London: Makanisa zaidi ya 500 yamefungwa na baadhi kugeuzwa misikiti, zaidi ya misikiti 500 imejengwa, Uislam unakuwa kwa spidi ya radi Ulaya

London: Makanisa zaidi ya 500 yamefungwa na baadhi kugeuzwa misikiti, zaidi ya misikiti 500 imejengwa, Uislam unakuwa kwa spidi ya radi Ulaya

Ukiona mzungu anakubari jambo kirahisi ujue ana faida nalo hawa hawa wazee wa upinde.
 
Nitaongelea dini yangu ya uisilamu.

1. Mtume alikuwa jangwani haku kuwa na mashamba huko. Na una Ushahidi wa Sheikh kuhubiria watumwa Mashambani?

2.uisilamu ulikuja Afrika immediately, baada ya wafuasi wa mtume Kuteswa, wakaja Ethiopia/Aksum kwa mfalme Najash,wakaomba msaada Na kupewa Hifadhi, mpaka Leo Kuna Ushahidi wa msikiti Unaoelekea Jerusalem ina maana Uisilamu Afrika ulienea Hata kabla ya Nchi Nyengine za Arabuni.

3.Na Uisilamu hauhubiri umasikini. Kipindi uisilamu Unaongoza Dunia Africa ilikua hivi
-mtu Tajiri zaidi Duniani Mansa Musa alipatikana, Alikuwa ni Kiongozi Muisilamu na Empire yake pengine ni kubwa kupata Kutoke Africa.
-Nchi nyingi za Ki Africa zilikuwa Vizuri kielimu refer Timbuktu, walikuwa Advanced kwenye Architect, mathematics na Field myengine

Kiufupi Afrika ilikua Juu at that time, Empire kama Aksum ilitawala mpaka Nchi za Nje ya Africa, Trade routes zikaenda mpaka Yemen hadi Iran
Zungumzia dini zilizohubiri mafundisho hayo kwa watumwa
 
Kuna mwanasayansi alienda huko angani kwenye utafiti alivyorudi akasema amesikia nyimbo kama ile wanayoimba waislam misikitini kumbe ni adhana bwana aliyosikia yeye walimficha ficha ili asiongee hadharani maana atawashtua waliolala nyie endeleeni kubisha ila ni swala la muda tu ukweli utajulikana.
 
Kitabu kimetoka kwa mungu ila kina matolea kibao kama vitabu vya nyambari nyangwine wakati mwenyewe aliyekitoa hayupo duniani ila kila kukicha kinafanyiwa edition mara agano la kale mara agano jipya mara nabii shillah hawashtuki wapo tu na sadaka wanatoa mihela mingi mwenzao anahonga tu kweli akili ni nywele nimeamini 🙄.
 
Zungumzia dini zilizohubiri mafundisho hayo kwa watumwa
Mafundisho gani? Na kama unataka kuhusu Ukristo mtafute Mkristo akuelezee ila Uisilamu haujahubiri utumwa kwenye Mashamba.

Infact waisilamu wa mwanzo ni watumwa ambao Mtume na maswahaba wengine walitumia Fedha zao kuwanunua na kuwaachia huru. Sheria zote za kiisilamu zina Encourage kuachia watumwa Huru.

Pia definition kabisa ya Uisilamu ni kuwa Submitted to Allah, unapokuwa Muisilamu unakubali Unamtii Mungu tu na Huogopi kiumbe Chochote Duniani.

Ndio maana leo Hii waisilamu ni watu wagumu sana kuwa Controll, most of Time brainwash inadunda.

Tafuta hizo Historia za Watumwa wa Kiisilamu uone Masheikh walivyokuwa wakiwaunganisha Watumwa na Ku rebel against Slave Masters.
 
Mafundisho gani? Na kama unataka kuhusu Ukristo mtafute Mkristo akuelezee ila Uisilamu haujahubiri utumwa kwenye Mashamba.

Infact waisilamu wa mwanzo ni watumwa ambao Mtume na maswahaba wengine walitumia Fedha zao kuwanunua na kuwaachia huru. Sheria zote za kiisilamu zina Encourage kuachia watumwa Huru.

Pia definition kabisa ya Uisilamu ni kuwa Submitted to Allah, unapokuwa Muisilamu unakubali Unamtii Mungu tu na Huogopi kiumbe Chochote Duniani.

Ndio maana leo Hii waisilamu ni watu wagumu sana kuwa Controll, most of Time brainwash inadunda.

Tafuta hizo Historia za Watumwa wa Kiisilamu uone Masheikh walivyokuwa wakiwaunganisha Watumwa na Ku rebel against Slave Masters.
Muhammad alisisitiza kwamba wakienda Jihad, wahakikishe wanaua wanaume wote, na watakaobaki wachukuliwe watumwa, pamoja na wake zao na watoto zao.
 
Uislam ni dini ambayo inakwa kwa spidi sana ulaya, muungano ndio silaha yao kuu ukiachana na ukristo ambao kuna madhehebu mengi kama kama anglikana, Lutheran, roma, sabato, pentecost, mashahidi wa yehova, baptist, n.k shida za wapentekoste haziwahusu waroma, shida za wa moravian haiwahusu walutherani, utengano huu ndio udhaifu wa ukrisyto. kwa hapa kwetu mpakakina masanja nao wana makanisa, wanahubiri wakiwa wamevaa kata k (mlegezo)

Uislam umeanza kukuwa kwa spidi kali mno Ulaya katika hii karne ya sasa.

Katika jiji maarufu la London tokea mwaka 2001 hadi sasa makanisa zaidi ya 500 yamefungwa, sababu kuu ikiwa waumini kuacha kwenda makanisani, waumini wengi hawapendezwi na mambo ya kisasa makanisni mfano kuwatetea sana mashoga na kuwafungisha ndoa.

Kwa upande mwingine, makanisa hayo yaliyofungwa yamegeuzwa kuwa misikiti na pia misikiti zaidi ya 500 nayo imejengwa, Sababu kuu ni waislamu wengi wana bidii ya kwenda misikitini na sheria zinafatwa kwa msimamo, hali hii imechangia hata baadhi wa wale wazungu waliochoshwa na Ukristo wa kisasa wa baadhi ya makanisa kuchochea ushoga, kuhama dini na kuwa Waislamu. (kuna watu wakristo wengi ulaya wanaobadili dini kuwa Waislamu)


Ni hatari sana kwa waislamu kutawala Ulaya mambo yatakuwa kama Arabia.
 
Moja ya sababu kubwa watu kusilimu Ulaya kutokana ni Ukristo haujafanikiwa kuondoa maovu sugu Ktk jamii nyingi ulaya na Ulaya kushikiria rekodi chafu za mauaji, uvaaji usiofaa, unywaji, pombe, uzinzi na mmomonyoko wa maadili. Na uislamu umefanikiwa vyema kukomesha hayo na kubadisha watu kwa kiasi kikubwa kwa kuingia imani na hofu ya Mungu moyoni kuliko wengine na wngi wamejipa tumaini kuwa kuna mtu kafa kwa ajili ya dhambi zao kwa hiyo ni full bata tu.

Mfano miaka ya 60s Marekani kulikuwa na wimbi kubwa la ubaguzi wa rangi lkn cha kushangaza nguvu ya kanisa haikuwa kubwa Ktk kutokomeza hili swala ndio maana Elijah Muhammad alipokuja na Uislamu wakiharati alipata wafuasi wengi na kina Malcom X ilikuwa kwake rahisi kusilimu kutokana na kuona nchini mwake kuna uozo mwingi japo makanisa yametawala.

View attachment 2229556

FB_IMG_1652986535108.jpg


FB_IMG_1652988700079.jpg


FB_IMG_1652986862734.jpg
 
Muhammad alisisitiza kwamba wakienda Jihad, wahakikishe wanaua wanaume wote, na watakaobaki wachukuliwe watumwa, pamoja na wake zao na watoto zao.
Wakienda Jihad wapi? Unajua Mtume kapigana Vita vingapi? Na situation gani ilikuwepo?

Hao unaosema wewe ni prisoners of wars na Wengi baada ya Kukamatwa walikuja kuachiwa Free Ama kwa Ransom. Same Thing inakuwa practiced mpaka Leo.

Majority ya Vita Alivyopigana Mtume yeye ndio alikuwa akijilinda, Alivyoondoka Mecca na kwenda Madina mara kwa mara alivamiwa, Kuanzia Vita vya Badr, Uhud, Khandak na Vyenginevyo alipigana kama Defensive Measures Na Hakuwa akivamia na Kuua wanaume na Kuchukua watumwa wanawake Na Watoto kama unavyosema.

Nenda Kasome Vizuri source zako.
 
Furahia tu ila hamjui lengo la mzungu. Wata edit mafunzo ya kiislam watoto na wajukuu watakuta takataka ambazo hata hazikuwahi kufunzwa.

Utashangaa watataka maimamu wa kike. Watasema wanawake nao waweze kuolewa na mume zaidi ya m'moja. Watabadili maana za vifungu mbali mbali.

Wazungu sio watu wa kujenga nao mazoea hata kidogo maana huwa hawapendi jamii za watu wengine ziwe huru na tamaduni zao.

Unaona wanavyotuharibia tamaduni zetu za kiafrika kwa sasa?!

So usisheherekee usilolijua.
 
Nitaongelea dini yangu ya uisilamu.

1. Mtume alikuwa jangwani haku kuwa na mashamba huko. Na una Ushahidi wa Sheikh kuhubiria watumwa Mashambani?

2.uisilamu ulikuja Afrika immediately, baada ya wafuasi wa mtume Kuteswa, wakaja Ethiopia/Aksum kwa mfalme Najash,wakaomba msaada Na kupewa Hifadhi, mpaka Leo Kuna Ushahidi wa msikiti Unaoelekea Jerusalem ina maana Uisilamu Afrika ulienea Hata kabla ya Nchi Nyengine za Arabuni.

3.Na Uisilamu hauhubiri umasikini. Kipindi uisilamu Unaongoza Dunia Africa ilikua hivi
-mtu Tajiri zaidi Duniani Mansa Musa alipatikana, Alikuwa ni Kiongozi Muisilamu na Empire yake pengine ni kubwa kupata Kutoke Africa.
-Nchi nyingi za Ki Africa zilikuwa Vizuri kielimu refer Timbuktu, walikuwa Advanced kwenye Architect, mathematics na Field myengine

Kiufupi Afrika ilikua Juu at that time, Empire kama Aksum ilitawala mpaka Nchi za Nje ya Africa, Trade routes zikaenda mpaka Yemen hadi Iran
Then what happened?
 
Wanaokoka ni wakristo wenzenu kwa asilimia kubwa na waisilamu kidogo sana wenye tamaa ya maisha ya Dunia. Uisilamu haumuhubiri mtu sijui kuwa na maisha mazuri,nyumba au gari.Uisilamu unahubiri pepo
Rudia Tena. Yaaani uislamnunahubili shetani au
 
Uislam ni dini ambayo inakwa kwa spidi sana ulaya, muungano ndio silaha yao kuu ukiachana na ukristo ambao kuna madhehebu mengi kama kama anglikana, Lutheran, roma, sabato, pentecost, mashahidi wa yehova, baptist, n.k shida za wapentekoste haziwahusu waroma, shida za wa moravian haiwahusu walutherani, utengano huu ndio udhaifu wa ukrisyto. kwa hapa kwetu mpakakina masanja nao wana makanisa, wanahubiri wakiwa wamevaa kata k (mlegezo)

Uislam umeanza kukuwa kwa spidi kali mno Ulaya katika hii karne ya sasa.

Katika jiji maarufu la London tokea mwaka 2001 hadi sasa makanisa zaidi ya 500 yamefungwa, sababu kuu ikiwa waumini kuacha kwenda makanisani, waumini wengi hawapendezwi na mambo ya kisasa makanisni mfano kuwatetea sana mashoga na kuwafungisha ndoa.

Kwa upande mwingine, makanisa hayo yaliyofungwa yamegeuzwa kuwa misikiti na pia misikiti zaidi ya 500 nayo imejengwa, Sababu kuu ni waislamu wengi wana bidii ya kwenda misikitini na sheria zinafatwa kwa msimamo, hali hii imechangia hata baadhi wa wale wazungu waliochoshwa na Ukristo wa kisasa wa baadhi ya makanisa kuchochea ushoga, kuhama dini na kuwa Waislamu. (kuna watu wakristo wengi ulaya wanaobadili dini kuwa Waislamu)


Watayafunga soon msianze kulia lia
 
Acha uongo na propaganda, Mzungu gani anahamia uislamu. Sema wahamiaji wengi wanaotokea nchi za kiislamu ndio wanaoongeza idadi ya waislamu Ulaya.
 
Uislamu wenyewe ulianzishwa na hao hao wazungu kupitia majesuit wa kikatoliki kwa interest ya kuwini kambi ya masharti, hio hoja yako haiwezi pata mashiko. Hao wazungu wapo calculated miaka 300 mbele, yote wayafanyayo Wana maana yao.
 
Ndugu mwandishi unajipa moyo sana😂😂🤣🤣labda wadanganye wavijijini wenzako eti makanisa 500 yamekuwa misikiti ??!!ulaya ipi hiyo??!! Acha mihemuko hiyo na ndoto zako za mchana mzungu sio muarabu 🤣🤣🤣
 
Uislam ni dini ambayo inakwa kwa spidi sana ulaya, muungano ndio silaha yao kuu ukiachana na ukristo ambao kuna madhehebu mengi kama kama anglikana, Lutheran, roma, sabato, pentecost, mashahidi wa yehova, baptist, n.k shida za wapentekoste haziwahusu waroma, shida za wa moravian haiwahusu walutherani, utengano huu ndio udhaifu wa ukrisyto. kwa hapa kwetu mpakakina masanja nao wana makanisa, wanahubiri wakiwa wamevaa kata k (mlegezo)

Uislam umeanza kukuwa kwa spidi kali mno Ulaya katika hii karne ya sasa.

Katika jiji maarufu la London tokea mwaka 2001 hadi sasa makanisa zaidi ya 500 yamefungwa, sababu kuu ikiwa waumini kuacha kwenda makanisani, waumini wengi hawapendezwi na mambo ya kisasa makanisni mfano kuwatetea sana mashoga na kuwafungisha ndoa.

Kwa upande mwingine, makanisa hayo yaliyofungwa yamegeuzwa kuwa misikiti na pia misikiti zaidi ya 500 nayo imejengwa, Sababu kuu ni waislamu wengi wana bidii ya kwenda misikitini na sheria zinafatwa kwa msimamo, hali hii imechangia hata baadhi wa wale wazungu waliochoshwa na Ukristo wa kisasa wa baadhi ya makanisa kuchochea ushoga, kuhama dini na kuwa Waislamu. (kuna watu wakristo wengi ulaya wanaobadili dini kuwa Waislamu)


Nisalimie sr.elton john
 
Rudia Tena. Yaaani uislamnunahubili shetani au
Yaani hutakuja kuta mafundisho ya Uisilamu yanahubiri kwa kusema utafanikiwa kibiashara,sijui utapata pesa,au utaolewa,hapana mafundisho ya Uisilamu huubiri fanya toba,swali kwa mwenyezi Mungu wako ili kesho ujiweke sehemu nzuri peponi.

Kwa namna nyingine Uisilamu umeikinai dunia na kuichukulia ni kama sehemu ya kupita tu,maana ukiwekeza sana na mambo ya dunia utamsahau mwenyezi Mungu wako
 
Back
Top Bottom