inamankusweke
JF-Expert Member
- Apr 24, 2014
- 20,344
- 21,967
Unaamini zitto na aliyekua Waziri wa Nishati hajui Hilo!?..acheni ujuajiMimi nimeeleza kwanini uelewa wao ni mdogo, sasa ili kuonyesha mimi ndio zwazwa ungetuambia ni kiasi gani cha hizo $42 billion dollar zinaingia kwenye mzunguko wa Tanzania.
Jibu hoja, sio kutukuza watu.Unaamini zitto na aliyekua Waziri wa Nishati hajui Hilo!?..acheni ujuaji
Namshukuru Mungu siishi shithole, pamabaneni na hali zenuPeleka na wewe wanao wakawe chipukizi,acha kulia kijinga,huko shuleni CCM hawakuja kutaka mjiunge nao!?..mlijiunga au ndiyo mliona upuuzi kuvaa sare za njano na kijani!?
Wewe unachoelewa $42b ni za nini kwenye huo mradi!?..anakopa nani na analipa nani!?Jibu hoja, sio kutukuza watu.
Wewe ni miongoni mwa watu wema na wakweli katika taifa hili.Liwe somo kuwapa vilaza kama hakina Makamba sensitive sectors. Yeye na kampuni yake hakina Zitto wanachukulia $42 billion ni hela ya mzaha kuirudisha.
Wakitoka hapo wanaongea ujinga wa local contents sijui tutakuwa tunauza kuku mia ngapi kwa siku etc with nonsense.
Muulize sasa hiyo $42 billion ina justy specification za plant au akupe breakdown cost, hawana hayo majibu; ukiwaona sasa wanavyokaa na wawekezaji hayo mapozi yao utadhani watu wa maana wakati atawajui hela yenyewe inarudi vipi.
My guess Tanzania itakuwa imestuka $42 billion ni inflated costs ya mradi. Sehemu kubwa ya hiyo hela itaenda kwa ‘Subsea 7’ kampuni ambayo ni joint venture ya marekani na Norway ni specialised engineering firm ya onshore construction na kutandaza pipes, nyingine inaenda kutoa biashara ya steel kwa makampuni ya Norway ambayo yapo mengi huko kwa kwao na mfaidika mwingine ni LNG construction firm ambayo itakuwa ya kimarekani tu na yenyewe.
Hapo ukidadavua utakuta 90% ya hizo $42 billion zinafaida kwenye uchumi wao wana kila sababu ya ku inflate hizo costs.
Bado sasa hesabu za kurudisha hizo hela ni pasua kichwa na kama sehemu kubwa ya investment ni mkopo with interest ya 6% tu ni shida. Mradi ukianza hela ya investment inatoka kwanza kwenye faida regardless ya hali ya soko (sometimes production is high, sometimes is low). Kuna kanuni zake hapo, if global demand is low kurudisha deni unaweza kujikuta unazalisha na upati chochote zaidi ya kulipa deni tu.
Haya sio mambo ya kukurupuka ni very technical inataka uelewa mpana wa maswala ya finance, oil and gas industry, global politics, etc. Sio mambo ya kukurupuka na kusikiliza ropo ropo za mtu kama Zitto au January ambao uelewa wao wa hayo mambo ni mdogo mno kwa kuwasikiliza.
Unaniuliza maswali ambayo baadhi nimeshaeleza $42 billion sehemu kubwa inaenda kwa contractors ambayo ni makampuni ya Norway na Marekani; nimekutajia na moja kabisa hapo ni Subsea 7.Wewe unachoelewa $42b ni za nini kwenye huo mradi!?..anakopa nani na analipa nani!?
Kwasababu Zitto amesema basi ni ukweli? [emoji3]Unaamini zitto na aliyekua Waziri wa Nishati hajui Hilo!?..acheni ujuaji
Ni hoja gani umeanza nayo hadi uwahamasishe wengine kukusapoti? Rudi weka hoja kwenye mada yako, zaidi ya hapo ni mihemko tu uliyo nayoWakuu wangu nipo chini ya miguu yenu.
Nikiwaomba mje hapa tujadiliane kwa kina juu ya mradi wetu wa LNG.
Kwanini mradi unachelewa?
Tufanye nini ili utekelezaji wake uanze kwa wakati?
Sisi kama watanzania njooni tujadili badala ya kuweka akili zetu kwenye Yanga na Simba njooni hapa.
Ni sawa, nimekuelewa boss ila kwa 25- 30% sio mwanzo mbaya kwani hatuna cha kupoteza na kama ni mkataba hata uwe wa miaka 50 ikifika itakuwa mali yetu kwa 💯 na wakati huo tutakuwa na vijana wetu waliopelekwa nje kusoma ili waje kushika top jobs hapoHaya sio kweli tujikite kwenye mambo ya msingi sio kuwasema viongozi. Tujadili mkataba unasemaje, na terms zikoje, stake ilikua ngapi? na Nk.
Hizo 26%-30% mmezitoa wapi ?Ni sawa, nimekuelewa boss ila kwa 25- 30% sio mwanzo mbaya kwani hatuna cha kupoteza na kama ni mkataba hata uwe wa miaka 50 ikifika itakuwa mali yetu kwa [emoji817] na wakati huo tutakuwa na vijana wetu waliopelekwa nje kusoma ili waje kushika top jobs hapo
Oman walikuwa na mkataba wa mafuta na wazungu kwa 50 years na sasa imeisha na [emoji817] ni wao na vijana wamesoma ndio wanaofanya kazi zote bila kutegemea watu wa nje hiyo wanaiita nationalization yaani kazi zote kubwa wanashika wao baada ya kusomeshwa na serikali kwa bidii zote
Naungana nanyi na kila la kheri
Nakumbuka Gas and petroleum Engineering enzi za jiwe Siasa ilifanya kazi kweli kweli sasahivi kimyaaa🤣🤣Wakuu wangu nipo chini ya miguu yenu.
Nikiwaomba mje hapa tujadiliane kwa kina juu ya mradi wetu wa LNG.
Kwanini mradi unachelewa?
Tufanye nini ili utekelezaji wake uanze kwa wakati?
Sisi kama watanzania njooni tujadili badala ya kuweka akili zetu kwenye Yanga na Simba njooni hapa.
Ilikuwa humu naona imefutwaHizo 26%-30% mmezitoa wapi ?
Akisema kitu kikawa tofauti na ukweli haswa katika suala Kama Hilo,anashusha credibility yake na kutia shakani biashara yake ya siasa,Sasa huyo anadai Waziri wa wizara husika hajui kitu kuhusu biashara na mikataba ya gas Ila yeye anajua,huo ni ujuaji wa kijinga!Kwasababu Zitto amesema basi ni ukweli? [emoji3]
$42b ni gharama ya mradi(capital) ilikua uanze kazi,ambapo makampuni husika yatakopa yajuako,mkataba haujaingiwa,unajadiliwa,we unauliza kiasi gani kitaenda kwenye uchumi wa tz!?..Kama mna bidhaa na malighafi za ujenzi wa miundombinu hakikisheni nyie ndiyo mnatoa,Kama hamna ni obvious vitatoka wanakojua wao,mradi wa maji ya Victoria mkia wa tabora mabomba yalitoka wapi!?..maana hela alitoa mhindiUnaniuliza maswali ambayo baadhi nimeshaeleza $42 billion sehemu kubwa inaenda kwa contractors ambayo ni makampuni ya Norway na Marekani; nimekutajia na moja kabisa hapo ni Subsea 7.
Ni hivi mnakaa huko Twitter na kuongea petty issues na kudhani hizi investments ni rahisi sana.
We unadhani kwanini miaka zaidi ya 15 tangu vitali vipatiane bado wanasubiri.