Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sisi tulikutana baada ya mwaka kupita, tukaendelea baada ya kukutana miaka 4 ya mawasiliano imara na mapenzi kede kede, hakuna kipindi nimesafiri na kutuma nauli kama hicho.wengi yanawashinda wakiwa huko huko mbali mbali kwanini nyie mlishindwana baada ya kukutana?
😂 Ndio lugha gani umeandika?Bambo dzako
Kumbe ulikua kijana mzuri sijui nani kakuharibu 🏃Sisi tulikutana baada ya mwaka kupita, tukaendelea baada ya kukutana miaka 4 ya mawasiliano imara na mapenzi kede kede, hakuna kipindi nimesafiri na kutuma nauli kama hicho.
Watu wanagonga 7 hata 10 yrs wanawake ni rahisi kuitawala ashki ya ngono, ila nyie makarunguyeye sasa!!!Miaka minne 🤣🤣🤣🤣🤣 hapa panahitaji tuzo ya nobel.
Dda bafua mdobo ubeziba😂 Ndio lugha gani umeandika?
U nice guy mzigo sana sitorudi tena huko 😅Kumbe ulikua kijana mzuri sijui nani kakuharibu 🏃
Huo usafi wa mwili na roho niliupata kabla ya balehe, baada ya hapo ni kuupa mwili kadri unavyotaka🤣🤣🤣.Watu wanagonga 7 hata 10 yrs wanawake ni rahisi kuitawala ashki ya ngono, ila nyie makarunguyeye sasa!!!
Faida ya hiyo kanamna kanarudi na usafi wa kimwili na roho
Hasara, akili inakuwa inaruka kwa vipindi, ngozi inafubaa sana hasa usoni
Uzuri wake mlikubaliana kuachana,Sisi tulikutana baada ya mwaka kupita, tukaendelea baada ya kukutana miaka 4 ya mawasiliano imara na mapenzi kede kede, hakuna kipindi nimesafiri na kutuma nauli kama hicho.
Ndio na ndio ikawa hivyo japo haikuwa rahisi.Uzuri wake mlikubaliana kuachana,
Ingekuwa ya karibu hayana vurugu ningekubaliana na wewe kabisa lakini ndo kwanza full kero za kila namna,Huo usafi wa mwili na roho niliupata kabla ya balehe, baada ya hapo ni kuupa mwili kadri unavyotaka🤣🤣🤣.
Binafsi naona kuna hasara nyingi kukaa mbali na mtu wako kuliko faida.
Sisi wakristo tunaamini hata Adam alipomwacha Hawa peke yake ndipo Nyoka akapata chance ya kufanya yake.
🤣🤣🤣🤣walau kipapa kipo jirani, nikitaka sijiulizi!!!Ingekuwa ya karibu hayana vurugu ningekubaliana na wewe kabisa lakini ndo kwanza full kero za kila namna,
Mzee wa kipapa, endelea kuzipapatua🤣🤣🤣🤣walau kipapa kipo jirani, nikitaka sijiulizi!!!
Acha uchawi mkuuDah! Subiri uanze kupewa good night saa saba mchana, au ikifika usiku hapatikani, asubuhi anakwambia simu iliisha chaji na umeme ulikatika.
Ni suala la muda tu... weka lamination hii comment.
Wahuni wanajifaidia tu akiulizwa Bwana yuko wapi anachofanya anawasogeza Makaburini yule pale ajali ya Fuso ilitokea pale Njombe zikagongana USO kwa uso alifia pale pale Masikini anaanza kuliaa wee Wahuni wanabembeleza kituo kinachofuata Muunganiko Lodge, Restaurant , Bar & Lounge kinachukuliwa Chumba cha Daktari mtu anaenda kufanyiwa upasuajiIla mahusiano ya mbali ni Mungu tuu awe kati kutoboa ni kazi.
Nmelia sana,, unasemaje ukweli wangu,,nilikosea kukwambia siri zangu😰Miaka ya zamani ni kawaida Kwa mdada kuolewa body count 0 Mileage 0 akafa body count 1 mileage 2000000KM watoto 11 saivi sasa body count 54 mileage 546,876,230,000,000 abortion 14 watoto 2 status single na kuachika mara 9
Hata mimi saivi nishachoka kusema kweli. Ila nikitaka kiwepo karibu, sio kutafuta kwa tochi tena.Mzee wa kipapa, endelea kuzipapatua
mi saiv mwili umezoea genye mshindo ziliisha kwenye hiyo miaka 4 mwili hauniwaki kiboya boya, nimepoa
Ndio, ila ni kulingana na mtu mwenyewe, na huwa ni ngumu sana. Ni bahati tu yaaniKumbe inawezekana