mlimilwa
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 3,268
- 3,439
Hapa wamarekani wameshahisi kuwahiwa na wengine.maana hao BP wanaofanya na TPDC ni BP wa wapi?
Usikute BP mchongo tu.kuna nchi ingine kabisa ambae ni hasimu wa marekani.
Kwa dunia ya leo, viongozi wa serikali wasiwe na tamaa..
Wawe makini wasije kutuletea magaidi na vita za kijinga.
Usikute BP mchongo tu.kuna nchi ingine kabisa ambae ni hasimu wa marekani.
Kwa dunia ya leo, viongozi wa serikali wasiwe na tamaa..
Wawe makini wasije kutuletea magaidi na vita za kijinga.