Lizer wa wasafi...its time to move on

Lizer wa wasafi...its time to move on

Rebeca 83

JF-Expert Member
Joined
Jun 4, 2016
Posts
15,136
Reaction score
32,268
Hello dear.

i just think its time to move on, leave Wasafi.

Fungua kampuni yako binafsi,

Wasanii wawe Free kuja kwako,uwatengenezee nyimbo zao.

Awe Diamond,Harmonize au msanii yeyote.

Ila malipo,yawe per nyimbo.

Na sio kwa mwezi tena,

Its scary to gamble especially kama upo kwenye comfort zone ya kulipwa mshahara kila mwezi.

But trust me, you have got a lot of potential. Plus ushajijengea jina tayari,hutakosa kazi.

Tumia talent yako uliyopewa na mwenyezi Mungu fully.

Thanks.
 
Usichokijua ni kuwa wasanii wa bongo wako kwa upepo yaani kama biashara ya bar.
Producer ukiwa na upepo kwa wakati huo wasanii wote wanakuja kwako, ukikata wote wanahama wanaenda kwingine. Ni heri abaki hapo kwenye uhakika.
Haa😁😂😅😏😏😃😀😁😂😂😂😎😶😏😀😂😁
Kama Biashara Ya Bar
 
Hello dear...

i just think its time to move on, leave Wasafi...

Fungua kampuni yako binafsi,

Wasanii wawe Free kuja kwako,uwatengenezee nyimbo zao..

Awe Diamond,Harmonize au msanii yeyote...

Ila malipo,yawe per nyimbo...

Na sio kwa mwezi tena,

Its scary to gamble especially kama upo kwenye comfort zone ya kulipwa mshahara kila mwezi...

But trust me, you have got a lot of potential...plus ushajijengea jina tayari,hutakosa kazi....

Tumia talent yako uliyopewa na mwenyezi Mungu fully..

Thanks.
Nyie ndo mnafanya Tanzania iwe masikini hadi leo, na ndo mana Kenya wanakuja kuchukua ajira za wa TZ kwa ushauri kama huu unaoungea....... Kila mtu akijiajiri unadhani maisha yatakuwaje.?
 
Haa😁😂😅😏😏😃😀😁😂😂😂😎😶😏😀😂😁
Kama Biashara Ya Bar
Yaah yaani kuna kuwa na ile bar gani ndio habari ya mjini. Utaona wote wanahama bar. Wajanja huwa upepo ukikata wanafanya ukarabati na kubadili muonekano. Utaona tena kundi lote linarudi.😀
Walevi huwa wanaarifiana machaka mapya au yaliyoboreshwa.
 
Yaah yaani kuna kuwa na ile bar gani ndio habari ya mjini. Utaona wote wanahama bar. Wajanja huwa upepo ukikata wanafanya ukarabati na kubadili muonekano. Utaona tena kundi lote linarudi.😀
Walevi huwa wanaarifiana machaka mapya au yaliyoboreshwa.
Usemacho Kina Ukweli 🤨😅😄😄
Kuna Jamaa Yangu Ikifika Ijumaa 😋😋
Anakunywa Bar Hii Bia Nne Anaondoka Anakwenda Nyingine
Mpaka Afikishe Bar Tisa 😁😂😊🤔😀😅😄😐 Ndiyo Anakwenda Kulala!!
 
Yaah yaani kuna kuwa na ile bar gani ndio habari ya mjini. Utaona wote wanahama bar. Wajanja huwa upepo ukikata wanafanya ukarabati na kubadili muonekano. Utaona tena kundi lote linarudi.[emoji3]
Walevi huwa wanaarifiana machaka mapya au yaliyoboreshwa.
[emoji23][emoji23]
 
Swahili Je,Zile beats ni mali ya Lizer au ni Wasafi?na je kama ni mali ya Wasafi yeye kama producer beat ni copyright yake ananufaikaje?
Mziki wa kibongo producer ukishatengeneza biti ukalipwa chako ndio basi tena,ktk tasnia ya mziki maproducer hawana heshima wengi wanavuma kipindi fulani baadae wanapotea.Sio kwamba hawajui No bali wakipandisha hela za kutengeneza biti na kutaka win to win endapo kazi aliyo izalishwa itatumika wasanii wanawakimbia.

Wasanii wanaongoza kwa kopa na kiwadhulumu maproducer wanaishia kuumia ndani kwa ndani.

Kwa kifupi wasanii wa kibongo wanapenda vya bure.Yupo wapi Abby Daddy,Nareal,Hamy B,C9,Mensen,Sheddy clever,Zest nk hata T-Touch washaanza kumkimbia na ndio maana siku hizi nao wana amua kuimba.

Rebeca 83 Kweli ni kitu kizuri kujitegemea lkn tatizo wasanii wakibongo wanaweza kumfilisi akakosa kote,wanapenda kukopa na hawalipi.Tena hawa wenye majina makubwa wanaamini wao wakitumia biti zako ndio unajilikana hela hawataki kulipa.
 
Kuna watu mna utani.

Mwanamuziki yeyote wa wasafi akitaka kutoa ngoma ambayo ana lengo iwe ya kimataifa laizer hua anawekwa kando.

Ila wakitaka nyimbo zina beats basic ndiyo laizer anahusika. Ngoma kama Sikomi, Kijuso na nyimbo zote zenye beat komedi ndiyo mambo ya laizer.

Leo atoke afanye nini? Huko nje kuna wakina S2Kizzy wakina Chali, T Touchez n.k hawezi survive.
 
Back
Top Bottom