Zungumzia dini zilizohubiri mafundisho hayo kwa watumwaNitaongelea dini yangu ya uisilamu.
1. Mtume alikuwa jangwani haku kuwa na mashamba huko. Na una Ushahidi wa Sheikh kuhubiria watumwa Mashambani?
2.uisilamu ulikuja Afrika immediately, baada ya wafuasi wa mtume Kuteswa, wakaja Ethiopia/Aksum kwa mfalme Najash,wakaomba msaada Na kupewa Hifadhi, mpaka Leo Kuna Ushahidi wa msikiti Unaoelekea Jerusalem ina maana Uisilamu Afrika ulienea Hata kabla ya Nchi Nyengine za Arabuni.
3.Na Uisilamu hauhubiri umasikini. Kipindi uisilamu Unaongoza Dunia Africa ilikua hivi
-mtu Tajiri zaidi Duniani Mansa Musa alipatikana, Alikuwa ni Kiongozi Muisilamu na Empire yake pengine ni kubwa kupata Kutoke Africa.
-Nchi nyingi za Ki Africa zilikuwa Vizuri kielimu refer Timbuktu, walikuwa Advanced kwenye Architect, mathematics na Field myengine
Kiufupi Afrika ilikua Juu at that time, Empire kama Aksum ilitawala mpaka Nchi za Nje ya Africa, Trade routes zikaenda mpaka Yemen hadi Iran
Mafundisho gani? Na kama unataka kuhusu Ukristo mtafute Mkristo akuelezee ila Uisilamu haujahubiri utumwa kwenye Mashamba.Zungumzia dini zilizohubiri mafundisho hayo kwa watumwa
Muhammad alisisitiza kwamba wakienda Jihad, wahakikishe wanaua wanaume wote, na watakaobaki wachukuliwe watumwa, pamoja na wake zao na watoto zao.Mafundisho gani? Na kama unataka kuhusu Ukristo mtafute Mkristo akuelezee ila Uisilamu haujahubiri utumwa kwenye Mashamba.
Infact waisilamu wa mwanzo ni watumwa ambao Mtume na maswahaba wengine walitumia Fedha zao kuwanunua na kuwaachia huru. Sheria zote za kiisilamu zina Encourage kuachia watumwa Huru.
Pia definition kabisa ya Uisilamu ni kuwa Submitted to Allah, unapokuwa Muisilamu unakubali Unamtii Mungu tu na Huogopi kiumbe Chochote Duniani.
Ndio maana leo Hii waisilamu ni watu wagumu sana kuwa Controll, most of Time brainwash inadunda.
Tafuta hizo Historia za Watumwa wa Kiisilamu uone Masheikh walivyokuwa wakiwaunganisha Watumwa na Ku rebel against Slave Masters.
Ni hatari sana kwa waislamu kutawala Ulaya mambo yatakuwa kama Arabia.Uislam ni dini ambayo inakwa kwa spidi sana ulaya, muungano ndio silaha yao kuu ukiachana na ukristo ambao kuna madhehebu mengi kama kama anglikana, Lutheran, roma, sabato, pentecost, mashahidi wa yehova, baptist, n.k shida za wapentekoste haziwahusu waroma, shida za wa moravian haiwahusu walutherani, utengano huu ndio udhaifu wa ukrisyto. kwa hapa kwetu mpakakina masanja nao wana makanisa, wanahubiri wakiwa wamevaa kata k (mlegezo)
Uislam umeanza kukuwa kwa spidi kali mno Ulaya katika hii karne ya sasa.
Katika jiji maarufu la London tokea mwaka 2001 hadi sasa makanisa zaidi ya 500 yamefungwa, sababu kuu ikiwa waumini kuacha kwenda makanisani, waumini wengi hawapendezwi na mambo ya kisasa makanisni mfano kuwatetea sana mashoga na kuwafungisha ndoa.
Kwa upande mwingine, makanisa hayo yaliyofungwa yamegeuzwa kuwa misikiti na pia misikiti zaidi ya 500 nayo imejengwa, Sababu kuu ni waislamu wengi wana bidii ya kwenda misikitini na sheria zinafatwa kwa msimamo, hali hii imechangia hata baadhi wa wale wazungu waliochoshwa na Ukristo wa kisasa wa baadhi ya makanisa kuchochea ushoga, kuhama dini na kuwa Waislamu. (kuna watu wakristo wengi ulaya wanaobadili dini kuwa Waislamu)
Moja ya sababu kubwa watu kusilimu Ulaya kutokana ni Ukristo haujafanikiwa kuondoa maovu sugu Ktk jamii nyingi ulaya na Ulaya kushikiria rekodi chafu za mauaji, uvaaji usiofaa, unywaji, pombe, uzinzi na mmomonyoko wa maadili. Na uislamu umefanikiwa vyema kukomesha hayo na kubadisha watu kwa kiasi kikubwa kwa kuingia imani na hofu ya Mungu moyoni kuliko wengine na wngi wamejipa tumaini kuwa kuna mtu kafa kwa ajili ya dhambi zao kwa hiyo ni full bata tu.
Mfano miaka ya 60s Marekani kulikuwa na wimbi kubwa la ubaguzi wa rangi lkn cha kushangaza nguvu ya kanisa haikuwa kubwa Ktk kutokomeza hili swala ndio maana Elijah Muhammad alipokuja na Uislamu wakiharati alipata wafuasi wengi na kina Malcom X ilikuwa kwake rahisi kusilimu kutokana na kuona nchini mwake kuna uozo mwingi japo makanisa yametawala.
View attachment 2229556
Wakienda Jihad wapi? Unajua Mtume kapigana Vita vingapi? Na situation gani ilikuwepo?Muhammad alisisitiza kwamba wakienda Jihad, wahakikishe wanaua wanaume wote, na watakaobaki wachukuliwe watumwa, pamoja na wake zao na watoto zao.
Nimekuelewa mkuu, nilidhani ulikuwa unawaongelea waliofungia wimboSiwaongelei Basata bali nawaongelea member wa humu waliokua wakimtukana Diamond,
Una maanisha nini kusema "Ndiyo wale wale?" wale wale kina nani?
Then what happened?Nitaongelea dini yangu ya uisilamu.
1. Mtume alikuwa jangwani haku kuwa na mashamba huko. Na una Ushahidi wa Sheikh kuhubiria watumwa Mashambani?
2.uisilamu ulikuja Afrika immediately, baada ya wafuasi wa mtume Kuteswa, wakaja Ethiopia/Aksum kwa mfalme Najash,wakaomba msaada Na kupewa Hifadhi, mpaka Leo Kuna Ushahidi wa msikiti Unaoelekea Jerusalem ina maana Uisilamu Afrika ulienea Hata kabla ya Nchi Nyengine za Arabuni.
3.Na Uisilamu hauhubiri umasikini. Kipindi uisilamu Unaongoza Dunia Africa ilikua hivi
-mtu Tajiri zaidi Duniani Mansa Musa alipatikana, Alikuwa ni Kiongozi Muisilamu na Empire yake pengine ni kubwa kupata Kutoke Africa.
-Nchi nyingi za Ki Africa zilikuwa Vizuri kielimu refer Timbuktu, walikuwa Advanced kwenye Architect, mathematics na Field myengine
Kiufupi Afrika ilikua Juu at that time, Empire kama Aksum ilitawala mpaka Nchi za Nje ya Africa, Trade routes zikaenda mpaka Yemen hadi Iran
[emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2] Matatizo ya akili ni janga la TaifaUSICHOKIJUA KILA DAKIKA WATU 15,000 WANAOKOKA ( WANAKABIDHI MAISHA YAO KWA YESU).View attachment 2229402
Rudia Tena. Yaaani uislamnunahubili shetani auWanaokoka ni wakristo wenzenu kwa asilimia kubwa na waisilamu kidogo sana wenye tamaa ya maisha ya Dunia. Uisilamu haumuhubiri mtu sijui kuwa na maisha mazuri,nyumba au gari.Uisilamu unahubiri pepo
Watayafunga soon msianze kulia liaUislam ni dini ambayo inakwa kwa spidi sana ulaya, muungano ndio silaha yao kuu ukiachana na ukristo ambao kuna madhehebu mengi kama kama anglikana, Lutheran, roma, sabato, pentecost, mashahidi wa yehova, baptist, n.k shida za wapentekoste haziwahusu waroma, shida za wa moravian haiwahusu walutherani, utengano huu ndio udhaifu wa ukrisyto. kwa hapa kwetu mpakakina masanja nao wana makanisa, wanahubiri wakiwa wamevaa kata k (mlegezo)
Uislam umeanza kukuwa kwa spidi kali mno Ulaya katika hii karne ya sasa.
Katika jiji maarufu la London tokea mwaka 2001 hadi sasa makanisa zaidi ya 500 yamefungwa, sababu kuu ikiwa waumini kuacha kwenda makanisani, waumini wengi hawapendezwi na mambo ya kisasa makanisni mfano kuwatetea sana mashoga na kuwafungisha ndoa.
Kwa upande mwingine, makanisa hayo yaliyofungwa yamegeuzwa kuwa misikiti na pia misikiti zaidi ya 500 nayo imejengwa, Sababu kuu ni waislamu wengi wana bidii ya kwenda misikitini na sheria zinafatwa kwa msimamo, hali hii imechangia hata baadhi wa wale wazungu waliochoshwa na Ukristo wa kisasa wa baadhi ya makanisa kuchochea ushoga, kuhama dini na kuwa Waislamu. (kuna watu wakristo wengi ulaya wanaobadili dini kuwa Waislamu)
Nisalimie sr.elton johnUislam ni dini ambayo inakwa kwa spidi sana ulaya, muungano ndio silaha yao kuu ukiachana na ukristo ambao kuna madhehebu mengi kama kama anglikana, Lutheran, roma, sabato, pentecost, mashahidi wa yehova, baptist, n.k shida za wapentekoste haziwahusu waroma, shida za wa moravian haiwahusu walutherani, utengano huu ndio udhaifu wa ukrisyto. kwa hapa kwetu mpakakina masanja nao wana makanisa, wanahubiri wakiwa wamevaa kata k (mlegezo)
Uislam umeanza kukuwa kwa spidi kali mno Ulaya katika hii karne ya sasa.
Katika jiji maarufu la London tokea mwaka 2001 hadi sasa makanisa zaidi ya 500 yamefungwa, sababu kuu ikiwa waumini kuacha kwenda makanisani, waumini wengi hawapendezwi na mambo ya kisasa makanisni mfano kuwatetea sana mashoga na kuwafungisha ndoa.
Kwa upande mwingine, makanisa hayo yaliyofungwa yamegeuzwa kuwa misikiti na pia misikiti zaidi ya 500 nayo imejengwa, Sababu kuu ni waislamu wengi wana bidii ya kwenda misikitini na sheria zinafatwa kwa msimamo, hali hii imechangia hata baadhi wa wale wazungu waliochoshwa na Ukristo wa kisasa wa baadhi ya makanisa kuchochea ushoga, kuhama dini na kuwa Waislamu. (kuna watu wakristo wengi ulaya wanaobadili dini kuwa Waislamu)
Yaani hutakuja kuta mafundisho ya Uisilamu yanahubiri kwa kusema utafanikiwa kibiashara,sijui utapata pesa,au utaolewa,hapana mafundisho ya Uisilamu huubiri fanya toba,swali kwa mwenyezi Mungu wako ili kesho ujiweke sehemu nzuri peponi.Rudia Tena. Yaaani uislamnunahubili shetani au