Rebeca 83
JF-Expert Member
- Jun 4, 2016
- 15,136
- 32,268
Hello dear.
i just think its time to move on, leave Wasafi.
Fungua kampuni yako binafsi,
Wasanii wawe Free kuja kwako,uwatengenezee nyimbo zao.
Awe Diamond,Harmonize au msanii yeyote.
Ila malipo,yawe per nyimbo.
Na sio kwa mwezi tena,
Its scary to gamble especially kama upo kwenye comfort zone ya kulipwa mshahara kila mwezi.
But trust me, you have got a lot of potential. Plus ushajijengea jina tayari,hutakosa kazi.
Tumia talent yako uliyopewa na mwenyezi Mungu fully.
Thanks.
i just think its time to move on, leave Wasafi.
Fungua kampuni yako binafsi,
Wasanii wawe Free kuja kwako,uwatengenezee nyimbo zao.
Awe Diamond,Harmonize au msanii yeyote.
Ila malipo,yawe per nyimbo.
Na sio kwa mwezi tena,
Its scary to gamble especially kama upo kwenye comfort zone ya kulipwa mshahara kila mwezi.
But trust me, you have got a lot of potential. Plus ushajijengea jina tayari,hutakosa kazi.
Tumia talent yako uliyopewa na mwenyezi Mungu fully.
Thanks.