London: Makanisa zaidi ya 500 yamefungwa na baadhi kugeuzwa misikiti, zaidi ya misikiti 500 imejengwa, Uislam unakuwa kwa spidi ya radi Ulaya

Mimi naona uislamu ni dini ya mapambano yani wao kutwaa kupambana kufanya comparison mara sijui makanisa yamebomolew imejengwa misikiti, mara sijui nani amesilimu..wakati msikiti ukigeuzwa kanisa hio kwa wakristo sio habari....
[emoji1]
 
Kuna watu

Kuna watu wana pakuana vinyesi kama waarabu
Bora hata hiyo, je ile kufuru tangu kuumbwa kwa dunia haikuwahi kutokea, kwa yule Mwarabu kunya kwenye mdomo wa Ke wa kinaijeria?

Hao watu wana masikio lakini hawasikii, na wana macho lakini hawaoni, wana akili lakini hazidadavui ukweli.
 
Kwa wenye imani wanaelewa kipindi kama hiki ni wakati gani, (asomaye na afahamu) aliye kondeni hataweza kurudi kuchukua kitu nyumbani.

So haya mambo siyo ya kushangaza hata kidogo unaweza kusoma Biblia Mathew chapter yote ya 24:1-
 
hao wamefuata nyama ya nguruwe huko ulaya wakaile kwa amani
 
Kwa akili za wazungu walivyo haishangazi.
Jamaa wanapenda sana kujaribujaribu,ukiwaona wanasilimu wala usishangae,hemu tizama namna wanavyogegedwa na wamasai kiwepesi,
Hawa watasilimu leo then kesho wanaendelea na maisha yao.
Yani mzungu aache kusaka noti akashinde msikitini anaswali swala tano ?
 
Hii ni taarifa njema sana since wazungu wanashabikia ushoga heri miwachukue wawe waumini wa dini pekee ya mnyaaazi
 
Kama unahisi upo Hai Sababu ya Bahati sawa endelea hivyo hivyo.

Hao wanaosilimu ama kuwa na dini wame realize Lengo Lao la kuwa hapa Duniani ni kumuabudu Mungu, na maisha ya Dunia ni mapito tu, Maisha halisi yataanza Tukitoka hapa Duniani.

Ndio Maana unaona wanaancha lifestyle zao na Kumrudia Muumba wao.
 
Nasikia nchi fulani hivi uarabuni kuna jamaa na familia ametokewa na Yesu na kumpa kifungu kinachopatikana kwenye bible.
 
Ni kwanini wazungu na waarabu walihubiri dini zao (uislam na ukristo) kwa watumwa waliowateka na kuwasafirisha kwa majahazi kwenda kutumikishwa kwenye mashamba, ila bado kila ijumaa na Jumapili mwenye watumwa huita mchungaji au sheikh waje shambani kuwahubiria neno la Mungu?

Na wakawa wanabase sana kwenye mahubiri ya ngamia kupenya tundu la sindano, kwamba kuna furaha mbinguni baada ya mateso yao, kwamba heshimu mamlaka (mmliki wako) nk.?
 
Hizi porojo ukisha agiza
Unga nusu
Dagaa wa 7
 
Bora wewe umeiona kweli
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…