LNG Project: Njooni tujadili unadhani kwanini mradi wa gesi ya LNG unachelewa na nini chakufanya ili utekelezwe kwa wakati

LNG Project: Njooni tujadili unadhani kwanini mradi wa gesi ya LNG unachelewa na nini chakufanya ili utekelezwe kwa wakati

ChoiceVariable

Walau siku hizi umejirekebisha kwa kupunguza kutukana watu humu na kuwapa label za wivu wakiwakosoa chawa wanaokulipa.

Back to the discussion Tanzania sio sawa na hayo makampuni Equinor, Shell na Exxon Mobil; hayo ni giants wa ‘oil and gas’ industry in terms of revenue na assset value na nadhani wote wapo kwenye top ten kwenye industry.

They don’t come bigger than those kwenye oil and gas na awaendi kwenye reserves tia maji tia maji, ukiona mmoja wapo yupo sehemu elewa hapo kuna reserves kubwa na ukiona watatu kama hao wapo pamoja basi hiyo reserve sio ya kitoto kabisa. Hao watu wanaweza kuwa na data kushinda serikali kuhusu ivyo visimsna pamoja na geogology ya hilo eneo kwenye faida za unitisation.

Equinor yenyewe ina ‘fund wealth value’ ambayo inamilikiwa na nchi yao ‘Norwegian wealth fund’ ambayo reserve iliyopo ni zaidi ya $1.3 trillion hizo hela wana invest kwa kukopesha. Bado as businesses Shell, Equinor na Exxon si ajabu capital reserves zao kila mmoja zinavuka $50 billion. Kwa pamoja hawakosi $150 billion.

Kwa maana hiyo wanaweza fund huo mradi bila ya kukopa wao wenyewe, au wakapata hiyo hela through ‘Norwegian wealth fund’ with low interest. Sasa how much hiyo hela inatoka private banks kuna huge implications kwenye return let alone kama ni necessary yote hiyo si ajabu $25 billion is more than enough kwa hiyo investment.

Nchi kama Tanzania aiwezi dengua na uwekezaji kama huo si JK, Magufuli wala Samia; Issue ipo kwenye win-win situation maana hivyo vitalu jamaa tayari wana exclusive rights ambazo uwezi wanyang’anya bila ya kulipa fines kubwa za billions of money.

Na haya mambo negations zake ni complicated hao wawekezaji hawana haraka kwa sasa wana biashara zenye faida na option za kwenda kwingine. Ila awawezi acha kuja na position ambayo ni very unfair and favourable to them. Lazima uwe makini, kudengua pia ni sehemu ya negotiations ili usionyeshe desperation ni kitu critical kwa host nation hasa maskini.

Wizara akaenda kupewa poyoyo asiejua lolote kuhusu game linavyochezwa yeye anachojua ni kuonekana mtu progressive mbele ya wazungu sijui yeye ni business minded etc with his stupidity (ignorance is bliss).

Anachojua kuna $42 billion bila ufahamu wa nitty gritty details za hizo investment akitokea kwenye media anatoa amri nimeagiza waanze makubaliano na wamalize ndani ya muda fulani na hadithi zake za local contents; huyu ndio kaiingiza nchi katika disadvantage kwenye hizo negotiations from the outset kwa uropokaji wake.

Sasa kumbuka hizi talks zilishaisha isha na contract drafted. Hizo draft baada kufika serikalini lazima kuna mambo wamebaini madhara yake ya muda mrefu ndio maana wamesita ku-sign toka December tarehe iliyopangwa. Nyie badala ya kuacha serikali ifanye mambo kwa utaalamu mnaleta ushabiki wa kishamba bila kujua madhara yake ya muda mrefu na kwamba hizo kelele zina faida kwa wawekezaji kwenye Kuipa serikali pressure.
 
Miradi ambayo wazungu hawapendi kuisikia kwenye nchi za Dunia ya tatu:
1. Energy and power
2. Agriculture
3. Space exploration
4. Practical education .
Watatumia mabilioni ya Dola kuhonga wanasiasa Ili tu mambo yasiende.
Africa tunahitaji mfumo mwingine wa kiutawala achana na huu wa wazungu. Zaidi ya miaka 70 sanduku la kupigia kura limeshindwa kubadiri Hali ya mambo zaidi ya kuzalisha wanasiasa matajiri huku wananchi wengi wakidondokea kwenye Lindi la umasikini wakutupwa.
Huu ndo ukweli mkuu mia kwa mia🙌🏾

Sasa ebu toa ushauri wako tufanyeje?
 
Hizi shudu zote hazihalalishi malalamiko yako, sababu mkataba haujasainiwa na hao wawekezaji wanalalama tupo slow Sana watavunja muungano wao wa kuwekeza gas ya Lindi,we tayari ushakuja na ujuaji wako Tanzania hatupati kitu, mkataba umeuona wapi!?..kana zitto kasema watanzania watanufaika na kuhudumia huo mradi,kakosea wapi mpaka umdhihaki!?..subiri mkataba usainiwe ndiyo ulie, unamaanisha wewe unajua kuliko wote walioko jikoni ku-negotiate!?..acha ujuaji
Next nonsensical post nakupeleka ignore list.

Au unaweza endelea bila ya kuni quote sina muda wa kujibu utoto.
 
Kuongea ni rahisi hata ikiwa mbali sana na uhalisia.

Kufanya utafiti wa madini, gas na mafuta ni risk sana. Ilikuja kampuni ya Brazili kufanya utafiti wa mafuta nchini. Ilitumia dola milioni 760, na haikupata hata tone la mafuta. Ikaondoka, inaendelea na shughuli zake kama kawaida. Fikiria kama ingekuwa ni Serikali ya Tanzania imetumia pesa kiasi hicho, na imeambulia patupu.

Unapoondoka kwenda kufanya utafiti wa mafuta, gas au madini, chance yako ya kupata ni 0.1%. Iliyobakia 99.9% ni kupotea kwa pesa yako. Lakini katika leseni 10,000 za utafiti, ukabahatika kupata japo moja kuwa na matokeo mazuri, itafuta hasara ypte uliyoipata kwenye leseni 9,999. Ndiyo maana makampuni yanayofanya utafiti na uchimbaji mafuta na madini, kwa kiasi kikubwa ni yale tale Duniani kote. Wao wana miradi mingi inayozalisha ndiyo maana wana uwezo wa kuhimili hizo hasara.
Bila shaka unawazungumzia Patrobas.

Kila jambo linaanzia na nia ya dhati, sidhani kama tukiwa na nia ya dhati Kwa kuwekeza kwa watu wetu na kuwa watalaam wabonezi + plus vifaa tutashindwa.

Unataka kuniambia tukitengeneza watalaam wetu tutakosa fund ya kufanya hata exploration kwenye dhahabu, almasi nk pamoja na kuchimba?.
Hata hiyo gas na mafuta gharama kubwa sana IPO kwenye offshore exploration hasa kwenye kuhire drill rigs au drill ships pamoja na accessories zake, naamini hizi onshore tunaweza kuzifanya na hata kuchimba.

Shida yetu kubwa akili zote ziko kwenye siasa kuanzia wanasiasa wenyewe, wananchi mpaka watalaam watendaji.
 
Tatizo la tanzania. Mladi unachelewa, wananchi hawaelimishwi vya kutosha juu ya matumizi yao majumbani nk. Hata wale wanaotumia ges majumbani bei ya ges inapanda kila leo.

Mimi naona watu waelimishwe kwanza juu ya matumizi gas majumbani, ishushwe bei hadi kila mwananchi aweze kuitumia, ikuwezekana kila kata iwekewe kituo maarum cha kujaza ges nchi nzima.
Hadi ifike wakati kila mtu aone kutumia ges ni kitu cha kawaida kama watu wanavyotumia mkaa au kuni. Isiwe mtu mkitumia ges aonekane spesho.
Wakifanikiwa hili, hata ikiwa inasafirishwa mwananchi analizika.
Haiwezekani unatangaza matilioni kuingia nchini wakati huo kwa mwananchi bei zinapanda kila uchao.
 
ChoiceVariable

Walau siku hizi umejirekebisha kwa kupunguza kutukana watu humu na kuwapa label za wivu wakiwakosoa chawa wanaokulipa.

Back to the discussion Tanzania sio sawa na hayo makampuni Equinor, Shell na Exxon Mobil; hayo ni giants wa ‘oil and gas’ industry in terms of revenue na assset value na nadhani wote wapo kwenye top ten kwenye industry.

They don’t come bigger than those kwenye oil and gas na awaendi kwenye reserves tia maji tia maji, ukiona mmoja wapo yupo sehemu elewa hapo kuna reserves kubwa na ukiona watatu kama hao wapo pamoja basi hiyo reserve sio ya kitoto kabisa. Hao watu wanaweza kuwa na data kushinda serikali kuhusu ivyo visimsna pamoja na geogology ya hilo eneo kwenye faida za unitisation.

Equinor yenyewe ina ‘fund wealth value’ ambayo inamilikiwa na nchi yao ‘Norwegian wealth fund’ ambayo reserve iliyopo ni zaidi ya $1.3 trillion hizo hela wana invest kwa kukopesha. Bado as businesses Shell, Equinor na Exxon si ajabu capital reserves zao kila mmoja zinavuka $50 billion. Kwa pamoja hawakosi $150 billion.

Kwa maana hiyo wanaweza fund huo mradi bila ya kukopa wao wenyewe, au wakapata hiyo hela through ‘Norwegian wealth fund’ with low interest. Sasa how much hiyo hela inatoka private banks kuna huge implications kwenye return let alone kama ni necessary yote hiyo si ajabu $25 billion is more than enough kwa hiyo investment.

Nchi kama Tanzania aiwezi dengua na uwekezaji kama huo si JK, Magufuli wala Samia; Issue ipo kwenye win-win situation maana hivyo vitalu jamaa tayari wana exclusive rights ambazo uwezi wanyang’anya bila ya kulipa fines kubwa za billions of money.

Na haya mambo negations zake ni complicated hao wawekezaji hawana haraka kwa sasa wana biashara zenye faida na option za kwenda kwingine. Ila awawezi acha kuja na position ambayo ni very unfair and favourable to them. Lazima uwe makini, kudengua pia ni sehemu ya negotiations ili usionyeshe desperation ni kitu critical kwa host nation hasa maskini.

Wizara akaenda kupewa poyoyo asiejua lolote kuhusu game linavyochezwa yeye anachojua ni kuonekana mtu progressive mbele ya wazungu sijui yeye ni business minded etc with his stupidity (ignorance is bliss).

Anachojua kuna $42 billion bila ufahamu wa nitty gritty details za hizo investment akitokea kwenye media anatoa amri nimeagiza waanze makubaliano na wamalize ndani ya muda fulani na hadithi zake za local contents; huyu ndio kaiingiza nchi katika disadvantage kwenye hizo negotiations from the outset kwa uropokaji wake.

Sasa kumbuka hizi talks zilishaisha isha na contract drafted. Hizo draft baada kufika serikalini lazima kuna mambo wamebaini madhara yake ya muda mrefu ndio maana wamesita ku-sign toka December tarehe iliyopangwa. Nyie badala ya kuacha serikali ifanye mambo kwa utaalamu mnaleta ushabiki wa kishamba bila kujua madhara yake ya muda mrefu na kwamba hizo kelele zina faida kwa wawekezaji kwenye Kuipa serikali pressure.
Mkuu umemaliza kila ,hawa wanaopiga kelele leo kuwa tunachelewa na ndio hawahwa wataanza kupaaza sauti kuwa tumepigwa.Ningekuwa na uwezo ningemeambia mheshimiwa Rais hili swala halina haraka hadi pale itakaponekana uwepo wa win win deal na sio vinginevyo .
 
Huyo mimi nilishamuweka kwenye ignore list kwahiyo sijui hata alichoandika. Lakini kutokana na hii response yako, inaonekana sina haja ya kufahamu alichosema.
Hata jina lake ni laana tu huyu jamaa ni mshari sana ni wa kumtupa kapuni tu
Ana matusi ya kijinga na hana hoja ni wale mama zao wakiwa wanawaita wanasema we mbwa njoo
Unategemea nini hapo
Just ignore him for good he's nothing
 
Huu ni mjadala wa kitaifa kuhusu mradi mkubwa wa gesi Tanzania. Wachangiaji tunawaomba humu.
 
Wakuu wangu nipo chini ya miguu yenu.

Nikiwaomba mje hapa tujadiliane kwa kina juu ya mradi wetu wa LNG.

Kwanini mradi unachelewa?

Tufanye nini ili utekelezaji wake uanze kwa wakati?

Sisi kama watanzania njooni tujadili badala ya kuweka akili zetu kwenye Yanga na Simba njooni hapa.

Wakuu mtanisamehe kwa kuwashitukiza katika kikao hichi cha dharura. Nimeleta mjadala huu baada ya kushituliwa na hii habari.


US cautions Tanzania on LNG project delays




The United States this week warned Tanzania of a likely exodus of investors in its long-anticipated, multimillion-dollar liquified natural gas project if it continues to be bogged down by delays over negotiation technicalities.


US Deputy Assistant Secretary of State Joy Basu told The EastAfrican in Dar es Salaam this week that companies such as Exxon Mobil that have been pushing the deal with Tanzanian authorities had reached a point where they were now “willing to walk away.”


“There is LNG in lots of places around the world now, and for Tanzania the window for this particular investment is closing fast. Such windows do not remain open forever,” said Ms Basu whose portfolio in the Joe Biden administration includes overseeing economic and regional affairs in Sub-Saharan Africa.

Kwa kifupi naomba nieleze LNG nini.

LNG (Gesi kimiminika)
Gesi miminika (kwa Kiingereza: liquefied natural gas; kifupi: LNG) ni gesi asilia katika hali ya kiowevu au miminika.
Ni dutu safi isiyo na rangi na isiyo na sumu, inayotengenezwa kwa kupoza gesi asilia hadi nyuzi joto -160ºC hadi kiwango ambacho inakuwa kimiminika.
Mchakato huo hurahisisha usafirishaji wenye ufanisi wa gesi asilia kwa kutumia barabara (malori) au bahari (meli). Sababu kuu ya kupoza gesi ni, gesi miminika ina ujazo mdogo mara 600 kuliko gesi asilia ikiwa katika hali ya kawaida.

View attachment 2923330
Meli za kubeba gesi miminika mara nyingi hutambuliwa kutokana na matanki ya mviringo

Asilimia kubwa ya gesi asilia hutoka kwenye chanzo na kusafirishwa kwa njia ya bomba baada ya kuisafisha hadi kufikia hali ya methani safi kiasi. Pasipo mabomba ni muhimu kupunguza ujazo wa gesi hii ili kuisafirisha ama kwa meli au kwa malori.
Ujengaji wa mitambo ya gesi miminika unahitaji mtaji mkubwa na yenye madeni makubwa. Lakini wakati gesi miminika ina gharama kiasi kuizalisha, maendeleo ya teknolojia yanapunguza gharama hizo zinazotokana na kuifanya kimiminika na kuirudisha tena katika hali yake ya gesi asilia.
Chapisho la BP World Energy Outlook lilitabiri mnamo mwaka 2012 kwamba biashara ya gesi miminika itakua kwa haraka maradufu kama ulivyokua haraka uzalishaji wa gesi asilia duniani, yaani kwa kiwango cha asilimia 4.4 kwa mwaka.

Mradi wa LNG Tanzania

Tanzania imegundua kiwango kikubwa cha gesi asilia katika ukanda wa pwani ya Lindi na Mtwara. Amana hii ya gesi inajulikana kama “gesi ya kina kirefu cha bahari” kwakua gesi hii inapatikana zaidi ya kilomita 100 kutoka pwani kwenye kina cha maji hadi kilomita 2.5.

Kutokana na kiasi hiki cha gesi kilichogunduliwa, Tanzania itaweza kuitumia gesi hii kwa miaka 500 kulingana na viwango vya sasa vya matumizi. Hii inamaanisha kuna gesi ya kutosha kwa nchi kuzalisha umeme sasa na ziada kwa siku za mbeleni, upanuzi wa matumizi ya gesi viwandani kwenye viwanda vya saruji, bia, plastiki, vigae, glasi, chuma na viwanda vingine vinavyotumia nishati ya juu pamoja na uwezekano wa kuuza gesi asilia katika nchi jirani utaifanya Tanzania kuwa kitivo cha nishati ya gesi katika ukanda huu wa nchi za Africa Mashariki.

Hivyo basi, kutokana na hichi kiasi kikubwa cha gesi, kuna fursa kubwa sana kwa Tanzania kuuza gesi yake kwenye masoko makubwa ulimwenguni na halikadhalika kujipatia kipato ambacho kitasaidia katika ukuaji wa kiuchumi na kufanikisha shughuli nyingine za kimaendeleo nchini. Nchi nyingine nyingi ulimwenguni zimetumia rasilimali zao kwa njia kama hizi katika kukuza ustawi na maendeleo ya watu wao kwa muda mrefu.

View attachment 2923333
Kielelezo na 1: Muktasari wa mradi wa gesi na uchakataji wa gesi (LNG) Tanzania

Mpaka sasa,wawekezaji wa gesi ya kina kirefu baharini wamekua wakifanya kazi kushirikiana na Shirika la Maendeleo ya Petroli Tanzania (TPDC) kwa niaba ya serikali na takribani kiasi cha Trilioni 9 za kitanzania (sawa na dola za Kimarekani Billioni 4) zimekwisha wekezwa na wawekezaji wakuu katika sekta hii kwenye shughuli za utafiti na utathminishaji gesi. Lakini, ili Tanzania iweze kutumia vizuri fursa hii na kuiendeleza zaidi sekta ya gesi nchini, kuchuma mapato makubwa yatokanayo na usafirishaji na uuzaji wa gesi kwenye masoko ya kimataifa yenye kulipa zaidi, uwekezaji mkubwa zaidi unahitajika kujenga vituo katika maji ya kina kirefu baharini ambavyo vitawezesha kuleta gesi nchi kavu kwa ajili ya kusindika gesi tayari kwa matumizi ya ndani na nje ya nchi. Uwekezaji huu unahitaji kiasi kikubwa cha fedha utakaogharimu matrilioni ya fedha za Kitanzania (mabilioni ya dola za Kimarekani). Hivyo basi, kama ilivyo kwenye ujenzi wa makazi makubwa, inahitajika wapangaji wakuu na pia uhakika kwenye mapato ya msingi yatakayomthibitishia mwekezaji. Kwa mantinki hiyo soko la gesi la kimataifa litasimama kama “mteja mkuu” kwa kuendeleza na kukuza zaidi soko la gesi la ndani ya nchi wakati huohuo ikizalisha mapato mengi ya ushuru ambayo yanaweza kutumika katika kukuza uchumi wa Tanzania.

Ili kuweza kusafirisha na kuuza gesi kwenye soko la kimataifa na haswa masoko yaliyoko katika bara la Asia ambayo hutoa bei ya juu zaidi, gesi hupoozwa chini ya nyuzi joto -162C na kugeuka kuwa katika hali ya kimiminika (hivyo kuwa gesi iliochakatwa ijulikanayo kama LNG). Gesi inapobadilika na kuwa katika hali ya kimiminika inasinyaa takribani mara 600, sawa na kufanya mpira wa miguu upundue ukubwa kuwa sawa na golori. Kwa njia hii gesi inachukua nafasi ndogo zaidi na kuruhusu urahisi wa kusafirisha gesi hiyo kwa njia ya meli maalum kwenda masoko ya kimataifa katika nchi kama India, China, Japani na Korea.

Sifa za uendelezaji wa shughuli za utafutaji na uzalishaji wa gesi hii iliyoko katikati ya bahari hauna tofauti na miradi mingine mikubwa ikiwemo, uwekezaji mkubwa wa kifedha, ugumu wa kuizalisha kwa maana ya teknolojia husika, matokeo chanya na ya kudumu katika uchumi na upatinanaji wa ajira katika jamii.

Mradi huu utakua ndio mradi mkubwa kuliko yote iliyowahi kutokea nchini, ukilinganisha na miradi mingine mikubwa ambayo iko kwenye mchakato ama tayari imeshakamilika. Tanzania iko kwenye safari ya kufikia azma yake ya kuwa kitovu cha viwanda cha Africa Mashariki.

Hivyo basi, maendeleo haya yatatumika kama kichocheo muhimu katika kusaidia kufanikisha malengo na mikakati ya kuendeleza sekta ya viwanda nchini kwa kuchangia kiasi kikubwa cha mapato serikalini pamoja na kutoa faida nyingi za muda mrefu kwa Tanzania (angalia kielelezo na.2).

Baadhi ya mifano ya faida zitakazotokana na mradi ni:
• Upatikanaji wa ajira: Mradi huu utatengeneza na kutoa ajira za moja kwa moja kwa watanzania makumi kwa maelfu pamoja na kutoa fursa za kibiashara kwa makampuni ya wazawa yatakayotoa bidhaa na huduma mbalimbali kwenye mradi katika kipindi cha uendelezaji, ujenzi na hatua za utendaji wa mradi.
• Ukuaji wa viwanda: Uendelezaji wa shughuli za utafutaji na uzalishaji gesi ya kina kirefu baharini utazalisha gesi nyingi zaidi ambayo itaweza kutumika katika nchi hii kwa matumizi mbalimbali ikiwemo kufua umeme, kama njia mojawapo ya kuongeza upatikanaji wa umeme katika nchi nzima pamoja na kusambaza gesi katika viwanda mbalimbali ambavyo vinatumia gesi katika shughuli zake kwa mfano aluminiamu, viwanda vya nguo, viwanda vya karatasi, viwanda vya mafuta ya kula,vinywaji vya kaboni, viwanda vya unga na vingine vingi vinavyotegemea na kuhitaji umeme wa uhakika na salama.
• Ongezeko la mapato: Serikali itajizalishia mapato makubwa kila mwaka na hivyo kusaidia wananchi wa Tanzania katika shughuli za kimaendeleo nchini.

View attachment 2923337
Kielelezo na 2. Manufaa ya gesi na Maendeleo ya LNG kwa Tanzania

2. Jinsi Tanzania inaweza kuhimili ushindani katika soko la kimataifa la LNG
Gesi ambayo haitauzwa kwenye soko la ndani, itasafirishwa kwenda kwenye soko la kimataifa la LNG. Kwa hivyo basi, mradi wa Tanzania LNG utakua unashindana na miradi mingine kama huu ulimwengu mzima na gesi ya Tanzania lazima iwe na bei shindanishi dhidi ya miradi mingine inayoshindana nayo katika soko la dunia. Huu mchoro hapa chini unaonyesha ushindani kwa Tanzania kwenye soko la LNG ulimwenguni na jinsi mataifa mengine yanayouza LNG katika soko la nje yanavyoshindana kwenye soko moja.

View attachment 2923338
Kielelezo na 3: Soko la dunia la LNG – mchoro huu unaonyesha uhalisia wa ushindani katika soko la dunia la LNG

Licha ya mazingira ya sasa ya bei ya mafuta kuwa chini ambayo pia inatarajiwa kuendelea kuwa hivyo kwa mnamo kipindi kifupi kijacho, walakini kunaweza kuwa na soko lenye faida kubwa kwa Tanzania LNG ikiwapo tu mradi huu utaendelezwa kwa ushindani na kwa kuwa mahitaji ya LNG bado yanatarajiwa kukua katika miaka 20 ijayo. Kwa kipindi kirefu kijacho, ukuaji katika sekta hii unatazamiwa kukua kwa asilimia nne (4%) kila mwaka. Mahitaji yanatarajiwa kuzidi upatikanaji wa gesi ndani ya miaka kumi ijayo, ambayo itafungua upenyo kwa gesi ya Tanzania kuweza kuingia kwenye soko hili la LNG duniani.

Kwa kuongezea, sasa ni wakati wa Tanzania kuendeleza rasilimali hizi, kwani tunapotazama muda mrefu ujao masoko ya dunia yataweza kuhamia zaidi kwenye nishati mbadala hivyo kusababisa rasilimali ya hidrokaboni (mafuta & gesi) kupoteza thamani yake kwa kiasi fulani. Japokua hili linategemewa baada ya miongo mingi kutoka sasa, miradi ya LNG inachukua muda mrefu kuendelezwa na inazalisha kwa miongo mingi pia, hivyo basi hichi ndicho kipindi muafaka kwa mradi huu kuendelezwa ili iweze kukidhi mahitaji pamoja na kukamata fursa hii iliyoelezwa hapo juu.

Kichocheo cha mahitaji haya ni ongezeko la watu,mahitaji ya hewa safi kupitia kupunguza chembe chembe pamoja na hewa chafu ya dioksidi kaboni (CO2) na kushuka kwa uzalishaji wa ndani wa gesi kwenye nchi nyingi. Soko la Asia ambalo linatoa bei kubwa kuliko zote kwenye manunuzi ya gesi litachukua zaidi ya asilimia sabini (70%) ya mahitaji mapya ya gesi. Ukaribu wa Tanzania katika masoko haya unaiweka gesi ya Tanzania katika nafasi nzuri ya ushindani dhidi ya washindani wengine.

Gesi asilia ina sifa kuu ya kuwa na kiwango cha chini cha Kaboni na pia uchafuzi wa mazingira ni wa hali ya chini ukilinganisha na mafuta na makaa ya mawe na pia wepesi wa usafirishaji wa LNG katika masafa marefu unaifanya gesi hii kuwa chanzo bora zaidi cha nishati yenye kaboni ya kiwango cha chini kwa siku za mbeleni. Gesi asilia ya Tanzania ina maudhui ya chini kabisa ya CO2 ikilinganishwa na miradi mingine ambayo inashindana nayo.

Sifa hii itaipa gesi ya Tanzania nafasi ya juu kabisa ya ushindani ikishindanishwa kwa kipimo cha kiasi cha CO2. Mradi huu unauwezo wa kuwa na alama ya chini kabisa ya CO2 dhidi ya mradi wowote mpya wa LNG ambao unaendelea kwa sasa, haswa ikiwa vyanzo vya nishati mbadala kama jua na umeme wa maji vimejumuishwa kwenye muundo wa mradi huu.

Kwa kuzingatia yaliyoainishwa hapo juu, unaweza kuhitimisha kwa kusema Tanzania ina fursa nzuri ya kuhamasisha ukuaji wa uchumi na kupata faida kupitia kusafirisha LNG katika soko la ulimwengu. Ili kuwezesha fursa endelevu kuna mambo makuu mawili muhimu ambayo Tanzania inabidi itilie maanani:

Kuwezesha gesi ya Tanzania kuwa na bei shindani dhidi ya wazalishaji wengine kwenye soko la LNG duniani – serikali inapaswa kufanya kazi kwa karibu na TPDC na wawekezaji kuendeleza mradi wa LNG wenye ufanisi zaidi na wa gharama nafuu ambao utawezesha Tanzania LNG kuwa na bei shindani dhidi ya kile ambacho ushindani unaweza toa kama ilivyoainishwa kwenye kielelezo hapo chini. Bei ya LNG ya Tanzania kwenye soko la kimataifa inatokana na vitu viwili ambavyo ni gharama za uzalishaji na faida inayogawanywa kati ya serikali (kwa njia ya kodi na mgawanyo wa uzalishaji) na wawekezaji. Inapasa serikali na wawekezaji kufanya kazi bega kwa bega kufanikisha LNG yenye ushindani wa juu katika soko dhidi ya miradi kama ile itokayo Marekani,Qatar na Msumbiji ambazo zina gharama za chini sana za uzalishaji kutokana na uwingi wa gesi na mifumo bora ya mgawanyo wa mapato yenye ushindani mkubwa.

View attachment 2923493
Kielelezo na 4: Njia za kuwezesha gesi ya Tanzania kuwa na bei shindani dhidi ya wazalishaji wengine duniani

• Kuanzisha na kuimarisha mfumo wa udhibiti na kuufanya uwe wa kudumu na wenye kutabirika – Miradi ya LNG ni ya uwekezaji wa muda mrefu ambayo inadumu kwa miongo kadhaa. Hivyo basi kuwahakikishia wawekezaji uhakika wa uwekezaji wao nchini ni jambo muhimu sana. Hii inahusisha kuwa na makubaliano ya kisheria ambayo yanaheshimiwa katika kipindi chote cha mkataba na njia stahiki za kusuluhisha mifarakano baina ya wadau ambayo inafata kanuni za kimataifa zilizowekwa katika usuluhishaji.
Kwanini serikali isitafute consultant wa kimataifa mwenye uzoefu na Biashara ya gesi ili atusaidie ku-nogotiate hii deal ya kimkakati!!
Mama Samia na yeye sometimes awe anasimama kama Mkuu wa nchi ili kusukuma masuala nyeti,unawezaje kuvuta miguu kwenye deal ya pesa ndefu kama hii!
 
Wakuu wangu nipo chini ya miguu yenu.

Nikiwaomba mje hapa tujadiliane kwa kina juu ya mradi wetu wa LNG.

Kwanini mradi unachelewa?

Tufanye nini ili utekelezaji wake uanze kwa wakati?

Sisi kama watanzania njooni tujadili badala ya kuweka akili zetu kwenye Yanga na Simba njooni hapa.

Wakuu mtanisamehe kwa kuwashitukiza katika kikao hichi cha dharura. Nimeleta mjadala huu baada ya kushituliwa na hii habari.


US cautions Tanzania on LNG project delays




The United States this week warned Tanzania of a likely exodus of investors in its long-anticipated, multimillion-dollar liquified natural gas project if it continues to be bogged down by delays over negotiation technicalities.


US Deputy Assistant Secretary of State Joy Basu told The EastAfrican in Dar es Salaam this week that companies such as Exxon Mobil that have been pushing the deal with Tanzanian authorities had reached a point where they were now “willing to walk away.”


“There is LNG in lots of places around the world now, and for Tanzania the window for this particular investment is closing fast. Such windows do not remain open forever,” said Ms Basu whose portfolio in the Joe Biden administration includes overseeing economic and regional affairs in Sub-Saharan Africa.

Kwa kifupi naomba nieleze LNG nini.

LNG (Gesi kimiminika)
Gesi miminika (kwa Kiingereza: liquefied natural gas; kifupi: LNG) ni gesi asilia katika hali ya kiowevu au miminika.
Ni dutu safi isiyo na rangi na isiyo na sumu, inayotengenezwa kwa kupoza gesi asilia hadi nyuzi joto -160ºC hadi kiwango ambacho inakuwa kimiminika.
Mchakato huo hurahisisha usafirishaji wenye ufanisi wa gesi asilia kwa kutumia barabara (malori) au bahari (meli). Sababu kuu ya kupoza gesi ni, gesi miminika ina ujazo mdogo mara 600 kuliko gesi asilia ikiwa katika hali ya kawaida.

View attachment 2923330
Meli za kubeba gesi miminika mara nyingi hutambuliwa kutokana na matanki ya mviringo

Asilimia kubwa ya gesi asilia hutoka kwenye chanzo na kusafirishwa kwa njia ya bomba baada ya kuisafisha hadi kufikia hali ya methani safi kiasi. Pasipo mabomba ni muhimu kupunguza ujazo wa gesi hii ili kuisafirisha ama kwa meli au kwa malori.
Ujengaji wa mitambo ya gesi miminika unahitaji mtaji mkubwa na yenye madeni makubwa. Lakini wakati gesi miminika ina gharama kiasi kuizalisha, maendeleo ya teknolojia yanapunguza gharama hizo zinazotokana na kuifanya kimiminika na kuirudisha tena katika hali yake ya gesi asilia.
Chapisho la BP World Energy Outlook lilitabiri mnamo mwaka 2012 kwamba biashara ya gesi miminika itakua kwa haraka maradufu kama ulivyokua haraka uzalishaji wa gesi asilia duniani, yaani kwa kiwango cha asilimia 4.4 kwa mwaka.

Mradi wa LNG Tanzania

Tanzania imegundua kiwango kikubwa cha gesi asilia katika ukanda wa pwani ya Lindi na Mtwara. Amana hii ya gesi inajulikana kama “gesi ya kina kirefu cha bahari” kwakua gesi hii inapatikana zaidi ya kilomita 100 kutoka pwani kwenye kina cha maji hadi kilomita 2.5.

Kutokana na kiasi hiki cha gesi kilichogunduliwa, Tanzania itaweza kuitumia gesi hii kwa miaka 500 kulingana na viwango vya sasa vya matumizi. Hii inamaanisha kuna gesi ya kutosha kwa nchi kuzalisha umeme sasa na ziada kwa siku za mbeleni, upanuzi wa matumizi ya gesi viwandani kwenye viwanda vya saruji, bia, plastiki, vigae, glasi, chuma na viwanda vingine vinavyotumia nishati ya juu pamoja na uwezekano wa kuuza gesi asilia katika nchi jirani utaifanya Tanzania kuwa kitivo cha nishati ya gesi katika ukanda huu wa nchi za Africa Mashariki.

Hivyo basi, kutokana na hichi kiasi kikubwa cha gesi, kuna fursa kubwa sana kwa Tanzania kuuza gesi yake kwenye masoko makubwa ulimwenguni na halikadhalika kujipatia kipato ambacho kitasaidia katika ukuaji wa kiuchumi na kufanikisha shughuli nyingine za kimaendeleo nchini. Nchi nyingine nyingi ulimwenguni zimetumia rasilimali zao kwa njia kama hizi katika kukuza ustawi na maendeleo ya watu wao kwa muda mrefu.

View attachment 2923333
Kielelezo na 1: Muktasari wa mradi wa gesi na uchakataji wa gesi (LNG) Tanzania

Mpaka sasa,wawekezaji wa gesi ya kina kirefu baharini wamekua wakifanya kazi kushirikiana na Shirika la Maendeleo ya Petroli Tanzania (TPDC) kwa niaba ya serikali na takribani kiasi cha Trilioni 9 za kitanzania (sawa na dola za Kimarekani Billioni 4) zimekwisha wekezwa na wawekezaji wakuu katika sekta hii kwenye shughuli za utafiti na utathminishaji gesi. Lakini, ili Tanzania iweze kutumia vizuri fursa hii na kuiendeleza zaidi sekta ya gesi nchini, kuchuma mapato makubwa yatokanayo na usafirishaji na uuzaji wa gesi kwenye masoko ya kimataifa yenye kulipa zaidi, uwekezaji mkubwa zaidi unahitajika kujenga vituo katika maji ya kina kirefu baharini ambavyo vitawezesha kuleta gesi nchi kavu kwa ajili ya kusindika gesi tayari kwa matumizi ya ndani na nje ya nchi. Uwekezaji huu unahitaji kiasi kikubwa cha fedha utakaogharimu matrilioni ya fedha za Kitanzania (mabilioni ya dola za Kimarekani). Hivyo basi, kama ilivyo kwenye ujenzi wa makazi makubwa, inahitajika wapangaji wakuu na pia uhakika kwenye mapato ya msingi yatakayomthibitishia mwekezaji. Kwa mantinki hiyo soko la gesi la kimataifa litasimama kama “mteja mkuu” kwa kuendeleza na kukuza zaidi soko la gesi la ndani ya nchi wakati huohuo ikizalisha mapato mengi ya ushuru ambayo yanaweza kutumika katika kukuza uchumi wa Tanzania.

Ili kuweza kusafirisha na kuuza gesi kwenye soko la kimataifa na haswa masoko yaliyoko katika bara la Asia ambayo hutoa bei ya juu zaidi, gesi hupoozwa chini ya nyuzi joto -162C na kugeuka kuwa katika hali ya kimiminika (hivyo kuwa gesi iliochakatwa ijulikanayo kama LNG). Gesi inapobadilika na kuwa katika hali ya kimiminika inasinyaa takribani mara 600, sawa na kufanya mpira wa miguu upundue ukubwa kuwa sawa na golori. Kwa njia hii gesi inachukua nafasi ndogo zaidi na kuruhusu urahisi wa kusafirisha gesi hiyo kwa njia ya meli maalum kwenda masoko ya kimataifa katika nchi kama India, China, Japani na Korea.

Sifa za uendelezaji wa shughuli za utafutaji na uzalishaji wa gesi hii iliyoko katikati ya bahari hauna tofauti na miradi mingine mikubwa ikiwemo, uwekezaji mkubwa wa kifedha, ugumu wa kuizalisha kwa maana ya teknolojia husika, matokeo chanya na ya kudumu katika uchumi na upatinanaji wa ajira katika jamii.

Mradi huu utakua ndio mradi mkubwa kuliko yote iliyowahi kutokea nchini, ukilinganisha na miradi mingine mikubwa ambayo iko kwenye mchakato ama tayari imeshakamilika. Tanzania iko kwenye safari ya kufikia azma yake ya kuwa kitovu cha viwanda cha Africa Mashariki.

Hivyo basi, maendeleo haya yatatumika kama kichocheo muhimu katika kusaidia kufanikisha malengo na mikakati ya kuendeleza sekta ya viwanda nchini kwa kuchangia kiasi kikubwa cha mapato serikalini pamoja na kutoa faida nyingi za muda mrefu kwa Tanzania (angalia kielelezo na.2).

Baadhi ya mifano ya faida zitakazotokana na mradi ni:
• Upatikanaji wa ajira: Mradi huu utatengeneza na kutoa ajira za moja kwa moja kwa watanzania makumi kwa maelfu pamoja na kutoa fursa za kibiashara kwa makampuni ya wazawa yatakayotoa bidhaa na huduma mbalimbali kwenye mradi katika kipindi cha uendelezaji, ujenzi na hatua za utendaji wa mradi.
• Ukuaji wa viwanda: Uendelezaji wa shughuli za utafutaji na uzalishaji gesi ya kina kirefu baharini utazalisha gesi nyingi zaidi ambayo itaweza kutumika katika nchi hii kwa matumizi mbalimbali ikiwemo kufua umeme, kama njia mojawapo ya kuongeza upatikanaji wa umeme katika nchi nzima pamoja na kusambaza gesi katika viwanda mbalimbali ambavyo vinatumia gesi katika shughuli zake kwa mfano aluminiamu, viwanda vya nguo, viwanda vya karatasi, viwanda vya mafuta ya kula,vinywaji vya kaboni, viwanda vya unga na vingine vingi vinavyotegemea na kuhitaji umeme wa uhakika na salama.
• Ongezeko la mapato: Serikali itajizalishia mapato makubwa kila mwaka na hivyo kusaidia wananchi wa Tanzania katika shughuli za kimaendeleo nchini.

View attachment 2923337
Kielelezo na 2. Manufaa ya gesi na Maendeleo ya LNG kwa Tanzania

2. Jinsi Tanzania inaweza kuhimili ushindani katika soko la kimataifa la LNG
Gesi ambayo haitauzwa kwenye soko la ndani, itasafirishwa kwenda kwenye soko la kimataifa la LNG. Kwa hivyo basi, mradi wa Tanzania LNG utakua unashindana na miradi mingine kama huu ulimwengu mzima na gesi ya Tanzania lazima iwe na bei shindanishi dhidi ya miradi mingine inayoshindana nayo katika soko la dunia. Huu mchoro hapa chini unaonyesha ushindani kwa Tanzania kwenye soko la LNG ulimwenguni na jinsi mataifa mengine yanayouza LNG katika soko la nje yanavyoshindana kwenye soko moja.

View attachment 2923338
Kielelezo na 3: Soko la dunia la LNG – mchoro huu unaonyesha uhalisia wa ushindani katika soko la dunia la LNG

Licha ya mazingira ya sasa ya bei ya mafuta kuwa chini ambayo pia inatarajiwa kuendelea kuwa hivyo kwa mnamo kipindi kifupi kijacho, walakini kunaweza kuwa na soko lenye faida kubwa kwa Tanzania LNG ikiwapo tu mradi huu utaendelezwa kwa ushindani na kwa kuwa mahitaji ya LNG bado yanatarajiwa kukua katika miaka 20 ijayo. Kwa kipindi kirefu kijacho, ukuaji katika sekta hii unatazamiwa kukua kwa asilimia nne (4%) kila mwaka. Mahitaji yanatarajiwa kuzidi upatikanaji wa gesi ndani ya miaka kumi ijayo, ambayo itafungua upenyo kwa gesi ya Tanzania kuweza kuingia kwenye soko hili la LNG duniani.

Kwa kuongezea, sasa ni wakati wa Tanzania kuendeleza rasilimali hizi, kwani tunapotazama muda mrefu ujao masoko ya dunia yataweza kuhamia zaidi kwenye nishati mbadala hivyo kusababisa rasilimali ya hidrokaboni (mafuta & gesi) kupoteza thamani yake kwa kiasi fulani. Japokua hili linategemewa baada ya miongo mingi kutoka sasa, miradi ya LNG inachukua muda mrefu kuendelezwa na inazalisha kwa miongo mingi pia, hivyo basi hichi ndicho kipindi muafaka kwa mradi huu kuendelezwa ili iweze kukidhi mahitaji pamoja na kukamata fursa hii iliyoelezwa hapo juu.

Kichocheo cha mahitaji haya ni ongezeko la watu,mahitaji ya hewa safi kupitia kupunguza chembe chembe pamoja na hewa chafu ya dioksidi kaboni (CO2) na kushuka kwa uzalishaji wa ndani wa gesi kwenye nchi nyingi. Soko la Asia ambalo linatoa bei kubwa kuliko zote kwenye manunuzi ya gesi litachukua zaidi ya asilimia sabini (70%) ya mahitaji mapya ya gesi. Ukaribu wa Tanzania katika masoko haya unaiweka gesi ya Tanzania katika nafasi nzuri ya ushindani dhidi ya washindani wengine.

Gesi asilia ina sifa kuu ya kuwa na kiwango cha chini cha Kaboni na pia uchafuzi wa mazingira ni wa hali ya chini ukilinganisha na mafuta na makaa ya mawe na pia wepesi wa usafirishaji wa LNG katika masafa marefu unaifanya gesi hii kuwa chanzo bora zaidi cha nishati yenye kaboni ya kiwango cha chini kwa siku za mbeleni. Gesi asilia ya Tanzania ina maudhui ya chini kabisa ya CO2 ikilinganishwa na miradi mingine ambayo inashindana nayo.

Sifa hii itaipa gesi ya Tanzania nafasi ya juu kabisa ya ushindani ikishindanishwa kwa kipimo cha kiasi cha CO2. Mradi huu unauwezo wa kuwa na alama ya chini kabisa ya CO2 dhidi ya mradi wowote mpya wa LNG ambao unaendelea kwa sasa, haswa ikiwa vyanzo vya nishati mbadala kama jua na umeme wa maji vimejumuishwa kwenye muundo wa mradi huu.

Kwa kuzingatia yaliyoainishwa hapo juu, unaweza kuhitimisha kwa kusema Tanzania ina fursa nzuri ya kuhamasisha ukuaji wa uchumi na kupata faida kupitia kusafirisha LNG katika soko la ulimwengu. Ili kuwezesha fursa endelevu kuna mambo makuu mawili muhimu ambayo Tanzania inabidi itilie maanani:

Kuwezesha gesi ya Tanzania kuwa na bei shindani dhidi ya wazalishaji wengine kwenye soko la LNG duniani – serikali inapaswa kufanya kazi kwa karibu na TPDC na wawekezaji kuendeleza mradi wa LNG wenye ufanisi zaidi na wa gharama nafuu ambao utawezesha Tanzania LNG kuwa na bei shindani dhidi ya kile ambacho ushindani unaweza toa kama ilivyoainishwa kwenye kielelezo hapo chini. Bei ya LNG ya Tanzania kwenye soko la kimataifa inatokana na vitu viwili ambavyo ni gharama za uzalishaji na faida inayogawanywa kati ya serikali (kwa njia ya kodi na mgawanyo wa uzalishaji) na wawekezaji. Inapasa serikali na wawekezaji kufanya kazi bega kwa bega kufanikisha LNG yenye ushindani wa juu katika soko dhidi ya miradi kama ile itokayo Marekani,Qatar na Msumbiji ambazo zina gharama za chini sana za uzalishaji kutokana na uwingi wa gesi na mifumo bora ya mgawanyo wa mapato yenye ushindani mkubwa.

View attachment 2923493
Kielelezo na 4: Njia za kuwezesha gesi ya Tanzania kuwa na bei shindani dhidi ya wazalishaji wengine duniani

• Kuanzisha na kuimarisha mfumo wa udhibiti na kuufanya uwe wa kudumu na wenye kutabirika – Miradi ya LNG ni ya uwekezaji wa muda mrefu ambayo inadumu kwa miongo kadhaa. Hivyo basi kuwahakikishia wawekezaji uhakika wa uwekezaji wao nchini ni jambo muhimu sana. Hii inahusisha kuwa na makubaliano ya kisheria ambayo yanaheshimiwa katika kipindi chote cha mkataba na njia stahiki za kusuluhisha mifarakano baina ya wadau ambayo inafata kanuni za kimataifa zilizowekwa katika usuluhishaji.
Si salama kufanya miradi ya fossil fuels tena siku hizi ambapo miradi hiyo inaendelea kupata pingamizi kutokana na climate concerns.
 
Watatumia mabilioni ya Dola kuhonga wanasiasa Ili tu mambo yasiende.
tatizo la wanasiasa wetu manyangau wanaweza kuihujumu kama walivyofanya awamu ya 4 ambapo wabunge wa CCM walihongwa na 'watawala' wakabariki mikataba ya hovyo kabisa!
 
Wakuu wangu nipo chini ya miguu yenu.

Nikiwaomba mje hapa tujadiliane kwa kina juu ya mradi wetu wa LNG.

Kwanini mradi unachelewa?

Tufanye nini ili utekelezaji wake uanze kwa wakati?

Sisi kama watanzania njooni tujadili badala ya kuweka akili zetu kwenye Yanga na Simba njooni hapa.

Wakuu mtanisamehe kwa kuwashitukiza katika kikao hichi cha dharura. Nimeleta mjadala huu baada ya kushituliwa na hii habari.


US cautions Tanzania on LNG project delays




The United States this week warned Tanzania of a likely exodus of investors in its long-anticipated, multimillion-dollar liquified natural gas project if it continues to be bogged down by delays over negotiation technicalities.


US Deputy Assistant Secretary of State Joy Basu told The EastAfrican in Dar es Salaam this week that companies such as Exxon Mobil that have been pushing the deal with Tanzanian authorities had reached a point where they were now “willing to walk away.”


“There is LNG in lots of places around the world now, and for Tanzania the window for this particular investment is closing fast. Such windows do not remain open forever,” said Ms Basu whose portfolio in the Joe Biden administration includes overseeing economic and regional affairs in Sub-Saharan Africa.

Kwa kifupi naomba nieleze LNG nini.

LNG (Gesi kimiminika)
Gesi miminika (kwa Kiingereza: liquefied natural gas; kifupi: LNG) ni gesi asilia katika hali ya kiowevu au miminika.
Ni dutu safi isiyo na rangi na isiyo na sumu, inayotengenezwa kwa kupoza gesi asilia hadi nyuzi joto -160ºC hadi kiwango ambacho inakuwa kimiminika.
Mchakato huo hurahisisha usafirishaji wenye ufanisi wa gesi asilia kwa kutumia barabara (malori) au bahari (meli). Sababu kuu ya kupoza gesi ni, gesi miminika ina ujazo mdogo mara 600 kuliko gesi asilia ikiwa katika hali ya kawaida.

View attachment 2923330
Meli za kubeba gesi miminika mara nyingi hutambuliwa kutokana na matanki ya mviringo

Asilimia kubwa ya gesi asilia hutoka kwenye chanzo na kusafirishwa kwa njia ya bomba baada ya kuisafisha hadi kufikia hali ya methani safi kiasi. Pasipo mabomba ni muhimu kupunguza ujazo wa gesi hii ili kuisafirisha ama kwa meli au kwa malori.
Ujengaji wa mitambo ya gesi miminika unahitaji mtaji mkubwa na yenye madeni makubwa. Lakini wakati gesi miminika ina gharama kiasi kuizalisha, maendeleo ya teknolojia yanapunguza gharama hizo zinazotokana na kuifanya kimiminika na kuirudisha tena katika hali yake ya gesi asilia.
Chapisho la BP World Energy Outlook lilitabiri mnamo mwaka 2012 kwamba biashara ya gesi miminika itakua kwa haraka maradufu kama ulivyokua haraka uzalishaji wa gesi asilia duniani, yaani kwa kiwango cha asilimia 4.4 kwa mwaka.

Mradi wa LNG Tanzania

Tanzania imegundua kiwango kikubwa cha gesi asilia katika ukanda wa pwani ya Lindi na Mtwara. Amana hii ya gesi inajulikana kama “gesi ya kina kirefu cha bahari” kwakua gesi hii inapatikana zaidi ya kilomita 100 kutoka pwani kwenye kina cha maji hadi kilomita 2.5.

Kutokana na kiasi hiki cha gesi kilichogunduliwa, Tanzania itaweza kuitumia gesi hii kwa miaka 500 kulingana na viwango vya sasa vya matumizi. Hii inamaanisha kuna gesi ya kutosha kwa nchi kuzalisha umeme sasa na ziada kwa siku za mbeleni, upanuzi wa matumizi ya gesi viwandani kwenye viwanda vya saruji, bia, plastiki, vigae, glasi, chuma na viwanda vingine vinavyotumia nishati ya juu pamoja na uwezekano wa kuuza gesi asilia katika nchi jirani utaifanya Tanzania kuwa kitivo cha nishati ya gesi katika ukanda huu wa nchi za Africa Mashariki.

Hivyo basi, kutokana na hichi kiasi kikubwa cha gesi, kuna fursa kubwa sana kwa Tanzania kuuza gesi yake kwenye masoko makubwa ulimwenguni na halikadhalika kujipatia kipato ambacho kitasaidia katika ukuaji wa kiuchumi na kufanikisha shughuli nyingine za kimaendeleo nchini. Nchi nyingine nyingi ulimwenguni zimetumia rasilimali zao kwa njia kama hizi katika kukuza ustawi na maendeleo ya watu wao kwa muda mrefu.

View attachment 2923333
Kielelezo na 1: Muktasari wa mradi wa gesi na uchakataji wa gesi (LNG) Tanzania

Mpaka sasa,wawekezaji wa gesi ya kina kirefu baharini wamekua wakifanya kazi kushirikiana na Shirika la Maendeleo ya Petroli Tanzania (TPDC) kwa niaba ya serikali na takribani kiasi cha Trilioni 9 za kitanzania (sawa na dola za Kimarekani Billioni 4) zimekwisha wekezwa na wawekezaji wakuu katika sekta hii kwenye shughuli za utafiti na utathminishaji gesi. Lakini, ili Tanzania iweze kutumia vizuri fursa hii na kuiendeleza zaidi sekta ya gesi nchini, kuchuma mapato makubwa yatokanayo na usafirishaji na uuzaji wa gesi kwenye masoko ya kimataifa yenye kulipa zaidi, uwekezaji mkubwa zaidi unahitajika kujenga vituo katika maji ya kina kirefu baharini ambavyo vitawezesha kuleta gesi nchi kavu kwa ajili ya kusindika gesi tayari kwa matumizi ya ndani na nje ya nchi. Uwekezaji huu unahitaji kiasi kikubwa cha fedha utakaogharimu matrilioni ya fedha za Kitanzania (mabilioni ya dola za Kimarekani). Hivyo basi, kama ilivyo kwenye ujenzi wa makazi makubwa, inahitajika wapangaji wakuu na pia uhakika kwenye mapato ya msingi yatakayomthibitishia mwekezaji. Kwa mantinki hiyo soko la gesi la kimataifa litasimama kama “mteja mkuu” kwa kuendeleza na kukuza zaidi soko la gesi la ndani ya nchi wakati huohuo ikizalisha mapato mengi ya ushuru ambayo yanaweza kutumika katika kukuza uchumi wa Tanzania.

Ili kuweza kusafirisha na kuuza gesi kwenye soko la kimataifa na haswa masoko yaliyoko katika bara la Asia ambayo hutoa bei ya juu zaidi, gesi hupoozwa chini ya nyuzi joto -162C na kugeuka kuwa katika hali ya kimiminika (hivyo kuwa gesi iliochakatwa ijulikanayo kama LNG). Gesi inapobadilika na kuwa katika hali ya kimiminika inasinyaa takribani mara 600, sawa na kufanya mpira wa miguu upundue ukubwa kuwa sawa na golori. Kwa njia hii gesi inachukua nafasi ndogo zaidi na kuruhusu urahisi wa kusafirisha gesi hiyo kwa njia ya meli maalum kwenda masoko ya kimataifa katika nchi kama India, China, Japani na Korea.

Sifa za uendelezaji wa shughuli za utafutaji na uzalishaji wa gesi hii iliyoko katikati ya bahari hauna tofauti na miradi mingine mikubwa ikiwemo, uwekezaji mkubwa wa kifedha, ugumu wa kuizalisha kwa maana ya teknolojia husika, matokeo chanya na ya kudumu katika uchumi na upatinanaji wa ajira katika jamii.

Mradi huu utakua ndio mradi mkubwa kuliko yote iliyowahi kutokea nchini, ukilinganisha na miradi mingine mikubwa ambayo iko kwenye mchakato ama tayari imeshakamilika. Tanzania iko kwenye safari ya kufikia azma yake ya kuwa kitovu cha viwanda cha Africa Mashariki.

Hivyo basi, maendeleo haya yatatumika kama kichocheo muhimu katika kusaidia kufanikisha malengo na mikakati ya kuendeleza sekta ya viwanda nchini kwa kuchangia kiasi kikubwa cha mapato serikalini pamoja na kutoa faida nyingi za muda mrefu kwa Tanzania (angalia kielelezo na.2).

Baadhi ya mifano ya faida zitakazotokana na mradi ni:
• Upatikanaji wa ajira: Mradi huu utatengeneza na kutoa ajira za moja kwa moja kwa watanzania makumi kwa maelfu pamoja na kutoa fursa za kibiashara kwa makampuni ya wazawa yatakayotoa bidhaa na huduma mbalimbali kwenye mradi katika kipindi cha uendelezaji, ujenzi na hatua za utendaji wa mradi.
• Ukuaji wa viwanda: Uendelezaji wa shughuli za utafutaji na uzalishaji gesi ya kina kirefu baharini utazalisha gesi nyingi zaidi ambayo itaweza kutumika katika nchi hii kwa matumizi mbalimbali ikiwemo kufua umeme, kama njia mojawapo ya kuongeza upatikanaji wa umeme katika nchi nzima pamoja na kusambaza gesi katika viwanda mbalimbali ambavyo vinatumia gesi katika shughuli zake kwa mfano aluminiamu, viwanda vya nguo, viwanda vya karatasi, viwanda vya mafuta ya kula,vinywaji vya kaboni, viwanda vya unga na vingine vingi vinavyotegemea na kuhitaji umeme wa uhakika na salama.
• Ongezeko la mapato: Serikali itajizalishia mapato makubwa kila mwaka na hivyo kusaidia wananchi wa Tanzania katika shughuli za kimaendeleo nchini.

View attachment 2923337
Kielelezo na 2. Manufaa ya gesi na Maendeleo ya LNG kwa Tanzania

2. Jinsi Tanzania inaweza kuhimili ushindani katika soko la kimataifa la LNG
Gesi ambayo haitauzwa kwenye soko la ndani, itasafirishwa kwenda kwenye soko la kimataifa la LNG. Kwa hivyo basi, mradi wa Tanzania LNG utakua unashindana na miradi mingine kama huu ulimwengu mzima na gesi ya Tanzania lazima iwe na bei shindanishi dhidi ya miradi mingine inayoshindana nayo katika soko la dunia. Huu mchoro hapa chini unaonyesha ushindani kwa Tanzania kwenye soko la LNG ulimwenguni na jinsi mataifa mengine yanayouza LNG katika soko la nje yanavyoshindana kwenye soko moja.

View attachment 2923338
Kielelezo na 3: Soko la dunia la LNG – mchoro huu unaonyesha uhalisia wa ushindani katika soko la dunia la LNG

Licha ya mazingira ya sasa ya bei ya mafuta kuwa chini ambayo pia inatarajiwa kuendelea kuwa hivyo kwa mnamo kipindi kifupi kijacho, walakini kunaweza kuwa na soko lenye faida kubwa kwa Tanzania LNG ikiwapo tu mradi huu utaendelezwa kwa ushindani na kwa kuwa mahitaji ya LNG bado yanatarajiwa kukua katika miaka 20 ijayo. Kwa kipindi kirefu kijacho, ukuaji katika sekta hii unatazamiwa kukua kwa asilimia nne (4%) kila mwaka. Mahitaji yanatarajiwa kuzidi upatikanaji wa gesi ndani ya miaka kumi ijayo, ambayo itafungua upenyo kwa gesi ya Tanzania kuweza kuingia kwenye soko hili la LNG duniani.

Kwa kuongezea, sasa ni wakati wa Tanzania kuendeleza rasilimali hizi, kwani tunapotazama muda mrefu ujao masoko ya dunia yataweza kuhamia zaidi kwenye nishati mbadala hivyo kusababisa rasilimali ya hidrokaboni (mafuta & gesi) kupoteza thamani yake kwa kiasi fulani. Japokua hili linategemewa baada ya miongo mingi kutoka sasa, miradi ya LNG inachukua muda mrefu kuendelezwa na inazalisha kwa miongo mingi pia, hivyo basi hichi ndicho kipindi muafaka kwa mradi huu kuendelezwa ili iweze kukidhi mahitaji pamoja na kukamata fursa hii iliyoelezwa hapo juu.

Kichocheo cha mahitaji haya ni ongezeko la watu,mahitaji ya hewa safi kupitia kupunguza chembe chembe pamoja na hewa chafu ya dioksidi kaboni (CO2) na kushuka kwa uzalishaji wa ndani wa gesi kwenye nchi nyingi. Soko la Asia ambalo linatoa bei kubwa kuliko zote kwenye manunuzi ya gesi litachukua zaidi ya asilimia sabini (70%) ya mahitaji mapya ya gesi. Ukaribu wa Tanzania katika masoko haya unaiweka gesi ya Tanzania katika nafasi nzuri ya ushindani dhidi ya washindani wengine.

Gesi asilia ina sifa kuu ya kuwa na kiwango cha chini cha Kaboni na pia uchafuzi wa mazingira ni wa hali ya chini ukilinganisha na mafuta na makaa ya mawe na pia wepesi wa usafirishaji wa LNG katika masafa marefu unaifanya gesi hii kuwa chanzo bora zaidi cha nishati yenye kaboni ya kiwango cha chini kwa siku za mbeleni. Gesi asilia ya Tanzania ina maudhui ya chini kabisa ya CO2 ikilinganishwa na miradi mingine ambayo inashindana nayo.

Sifa hii itaipa gesi ya Tanzania nafasi ya juu kabisa ya ushindani ikishindanishwa kwa kipimo cha kiasi cha CO2. Mradi huu unauwezo wa kuwa na alama ya chini kabisa ya CO2 dhidi ya mradi wowote mpya wa LNG ambao unaendelea kwa sasa, haswa ikiwa vyanzo vya nishati mbadala kama jua na umeme wa maji vimejumuishwa kwenye muundo wa mradi huu.

Kwa kuzingatia yaliyoainishwa hapo juu, unaweza kuhitimisha kwa kusema Tanzania ina fursa nzuri ya kuhamasisha ukuaji wa uchumi na kupata faida kupitia kusafirisha LNG katika soko la ulimwengu. Ili kuwezesha fursa endelevu kuna mambo makuu mawili muhimu ambayo Tanzania inabidi itilie maanani:

Kuwezesha gesi ya Tanzania kuwa na bei shindani dhidi ya wazalishaji wengine kwenye soko la LNG duniani – serikali inapaswa kufanya kazi kwa karibu na TPDC na wawekezaji kuendeleza mradi wa LNG wenye ufanisi zaidi na wa gharama nafuu ambao utawezesha Tanzania LNG kuwa na bei shindani dhidi ya kile ambacho ushindani unaweza toa kama ilivyoainishwa kwenye kielelezo hapo chini. Bei ya LNG ya Tanzania kwenye soko la kimataifa inatokana na vitu viwili ambavyo ni gharama za uzalishaji na faida inayogawanywa kati ya serikali (kwa njia ya kodi na mgawanyo wa uzalishaji) na wawekezaji. Inapasa serikali na wawekezaji kufanya kazi bega kwa bega kufanikisha LNG yenye ushindani wa juu katika soko dhidi ya miradi kama ile itokayo Marekani,Qatar na Msumbiji ambazo zina gharama za chini sana za uzalishaji kutokana na uwingi wa gesi na mifumo bora ya mgawanyo wa mapato yenye ushindani mkubwa.

View attachment 2923493
Kielelezo na 4: Njia za kuwezesha gesi ya Tanzania kuwa na bei shindani dhidi ya wazalishaji wengine duniani

• Kuanzisha na kuimarisha mfumo wa udhibiti na kuufanya uwe wa kudumu na wenye kutabirika – Miradi ya LNG ni ya uwekezaji wa muda mrefu ambayo inadumu kwa miongo kadhaa. Hivyo basi kuwahakikishia wawekezaji uhakika wa uwekezaji wao nchini ni jambo muhimu sana. Hii inahusisha kuwa na makubaliano ya kisheria ambayo yanaheshimiwa katika kipindi chote cha mkataba na njia stahiki za kusuluhisha mifarakano baina ya wadau ambayo inafata kanuni za kimataifa zilizowekwa katika usuluhishaji.
Thamani ambayo ExxonMobil wanawekeza kwenye mradi huu ni kubwa kuliko GDP ya Tanzania kwa mwaka.
 
tatizo la wanasiasa wetu manyangau wanaweza kuihujumu kama walivyofanya awamu ya 4 ambapo wabunge wa CCM walihongwa na 'watawala' wakabariki mikataba ya hovyo kabisa!
Mkataba gani wa hovyo wa gas ulisainiwa awamu ya 4!?..uhovyo wake ni upi!?
 
tatizo la wanasiasa wetu manyangau wanaweza kuihujumu kama walivyofanya awamu ya 4 ambapo wabunge wa CCM walihongwa na 'watawala' wakabariki mikataba ya hovyo kabisa!
Mkataba gani wa hovyo wa gas ulisainiwa awamu ya 4!?..uhovyo wake ni upi!?
Hata jina lake ni laana tu huyu jamaa ni mshari sana ni wa kumtupa kapuni tu
Ana matusi ya kijinga na hana hoja ni wale mama zao wakiwa wanawaita wanasema we mbwa njoo
Unategemea nini hapo
Just ignore him for good he's nothing
Mama yangu!!?..nyie mnatukana watu mkirudishiwa matusi yenu mnalia,mama yako alikuleaje!?
 
Back
Top Bottom