka izoeleke....

Mkifungwa, mkishinda nyie bananeni humu humu kama Belo na simu yake ya kuchaji, au Shedafa wa Tottenham Spuds maskini.... Jamaa ana moyo kweli, wenzake wote wamehama timu, wanashabikia Man City!!!!
ndetichia upo?!



#MosKwito !

Ungewapiga PIN kwanza mkuu Mbu hawa jamaa wanaboa sana.
 
Last edited by a moderator:
  • Thanks
Reactions: Mbu
Last edited by a moderator:
Liverpool safari bado ndefu acheni ujinga. Igeni Arsenal tumeongoza ligi more than 85% lakini bado hali tete nyie hata usukani hamjashika mnaanza makalele. Komaeni kwanza, hamkumbuki mlivyokuwa vizuri msimu wa 2009 mkapishana point moja na Manure, mkalikosa ndoo la EPL... so safari bado ngumu subirini mshinde kwanza ndio muanze'dream come true'.
 
  • Thanks
Reactions: Mbu
Take it easy bro, it's done!

Ila tu nawaomba kitu kimoja wewe na mashabiki wenzako wapya wa Liverpool humu;

"Tunataka" muwe active members haswaaa, sio kujitoa kifua mbele Liverpool wakiwa wanashinda tu....

Hii ni moja ya thread zilizokuwa #dhaifu sana humu ndani, [kama ya wale Spurs] until recently mlipoanza dalili za kuwa top four ndio "tunaona" exodus yenu... 🙂

Mkiwa na moto huu, jukwaa la sports litanoga sana kama kina Wacha1, Ntuzu, Mentor, Balantanda, Peasant, pierre.fm . Fm Nzi, Belo, Shedafa, mfarisayo, TIMING, EMT, na wengineo wengi wanavyopeana banters za hapa na pale!

You Will Never Walk Alone 😉
Karibuni sana....



#MosKwito !
Mbu hao ukiwa taja walikuwa wakipiga Kelele zamani tu hata siku hizi Belo,Wacha1 na mfarisayo nao wanakimbia wanaonekana siku ya ushindi tu na ushahidi upo usitetee uongo Balatanda,Ntuzu,Pierre.fm na Ntuzu ndio nawaona na hasa hasa Nzi ndio nampa hongera Ana moyo wa kweli na timu mtu ambaye sikutegemea atakuja kukauka ni Wacha1 sababu namuaminia jamaa ila Mfarisayo tushamzoea siku hizi hata picha mfarisayo hatutumii amepotea ila nakuhaidi Mie utazidi kuniona hata tukifungwa, Mie kitu kimoja watu wakishindwa nakuja thred zenu kuwapa pole mkishinda nawapa hongera ila nyie mnakuwa kimya kuja siku ya hongera hehehehe, Na kuhusu ubingwa sie hatupigi Kelele za ubingwa sio top 4 happy ya ubingwa ni bonus, thred waliyokuwa Kelele za ubingwa walikuwa point 9 Mbele unawajuwa ndio waliyokuwa wanasema wao mabingwa TV wameanza kutizama 96 nafikiri ndio ikapata mashabiki huku usitulaumu Thred hii yetu hii ni ya Wazee hatujui kutumia website hizi hehehe ila Mbu Tupo pamoja hatutokuangusha sababu haujatuangusha LFC YNWA! LFC 4 TOP 4.
 
Liverpool safari bado ndefu acheni ujinga. Igeni Arsenal tumeongoza ligi more than 85% lakini bado hali tete nyie hata usukani hamjashika mnaanza makalele. Komaeni kwanza, hamkumbuki mlivyokuwa vizuri msimu wa 2009 mkapishana point moja na Manure, mkalikosa ndoo la EPL... so safari bado ngumu subirini mshinde kwanza ndio muanze'dream come true'.


#hawakumbuki hawa,....!
Sidhani hata kama wanakumbuka nani alikuwa manager wao kabla ya Brendan Rogers 😉


#MosKwito !
 
Mbu hao ukiwa taja walikuwa wakipiga Kelele zamani tu hata siku hizi Belo,Wacha1 na mfarisayo nao wanakimbia wanaonekana siku ya ushindi tu na ushahidi upo usitetee uongo Balatanda,Ntuzu,Pierre.fm na Ntuzu ndio nawaona na hasa hasa Nzi ndio nampa hongera Ana moyo wa kweli na timu mtu ambaye sikutegemea atakuja kukauka ni Wacha1 sababu namuaminia jamaa ila Mfarisayo tushamzoea siku hizi hata picha mfarisayo hatutumii amepotea ila nakuhaidi Mie utazidi kuniona hata tukifungwa, Mie kitu kimoja watu wakishindwa nakuja thred zenu kuwapa pole mkishinda nawapa hongera ila nyie mnakuwa kimya kuja siku ya hongera hehehehe, Na kuhusu ubingwa sie hatupigi Kelele za ubingwa sio top 4 happy ya ubingwa ni bonus, thred waliyokuwa Kelele za ubingwa walikuwa point 9 Mbele unawajuwa ndio waliyokuwa wanasema wao mabingwa TV wameanza kutizama 96 nafikiri ndio ikapata mashabiki huku usitulaumu Thred hii yetu hii ni ya Wazee hatujui kutumia website hizi hehehe ila Mbu Tupo pamoja hatutokuangusha sababu haujatuangusha LFC YNWA! LFC 4 TOP 4.

......hahahaha, halafu wewe Pazi umeadimika sana, hujiamini amini bado na team yako kama bro wangu TIMING....


#MosKwito !
 
Last edited by a moderator:
Liverpool safari bado ndefu acheni ujinga. Igeni Arsenal tumeongoza ligi more than 85% lakini bado hali tete nyie hata usukani hamjashika mnaanza makalele. Komaeni kwanza, hamkumbuki mlivyokuwa vizuri msimu wa 2009 mkapishana point moja na Manure, mkalikosa ndoo la EPL... so safari bado ngumu subirini mshinde kwanza ndio muanze'dream come true'.
Hakuna aliyepiga Kelele sie tunafurahi ukitegemea tulipotoka sasa sijui nyie na sie nani ndio alikuwa Ana scream for orgasms yakuwa wao mabingwa?
 
Liverpool safari bado ndefu acheni ujinga. Igeni Arsenal tumeongoza ligi more than 85% lakini bado hali tete nyie hata usukani hamjashika mnaanza makalele. Komaeni kwanza, hamkumbuki mlivyokuwa vizuri msimu wa 2009 mkapishana point moja na Manure, mkalikosa ndoo la EPL... so safari bado ngumu subirini mshinde kwanza ndio muanze'dream come true'.

Sizinga nyie Asenane ndo kawaida yenu kuwa on top katikati mwa ligi, usiku ukianza kuandama mnawapisha wanaume so tushawazoea wala hatushangai. Liverpool hatupo hivyo sure i tell u we are going to bring the primier tittle at maryside this season!!
 
Last edited by a moderator:
......hahahaha, halafu wewe Pazi umeadimika sana, hujiamini amini bado na team yako kama bro wangu TIMING....


#MosKwito !
tizama vizuri alafu utaona nimeadimika kivipi kila siku nipo Mie hapa siji mitaa yenu sababu hamjui kutoa pongezi za ushindi kila siku tunawapa sie nyie roho haziwapi hata kuja hongereni mnashindwa. Mie nipo na nitakuwepo na Leo nitakuwepo.
 
Siku nikiwa comfortable hivi huwa tunafungwa! God forbid! YNWA.

For sure today's match is like a final battle if we win it, soon on may we are going to submit the cup at anfield. Gemu la leo ni big match in England losing it is Man city and Chelsea's will!! Keep comfortable man.
 
Back
Top Bottom