haswaaaaa MKUU wamejiachia sana kuna photo za kumwaga kwenye thread za wenzetu why yetu imedoda bana ikiwezekana tunahitaji kuwekwe na picha za vikosi kipindi hicho tunanyakua makombe ya uefa na ligi fa caling camp
huku nafasi maalam ya kubandika picha ya sherehe za ubingwa 2014 ikiachwa wazi kabisaaaaaaa.
I second u, moyo utasuuzika Mbu akitupia ka photo walikonyanyua ndoo majogoo wa anfield!!
Last edited by a moderator: