Looking for a job marketing positions or insurance principal officer

Looking for a job marketing positions or insurance principal officer

Graduate gani unaandika english mbovu hivyoo? Kama utapata kazi kwa mtu kuona hayo maombi yako hapo, nikithibitisha nakupa mshahara mzima utakaopatana nao. Najua huwezi pata kwa english hii graduate!

Hata Angeandika utakavyo Ungemsaidia Nini Kilaza kama ww
 
kwa majibu yako utapata kazi kupata kazi

Ndio Dawa yenu Vilaza kama Nyie Sio kwamba nitapata kazi Bali Nimeshapata Zaid ya Ofisi mbili naenda kesho Sasa ww Endelea Kutafuta Bwana utapata tu usijali
 
Graduate gani unaandika english mbovu hivyoo? Kama utapata kazi kwa mtu kuona hayo maombi yako hapo, nikithibitisha nakupa mshahara mzima utakaopatana nao. Najua huwezi pata kwa english hii graduate!

Ninamshukuru mungu ni kwamba kweny Sehemu nyeti kuu mbili aliamua kubakia na uamuzi nazo Yeye.
1)Kifo
2)Rizki
Lahti kama Ndo ungekuwa ww mgawa lizki Hata akina Bakhresa, Mo, Manji Usingewapa kutokana na ukilaza na Ufinyu wako wa Akili.

Magufuli baba Ebu legeza kidogo Maana Vijana Tunawapoteza wengi wao Ni Misukule lakin ukiwaona kama Watu vile
 
Sio kwamba Nina majibu mabovu ila Wengi wenu Sio Wastaarabu hata kidogo sikatai kukosolewa kila Napinga Aina ya Ukosoaji wenu MNA maneno yya Shombo. Mkosoe MTU kwa aina nzuli kama kuna sehemu amekosea mrekebishe kwa Ustaarabu sio Matuc wala Kejeli.
 
Sio mimi tu na ww Pia Ubalikiweeew
wewe ni jinga sana sijui hata huko shule ulienda fanya nini, bora hizo hela wangeenda fugia kuku leo hii hao waliokusomesha wasingekuwa wanapata taabu
 
I'm Denis sSamwel Mwalumuli 24 age
I'm living in Tabata Barakuda, Dar es salaam
I'm looking for a job from two kinds writing above heading, marketing position or either insurance principal officer because I have graduate and very experiences in this two derpatment.

I'm ready to work any place in Tanzania if we agreed. For more information of me about my CV and more instrustions please I'm available in this contact 0717933904
0767146616

Email:denisimwalumuli@gmail.Com
waombe moderator waufute huu uzi,,uombe kwa kiswahili hii lugha ulivoiandika umetutia aibu watu wa barakuda
 
Mweny Akili timamu atasoma na kama ana uwezo wa kunisaidia atanisaidia ila Mpumbavu na Mjinga kama ww Atapita kama ulivyopita ww.
nan atakusaidia akat hujui hata kujielezea kwa kiingereza???

au una mategemeo ya ndugu yako kuoita hili jukwaa??

wenye makampuni wanafanyisha interview kupata watu competent ww unahisi watakuonea tu huruma ili uwatie hasara baadae??
 
Mwisho utakuja bishana na mabosi wako humu, huwezi jua labda ndio unafanyiwa usaili, JISHUSHE



Bosi mwenye shida na mimi alishanipigia simu na ofisini kwake nimeenda hao wengine sio mabosi ni Wasengee tu [HASHTAG]#Umaku[/HASHTAG] unawasumbua
 
nan atakusaidia akat hujui hata kujielezea kwa kiingereza???

au una mategemeo ya ndugu yako kuoita hili jukwaa??

wenye makampuni wanafanyisha interview kupata watu competent ww unahisi watakuonea tu huruma ili uwatie hasara baadae??


Mwenye kujielewa anajua kuwa Hakuna aliezaliwa Anajua ila Msengee na Shoga kama ww ndio kazi zenu kukaa na kukosoa kila lipitalo mbele yako huku Unakula na Kulala kwa Baba na Mama yako hadi kidevu kinaota upele hadi kinasagika upo kwa Wazazi. Halafu unacheka eti nimeandika broken.

Hii broken imenipa kazi mwenzio mpaka hivi sasa
Endelea kutafuta mabwana Mitandaoni
 
Back
Top Bottom