Livingstone Lusinde anafaa kuwa Waziri wa Wizara ngumu na nyeti nchini

Livingstone Lusinde anafaa kuwa Waziri wa Wizara ngumu na nyeti nchini

Huyu mtu ana akili nyingi sana na ni mzalendo wa dhati mwenye maono mazito juu ya nchi yake. Ni nadra sana kuwa na watu wa aina hii. Tatizo letu watanzania ni kushindwa kuwatumia vizuri watu wa aina hii kwa maendeleo ya taifa letu.

Tangia awe mbunge zaidi ya miaka 10 mfululizo, michango yake bungeni mara zote huwa zilizoshiba na akianza kuchangia bunge zima na nchi nzima husisimuka.

Angalia leo mchango wake wa namna ya kukabiliana na athari za madhara yatokanayo na majanga kama ya vita ya Russia vs Ukraine, Covid 19 na mengineyo:


Naunga mkono hoja, kiukweli kabisa huyu ni genius fulani basi tuu!.
P
 
Kule Arumeru enzi hizo kwny kampeni za ubunge za sioi vs nasari,kibajaji alisema rangi ya kijani ni rangi Bora kabisa afu likauliza migomba Ina rangi gani?Mahindi?Viazi then likasema kila kilichopo shambani Ni rangi ya CCM then likauliza hivi rangi ya CHADEMA ikitokea kwny mhindi inakuaje?Hio Ni rangi ya laana

Then akamalizia akasema kale kazee(Dr. Slaa) kanatembea na kanarusha rusha tu ule mkono wake na kanatembea Kama kamejinyea vile.

Huyo ndio aspirant PH.d wetu.
 
Umeona uje ujipakulie minyama mwenyewe...

Kizuri cha jiuza...
 
Back
Top Bottom