Mkopo huo anayekopa ni hizo kampuni,so mrudishaji ni kampuni husika kupitia biashara hiyo ya gas,kwenye madini kule siku zote tukitaka waongeze mrabaha wimbo wao ulikua 'mikopo tunayochukua kuendesha mgodi Ina riba kubwa'...lakini Sasa suala la mwisho ni kwamba negotiations zinaendelea,so hakuna mkataba bado,mtu/Waziri ataelezaje faida ambazo Tanzania itazipata wakati mkataba bado!...Anachomaanisha wanataka kushirikiana na Exxon Mobil kuiba gas hiyo kwa hoja ambazo sio za kiuwekezaji.
Bwana huyu anataka, akina Zitto na Makamba waeleze faida ya moja kwa moja ambayo taifa itapata na namna ya kurudisha mkopo huo kwa mkopeshaji. Bila shaka umeelewa mkuu?
Na kwenye rasilimali hapo ndo wazungu huwa wanapeleka Vita,Mara ISIS Hawa!..kule msumbiji sijui nani kakosa mpaka kawapelekea wenzake ISIS,maana wanaochimba nadhani ni USA na franceHapa wamarekani wameshahisi kuwahiwa na wengine.maana hao BP wanaofanya na TPDC ni BP wa wapi?
Usikute BP mchongo tu.kuna nchi ingine kabisa ambae ni hasimu wa marekani.
Kwa dunia ya leo, viongozi wa serikali wasiwe na tamaa..
Wawe makini wasije kutuletea magaidi na vita za kijinga.
Nimeuliza uhovyo wa huo mkataba ni upi?..sinauliza namna ulivyopitishwa, sababu gas ya mtwara tunamiliki kupitia tpdc kwa 20%,na juzi niliona tpdc kutaka kununua hisa zifike 50+%,uhovyo wa mkataba ni nini!?Rejea mswada wa dharura uliopelekwa bungeni tena kwa speed ya 5G awamu ya 4 kupitisha mikataba ile ya hovyo ya Gas tena walipewa kitu kdg, wabunge wa Upinzani wakaipinga sana na siku ya kupiga kura wabunge wa upinzani walitoka NJE!
Rostam Hana hela ya kuweka LindiTushampa Rostam tender taifa gas.
"Tanzanian Government Increases Ownership in Mnazi Bay Gas Field - TanzaniaInvest" Tanzanian Government Increases Ownership in Mnazi Bay Gas FieldJadili hoja sio kuwasema watu. Kuwasema watu ni dalili mbaya katika ubongo.
Wazo ni zuri sana sana, lakini kunena ukweli moja kati ya sehemu ambazo ngozi hatuna mda navyo ni uwekezaji kwenye elimu na utafiti.Bila shaka unawazungumzia Patrobas.
Kila jambo linaanzia na nia ya dhati, sidhani kama tukiwa na nia ya dhati Kwa kuwekeza kwa watu wetu na kuwa watalaam wabonezi + plus vifaa tutashindwa.
Unataka kuniambia tukitengeneza watalaam wetu tutakosa fund ya kufanya hata exploration kwenye dhahabu, almasi nk pamoja na kuchimba?.
Hata hiyo gas na mafuta gharama kubwa sana IPO kwenye offshore exploration hasa kwenye kuhire drill rigs au drill ships pamoja na accessories zake, naamini hizi onshore tunaweza kuzifanya na hata kuchimba.
Shida yetu kubwa akili zote ziko kwenye siasa kuanzia wanasiasa wenyewe, wananchi mpaka watalaam watendaji.
"Tanzania signs natural gas deal with Equinor and Shell | News | Al Jazeera" Tanzania signs natural gas deal with Equinor and ShellWachangiaji tunaomba mawazo yenu. Njooni huku huu ni mjadala huru.
Ule wa dharura wa gas ya mtwara uliopitishwa bungeni ilikua awamu ya nne,Kama nimekosea nitoe wenge mzeeSheria ya mikataba kupitiwa bungeni ilitungwa kipindi cha mwendazake huko nyuma mikataba ilikuwa ni siri na ngumu kujua nini kiliendelea
Mkuu nasoma sana Threads zako ,tena Luna huwa unatoa Nondo kweli kweli.Unaleta masimulizi badala ya kuleta kinachotakiwa kufanyika.Hopelee kabisa.Masimulizi hayabadili gas kuwa pesa Kwa Nchi.
Sawa dada angu nimekuelewaAcha watu wenye akili wachambue mada na sisi tuelewe,
Wewe uwezo wako ni hoja za CDM na mambo kama hayo,
Nakuomba sana usituharibie mjadala, hapa hakuna mambo ya masihara,
Nadhani umeelewa , kwa hiyo tulia kwanza,
Hoja za upeo wako ni nyingi tu zinakuja,
Kuw mvumilivu.
Ndio nimeshakwambia , hizo hoja zinazotelewa hapa huziwezi,Sawa dada angu nimekuelewa
Ahsante sana mkuu Pascal Mayalla kwa kutembelea uzi huu. Ngoja nitembelee baadaye nitakuja na feedback.Mkuu Meneja Wa Makampuni , kwanza asante sana kwa
kwa mjadala huu wenye maslahi kwa taifa. Kabla sijachangia, naomba kwanza unitembelee hapa Gesi asili: Is it "day light robbery?" Watanzania tunaibiwa mchana kweupe! hivyo kinachochelewesha ni kuzuia tisiibiwe!.
P
Natafuta mawazo, michango yenu na uelewa wenu kuhusu mradi wa LNG. Tunaomba mchango wako mkuu.Unatafuta nini chini ya miguu yetu?[emoji1][emoji1]
Karibu kutoa mchango wako mkuu wanguFact
Mkuu naomba rejea kwenye ukurasa wa kwanza wa mjadala huu. Nimeeleza kwa kina aina za gesi tulizonazo Tanzania. Nahakika utapata mwanga zaidi.Gesi miaka 10 na zaidi ule mtungi mkubwa ulikuwa unanunua tshs 65,000. Baadae ikashuka mpaka 45,000 sasa inapanda taratibu iko 55,000. Kuna namna yule aliyekuwa anauza 65000 anataka ifike huko. Tukiwa na gesi yetu itashuka sana tena waijazie ktk mitungi huko huko mtwara wasisafirishe na bomba ili kupunguza ulanguzi wa watu wa kati.
Nimeshatoa huko mwanzoKaribu kutoa mchango wako mkuu wangu
Most welcomeAhsante sana mkuu Pascal Mayalla kwa kutembelea uzi huu. Ngoja nitembelee baadaye nitakuja na feedback.