Mpaji Mungu
JF-Expert Member
- Apr 24, 2023
- 13,544
- 43,537
Ngoja ringi ishuke 😂akili zitakurejea tuHaina makombo🤣
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ngoja ringi ishuke 😂akili zitakurejea tuHaina makombo🤣
Ishuke mara ngapi sasa🤣🤣🤣Ngoja ringi ishuke 😂akili zitakurejea tu
Aina hii ya Vijana mna mchango mdogo sana kwa taifa
Mwendo umeumaliza dadanguIshuke mara ngapi sasa🤣🤣🤣
🤣🤣🤣🤣🤣
Ninachoamini my one and only kainitunzia mimi tuu wala hachepuki huko aliko kaniambia, na mwezi wa 10 anaileta mwanza mazima. Uzi ufungwe.
Kabisa totoo🤣🤣Mwendo umeumaliza dadangu
Kwahiyo babe wewe umewahi kuvumilia kwa muda gani? Usijifanye hujaona swali 🤣😂😂
Ai lav yu, nyang'anyang'a
🤣🤣🤣🤣Najua ulitaka mtu wa kukusaidia kufanya justification 🤣🤣🤣 naungana na nyie katika hili.
sawa mzee wetuAina hii ya Vijana mna mchango mdogo sana kwa taifa
😁😁😁 Jikaze..
Muhimu ni heshima, iwepo pande zote, usiri uwepo pande zote. Ila kuniambia bila bila mwaka mzima ni kunifanya nichukue sheria mkononi bila sababu.🤣🤣🤣🤣
Maisha sio magumu kiasi hicho jamani!!
👊👊👊sawa mzee wetu
Afuu tag hii sikuona, enx mnoo.[emoji16][emoji16][emoji16] Jikaze..
Tupo wengi chiefMkuu na wewe upo kwenye long distance relationship nini.
Atoto nakusalimiaNope, nilikuwa napenda anavyoongea na anavyochambua mambo kwa uzito, sikuwahi kuona ufupi wake.. alivyoanza gubu nikaona pia ni MFUPI
It is well.......Mkuu acha tuu, ukiwa financially stable haina shida sasa hapa bado najitafuta, ninavyoandika hapa yupo arusha kwao katoka dar last week lengo lake anifate mwanza kunisalimia nikiangalia bado mambo hayajakaa sawa akija atachoma mtaji yani nawaza acha kabis. Nimem'miss sana na ninatamani aje ila ndio hivyo, ashaanza kulalamika hapa anadai nishapata mtu mwingine.