Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
uzi ufungwe 😌Exatly.
Me nashindwa kuelewa watu wanajibana to prove what exactly? Fanya safe sex mwenzako asijue. Mnaheshimiana. Maisha yanasonga. Watu wanajibana utafikiri wanapewa tuzo.
Unashindwa nin?Mahusiano ya mbali ni kitu kimenishinda niwe mkweli. Miaka 2 ndio angalau nilijitahidi lkn baada ya hapo hapana siwezi kabisa.
Miaka yote hiyo bila kuonana?Miaka 9 bila tatizo lolote wala Upendo kupungua
Atatombwa na nani? Fanya mchezo na kutaka mwichi?Unashindwa nin?
Bila kabisa kila mtu anajua anapopiga na kupigwa mitiMiaka yote hiyo bila kuonana?
Nashindwa kukaa mbali na mpenzi muda mrefu.Unashindwa nin?
Ushazoea kukandwa Mara 5 kwa siku alafu mtu anaenda kukaa huko mwaka Wewe kazi kunyoa vuzi tu mpaka Mwaka unakata kwanini usitafute wa kukukandaMahusiano ya mbali ni kitu kimenishinda niwe mkweli. Miaka 2 ndio angalau nilijitahidi lkn baada ya hapo hapana siwezi kabisa.
Sema ushazoea kuuchezea kutwa mara 3 mpaka 5 sasa akiwa mbali si utanunua dildoNashindwa kukaa mbali na mpenzi muda mrefu.
😂😂😂😂😂Ngumu sana hiyo,mi nilipigaga simu akapokea house girl,akaniuliza nani naongea nae,nikamjibu rafiki yake mwenye simu,akaniuliza nani jina,nikamdanganyq JOHNSON,ilhali mi siitwi hilo jina,nikamuuliza mwenye simu yuko wapi,nikajibiwa yupo kazini,nikamuuliza tena,anarudi saa ngapi,nikajibiwa saa tisa na nusu,nikamuuliza tena yule binti,na mumewe anarudi saa ngapi,dada akanijibu muda huohuo,wanarudigi wote,daah distant relationship ni ngumu.
Kwa hiyo intavyuu,nilijua yafuatayo:-
1.Sikua nimeseviwa kwenye ile simu,nilikua naseviwa jina la mahaba,nikitoa taarifa kua NAKUJA,kesho ntaanza safari.
2.Alikua akiishi na mwanaume mwingine,nikitoa taarifa kua naenda,yule mwanaume haji pale.
3.Nilikua napigwa mizinga,kumbe kuna dume nalitunza pale nyumbani.
USIMUAMINI MTU.
Bila shaka Uyu ulikua nae wakati tayari ukiwa na yule mwandishiTunakaribia mwaka, nampenda sana.
Nina furaha na amani, kikubwa ni mawasiliano imara basi.
Sema tu nyegeNashindwa kukaa mbali na mpenzi muda mrefu.
We acha zako bn😂Nmelia sana,, unasemaje ukweli wangu,,nilikosea kukwambia siri zangu😰
Sipendi kuongelea mambo yaliyokwisha ila haikuwa hivyo, yaliyopita hivi sasa mwaka umeisha ilhali huyu nimesema tunakaribia mwaka.Bila shaka Uyu ulikua nae wakati tayari ukiwa na yule mwandishi
Hongera, binafsi nisingeweza hata kumaliza mwaka4 yrs bila kuonana! Ilinisaidia kuvumilia kuishi na genye, kikubwa mawasiliano imara yakiyumba na penzi linakufa hasa kama hamjarasmisha
Watu wanagonga 7 hata 10 yrs wanawake ni rahisi kuitawala ashki ya ngono, ila nyie makarunguyeye sasa!!!
Faida ya hiyo kanamna kanarudi na usafi wa kimwili na roho
Hasara, akili inakuwa inaruka kwa vipindi, ngozi inafubaa sana hasa usoni
Msema kweli mpenzi wa Mungu mi mwenyewe niliweza kimiujiza tuHongera, binafsi nisingeweza hata kumaliza mwaka
🤣🤣🤣wala sitafuti tuzo ni maamuzi tu, mizagamuo naijua sana ya wizi na halali,Hakuna tuzo ya kutunza genye. Zagamua safely, naye huko anazagamua. Maisha ndo haya haya.