Tayana-wog
JF-Expert Member
- Feb 26, 2012
- 24,844
- 29,126
🤣🤣🤣4 yrs bila kuonana! Ilinisaidia kuvumilia kuishi na genye, kikubwa mawasiliano imara yakiyumba na penzi linakufa hasa kama hamjarasmisha
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
🤣🤣🤣4 yrs bila kuonana! Ilinisaidia kuvumilia kuishi na genye, kikubwa mawasiliano imara yakiyumba na penzi linakufa hasa kama hamjarasmisha
Kwa mwanamke mbona kawaida na hasa km ana mtu anampendamiaka minne hujacheat
hebu nitumie picha yako dm nina kazi naww
Happy to see you too. How have you been dear?Hey sis 😀
Happy to see you. It’s a long time…
Wewe huyoHappy to see you too. How have you been dear?
Aisee hiyo comment yako imenifurahisha sana. Upendo ukiisha ndiyo tunaanzaga kuona na mapungufu ..
Mbona umenicheka Tayana
😂 lol.! My comment?!!Happy to see you too. How have you been dear?
Aisee hiyo comment yako imenifurahisha sana. Upendo ukiisha ndiyo tunaanzaga kuona na mapungufu ..
Sasa wafupi watapendwa na nani jamani? 🤣🤣🤣😂 lol.! My comment?!!
No, sis wanaume wafupi wana gubu, wajuaji, halafu wako insecure..
Tubaki na warefu 😻
Wizo nazeeka vibaya mwenzio 🤣🤣🤣Wewe huyo
Wizo ni nn kupotea hivo
Nimekumic mama malezii [emoji8][emoji8][emoji182][emoji182]Happy to see you too. How have you been dear?
Aisee hiyo comment yako imenifurahisha sana. Upendo ukiisha ndiyo tunaanzaga kuona na mapungufu ..
Aisee🤣🤣🤣🤣🤣hili jambo gumu sana, mwanaume atamwacha baba na mama yake, ataambatana na mkewe nao watakuwa mwili mmoja, mwili gani mmoja upo rukwa na mwingine upo dar
Cha ukorofi upo? Nimemiss majengeka yako jamani mweehNimekumic mama malezii [emoji8][emoji8][emoji182][emoji182]
Baba malezi aache kukufungia woiiiih.
🤣🤣🤣🤣🤣
Nimetafuta ule wimbo wa jipe moyo wa F.Mbasha sijaupata🤣🤣🤣
Toa neno la faraja kidogo mkuu😁Afuu tag hii sikuona, enx mnoo.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Jiji la dar watu nafikir hawalali bila izo habari nilisafir Weeknd nitafute pa kulala aisee Kila sehemu pamejaa 😀😀😀Usimpake mwenzako mafuta kwa mgongo wa chupa🤣🤣🤣🤣, dada yupo jiji la ngono akae mwaka bila kuwekwa sio kweli!
Aisee Mungu azidi kukubariki mkuu. Mimi ninapenda sana na kufurahia shuhuda za namna hiiMkuu mimi nimeoa na nina watoto na ndoa inaelekea miaka kumi. Jaribu kufikiria wife anajuwa kuwa kuna mambo hayo ya udangnyifu...Ukweli bado nampenda wife.
mie nipo hapa chimbo maarufu la kugegeda warembo maeneo ya argentina, aisee kuna loose ball moja hapa naona kama imetelekezwa naombeni ujanja wakuiniingia ili nijiokotee mzoga nikale na mie.Nikiwaza dar kuna kina mzabzab nachoka kabisa😁