Rayns
JF-Expert Member
- Jul 29, 2023
- 3,620
- 7,818
Huku mkoani mambo magumu mo, ila ucjal naingiza kipatoMi bdo nko poa t
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huku mkoani mambo magumu mo, ila ucjal naingiza kipatoMi bdo nko poa t
Ninakuvumilia coz yatapitaHuku mkoani mambo magumu mo, ila ucjal naingiza kipato
Namuonaaa apoo 😂😂Babe wang kapita hapa gafla kapotea
Kabisa Tena ni rahis sana kuliko wanavodhaniMwanamke akipenda; anavumiliaaaaaaa
Ukumbuke ww kwangu ni diesel, Ferrari Siwezi tembea bila wewe,Ninakuvumilia coz yatapita
Halafu humu jamiiforums. Kuna watu wanatumia id kama watu wa dini sanaaa afu kila siku wanaonekana kuchangia mada za mapenzi kama Yesu Anakuja Mtumishi wa Bwana Mpaji Mungu na wengine kama hao😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Pole😁😁 umechelewa kuja kunipa moyo mkuu
Na hiyo rangi ya jangwa hiyo utakuwa inanistimulate kinomaa
Hii thread imetembeaaa sio poa page ya 36 duuh sio poa
Yes afu mshauri dogo huyu wa kuitwa Food anaogopa wanawake
Nipigie video babe uoneeYanii let me know if you’re brown skin or light 😘
Na sisi tukawa tunakazia kazia 😂😂😂Huyu jamaa alianza kupost kwenye uzi wangu, nzige wengine wakafuata maneno yake, asee niliumia kunona yaan
Mbona katiririka apo chini kwa girl wakeYes afu mshauri dogo huyu wa kuitwa Food anaogopa wanawake
Nilimaindi kinoma, babeka😂Na sisi tukawa tunakazia kazia 😂😂😂
Watanikanyaga mkuu connection ya numberMishangazi imeajiriwa inatembelea magari mkuu uwe unasimamisha magari hayooo😂😂😂😂
Usiingilie mapenzi yeti buns heeeKumbe ndo mnatongozana, hahaa 😂 Cassnzoba huna wife
🤣🤣🤣Akuamkiajee usije ukatokwa na jasho hadi kwenye kuchaa