Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

tabia za Media England pia zitasababisha wachezaji wengi kuondoka hapa C Ronaldo alikuwa good boy United na alikuwa anachukiwa angekuwa Bad Boy ndio angechukiwa kuliko Suarez na Media tizama Spain Costa kila siku na Pepe wanaye meana mate wanapigana vipepsi bila Kuwa na mpira refa asipoona sheria Kule hufungiwi sasa Diego Costa si anakuja English League subiri afanye zile tabia anafanya Spain uone Media zitavyoandika na watu Social Media watavyokuza habari wa timu zengine ili apigwe ban na Morinho atavyokuwa anatetea ndio Football ilivyo. Sheria siku hizi kuna Camera nimeona game nyingi mtu anakaa pembeni ya mtoto ananyoosha kidole cha kati kwa Player mshabiki Huyo Huyo utamkuta anasema watu Kama Suarez Na Cantona Hawafai wanafundisha watoto tabia mbaya mashabiki nao wafungiwe.
 

Attachments

  • Lana.jpg
    Lana.jpg
    71.1 KB · Views: 38
  • Lana1.gif
    Lana1.gif
    14 KB · Views: 115
FIFA wapumbavu...wamemfungia sawa why,asiruhusiwe mazoezi?why Liverpool plans zivurugike sababu ya kosa timu ya taifa?Suarez,anahitaji pia msaada wa kisaikolojia...atafutiwe daktari

Nafikiri Liverpool walichukulia kwa uzito unaostahili ishu ya psychology kwa wachezaji pale walipoamua kumchukua Dr. Steve Peters. Lui ameweza kuwa na tabia nzuri kwa msimu wa 12/13 na ninafikiri imechangiwa na kazi nzuri ya dr. peters.

Siyo Lui pekee bali tunafahamu dogo sterling ni mtukutu lakini hata na yeye ameweza kukiri kwenye moja ya mahojiano kwamba dr. peters amemsaidi kwa kiwango kikubwa…

Probably Uruguay as well walihitajika kuwa na the same approach
 
Fifa wanajua suarez ni threat kwa wachezaji wao wapenzi,messi na ronaldo,hata kma alifanya kosa bt punnishnment aiendani kabsa na kosa..ni kma vile kaua mtu bwana.

If that is the intention then they have to know kwamba kipaji hakiwezi kuhuishwa...the is no doubt that he is the best for the season 13/14
 
Hongereni Lallana kifaa sana, mwakani sioni wa kuwasimamisha ngoja tuangalie na usajili wa timu nyingine za juu, vinginevyo ni L'pool all the way. Suarez naye adhabu yake inaweza kupunguzwa na kuwa miezi miwili tu hivyo Sept atakuwa ndani ya mjengo akifanya vitu vyake.
 
osokonoi

Kwangu Suarez anabaki kuwa bora na nina pendelea abaki sababu wengi tunaangalia one side ambayo tayari ni negative, nani asiyejua kwamba he is the world class player? Hatujiulizi kwanini wengine wanamtaka? Unataka kuniambia Suarez ni mkorofi zaidi ya alivyokuwa cantona?

Kuna kila sababu ya LFC na BR kumbakiza Suarez sababu ana njaa ya mafanikio, hebu tufikiri iwapo atauzwa je kutakuwa na 6, 5 or 4 goli kwa one match kwa hii blood england ambayo tunayo? Nahisi kuna some force from other manager kwenye media sababu wanaitambua habari yake uwanjani

If I am BR i can him

FIFA ni stupid ndo maana hata rais wa Uruguay anawaona kama son of b*tch

Maneno yaliyomtoka prezidaa yaliwashtua hata waandishi akabidi wamuulize mara mbilimbili...vipi mkuu, tuandike kama ulivyotamka..?
 
Last edited by a moderator:
Suarez anahitaji msaada kisaikolojia,hili kosa analirudia mara ya tatu na wakati huu ni katika mashindano makubwa ya WC,kwenye adhabu FIFA ndio wamechemka adhabu ilipaswa iwe kwenye timu ya taifa tu na sio kwenye klabu level.Inaonekana Liverpool wameamua kumuuza Barca,Suarez ameomba msamaha Leo na inasemekana Barca wamemlazimisha aombe radhi na kuahidi kuwa hatarudia tena hilo kosa

Kwa kiasi Fulani naona Liverpool wanalishughulikia vizuri swala la psychology kwa wachezaji wao through dr. peters.

Well, sijasikia any official news kwamba Liverpool wameamua kumuuza kwa Barca.

…while kuomba radhi ni kitendo cha kiungwana ingawa kama kawaida kuna watu wanakosoa statement yake…
 
ndugu yangu osokonoi watu wanafiki sana,leo wanamuona suarez kama muuaji flani hivi,kumbe moyoni wana yao! Kuna waandish wa kiingereza wana mapenzi yao binafsi kwa wapinzani wa LFC pale england wanataka kutumia gap hili kumuhamisha jamaa ili kuidhoofisha LFC,if i was John W Henry,nisingemuuza suarez popote pale,badala yake ningenunua striker mwingine,Sanchez-type,nikamuacha jamaa amalize ban yake arudi uwanjani kufanya yake

Wazungu (…among them British) wamekuwa wakijitetea kwamba they’re standing for justice na ndiyo maana wanayaandika wanayoyaandika juu ya Lui.
Waandishi wanasema kama wao wanamchukia mbona wamempa kura zao na kumzawadia FWA footballer of the year award and leave out their nation’s captain?
 
Last edited by a moderator:
Wazungu (…among them British) wamekuwa wakijitetea kwamba they're standing for justice na ndiyo maana wanayaandika wanayoyaandika juu ya Lui.
Waandishi wanasema kama wao wanamchukia mbona wamempa kura zao na kumzawadia FWA footballer of the year award and leave out their nation's captain?

kweli aisee.
 
haya maneno yana ukweli ndani yake
Tony Barrett anasema
Barcelona praise Suarez for his apology. If you can't see the game that's being played now you never will.
 
more update on Suarez saga
Tony Barrett - A Barcelona delegation will arrive in London today (02/07/14) to open talks with Liverpool over the proposed transfer of Luis Suarez.
 
wakuu yametimia! According to Liverpool ECHO,LFC have opened talks with Barca over a transfer of L.S! Wanatarajia kukutana jumatano jijini London kwa ajili ya kudiscuss deal na kuna posibility kubwa ya Sanchez kuwa part ya deal! Aione osokonoi The Boss MosDef Pazi Janjaweed reynod and all LFC family humu ndani
 
Last edited by a moderator:
Hongereni Lallana kifaa sana, mwakani sioni wa kuwasimamisha ngoja tuangalie na usajili wa timu nyingine za juu, vinginevyo ni L'pool all the way. Suarez naye adhabu yake inaweza kupunguzwa na kuwa miezi miwili tu hivyo Sept atakuwa ndani ya mjengo akifanya vitu vyake.
Kweli hatupendi Mie bado sijaona mpira wa Lallana japo Kuwa timu Kama Man United ndio iliyomtaka sana nimeshangaa LFC kumtaka Lallana na si Lazar Markovich ki ukweli LFC haikumuhitaji Lalana kubadilisha game labda kutokea bench LFC inahitaji beki na Middle zenye ubavu.
 
wakuu yametimia! According to Liverpool ECHO,LFC have opened talks with Barca over a transfer of L.S! Wanatarajia kukutana jumatano jijini London kwa ajili ya kudiscuss deal na kuna posibility kubwa ya Sanchez kuwa part ya deal! Aione osokonoi The Boss MosDef Pazi Janjaweed reynod and all LFC family humu ndani
gullem balague wa Spain twitter yake pia nimeona kaandika Barca wameanza talk na LFC na Huyu jamaa akisema kitu kuhusu player Spain na EPL inakuwa kweli. Mie la Suarez vyovyote itavyokuwa itakuwa mazuri kwa yeye na LFC haina haja kumchukia akiondoka wakati alivyokuwepo tulimshangilia.
 
Kweli hatupendi Mie bado sijaona mpira wa Lallana japo Kuwa timu Kama Man United ndio iliyomtaka sana nimeshangaa LFC kumtaka Lallana na si Lazar Markovich ki ukweli LFC haikumuhitaji Lalana kubadilisha game labda kutokea bench LFC inahitaji beki na Middle zenye ubavu.

mimi nadhani kinachoiathiri LFC sio ubovu wa mabeki wala middle,ni mfumo! Almost team nzima ni attaking minded,na mfumo wetu upo hivyo! Hebu angalia,mbele ya wale mabeki wanne yupo S.G peke yake,huo ni mfumo,team kama man city pale kati anacheza Fernandinho na yaya toure,sisi yupo mmoja tu,Gerald,ambye sio natural DM,ili kupunguza idadi ya magoli ya kufungwa pale LFC,mfumo ndo unaotakiwa kubadilika,kuwe na watu wawili wa kuwa cover mabeki pale mbele yao,otherwise hata umsajili middle gan duniani,kama atacheza mwenyewe pale kati tutaendlea kufungwa sana tu.
 
mimi nadhani kinachoiathiri LFC sio ubovu wa mabeki wala middle,ni mfumo! Almost team nzima ni attaking minded,na mfumo wetu upo hivyo! Hebu angalia,mbele ya wale mabeki wanne yupo S.G peke yake,huo ni mfumo,team kama man city pale kati anacheza Fernandinho na yaya toure,sisi yupo mmoja tu,Gerald,ambye sio natural DM,ili kupunguza idadi ya magoli ya kufungwa pale LFC,mfumo ndo unaotakiwa kubadilika,kuwe na watu wawili wa kuwa cover mabeki pale mbele yao,otherwise hata umsajili middle gan duniani,kama atacheza mwenyewe pale kati tutaendlea kufungwa sana tu.
umesema kweli ila pia mabeki muhimu Kama Lovren nilivyosema wachezaji mabavu nimemanisha watu Kama style za Yaya,Fenandinho na Yule Reges kati unavunja vunja na kuzuia kinda zozote kupita hii inamsaidia beki kupumzika na kufikiria kuzuia bila Presha sababu Middle zinafanya kazi za unyama ndomana nikasema Lallana hakuhitajika Kuwa LFC tayari tuna Raheem na Coutinho labda Kama Bench Kuwa na watu wa kubadilisha Rogers lazima atafute Watu walioshiba na akili pale kati.
 
Suarez sale will give us money to balance the team... We need the money to strengthen our defense as well as having one pacy striker like sanches au fedhouli au di maria

we have top scorer in the name of sterling and sturridge with super aerial strength in lambert and sturridge so we are not that desperate to keep a distractor although he is a game changer (like Messi in Argentina)

We may not challenge EPL like last season, but we may become a top four household name, which has been missing for years

remember when we were scary in UCL, we only had a humble gerro and a learing alonso...

our current squad is stronger than any squad in the past 15 years
 
Ishu ya suarez kung'ata siyo ya mara ya kwanza, na kwa kuwa ni kitendo ambacho kimejirudia mara kwa mara ni kweli kuwa alikuwa anasitahili adhabu kubwa zaidi..

Lakini sidhan kama adhabu hiyo, ilikuwa inahitaji kuihusisha mpaka #LFC , coz amefanya kosa akiwa katika jezi na kwenye duties za team yake ya Taifa..so #LFC hakutakiwa kujumuishwa kwenye adhabu hiyo..nadhani FIFA walikurupuka sana kutoa ile adhabu, na kwa mtazamo wangu nahis vyombo vya habari vya uingereza na Italy vilichangia zaid kuleta presha katika maamuzi ya FIFA, ni kama tu English medias zinavyoiandama FIFA kuhusu quatar...

Na ni wazi kuwa, most of England journos wenye mlengo tofauti na #LFC hawamtak Suarez pale England..mfano tu, ni leo baada ya jamaa kuomba msamaha, rumours zikalipuka kuwa Barca wamemtuma aombe msamaha..asa hapo unajiuliza, Iweje club yake anayoichezea na inayompa mshahara isijali kabisa apology ya mchezaj wake, na hiyo apology ije kujaliwa na team ambayo haijaanza hata mazungumzo na #LFC ????

Chiellini... “the ban is excessive…”

“It’s a breach of human rights…barbarity” maneno ya Diego Lugano..halafu akaongezea… “They might as well handcuff him and throw him in Guatanamo”

Imeelezwa kwamba adhabu iliyotolewa na fifa ilichagizwa na background mbaya ya lui na kwamba that was the third time…ok, let say back ground ilichangia… but let us discuss this…Pepe anatambulika kwa ukosefu mkubwa wa nidhamu, ukiachilia mbali background hiyo mbaya, tumeshuhudia recently akimtwanga kichwa Muller na matokeo yake akapewa adhabu ya kukosa mechi moja. Alex Song, alifanya kitendo kinachofanana na alichokifanya Pepe lakini kilichomkuta yeye ni kufungiwa mechi tatu!

Kama fifa huwa wanaangalia background ya mtu katika kutoa maamuzi yao then why Pepe ambaye anakawaida ya kuwa na tabia chafu akapata hukumu ndogo na Alex ambaye hana background mbaya kama ya pepe akahukumiwa zaidi kwa kosa linalofanana?

Je hilo limesababishwa na waandishi wa England? Au limesababishwa na inconsistency ya fifa? Au ni ufedhuli unaotajwa kuwepo kwenye organization hiyo, kwamba wanapendelea inchi ambazo zina nguvu kisoka?
 
Back
Top Bottom