Looking for a job marketing positions or insurance principal officer

Umeandika upuuzi sana
 
Bora wewe ambaye hukwenda kusoma.

SUKAH
 
Umeandika pumba sana. Kacheze na watoto wenzako. Jinga sana wewe!
 
Tuma CV yako ikiwemo kazi za masoko ulizowahi kufanya na KPI zako career@hosannahighertech.co.tz

Sio guarantee ya kazi but kuweka mitego sehemu mbalimbali inasaidia
 
Majina yangu ni Denis samwel mwalumuli miaka 28 mwenyeji wa Mbeya, Kyela ila makazi yangu ni Dar es salaam.

Elimu yangu ni level ya kawaida tu nimesomea mauzo na masoko ngazi ya cheti. Ila nina uzoefu wa kufanya kazi
Mkuu nenda vijijini tafuta mashamba yaliyo karibu na mito ama ziwa. Anza kilimo cha mbogamboga na matunda...

...mfano mchicha, nyanya, spinachi, n.k
...matunda kama matikiti, n.k
Mkuu utatoka fasta Sana. Mfano mchicha ni siku 21 tu unaanza kupiga hela. Tikiti ni siku 55 tu unaanza kupiga mamilioni, n.k.

Achana na mambo ya kutafuta ajira za kupewa laki 2 au 3 kwa mwezi, utapoteza muda tu.

Kila la kheri!
 
Vipi kuhusu changamoto hujamuainishia
 
Mkuu naomba hebu ile business plan ya kilimo cha matikiti nimeimiss sana.
 
Ha ha ha mkuu sikujua kama unatumia MARIJUANA.
 
Umempa ushauri mzuri lakini vipi kuhusu mtaji wa kuanza kushika mashamba au unamshauri atafute kama laki 6 fulani aende shamba.

mfano mzuri ni ukijua kilimo kama nyanya na hoho hivi ni vilimo vya muda mfupi na ukilima mbegu bora za F1 kwa kulima kuanzia ekari moja huwezi toka kapa pia kama umelenga msimu wa soko kuanzia mwezi wa 12 mpaka wa 4 bei ya nyanya ni nzuri.

anatakiwa aanze mwezi wa 11 kuweka miche shambani hapa akiwekeza akili lazima ushindi ukiweza kupata 5mil faida kwa nyanya huo ndio mwanzo wa kupata 50milion
 
ww upo hko mitoni na maziwani/ ili awe jirani yako mlime wote mbogamboga..
 
Mm niko bonde la mto Ngeregere kwa Sasa. Kabla ya kuja huku nilikuwa bonde la mto Rufiji. Wakuu kilimo cha mbogamboga na matunda kinalipa. Seriously.
HONGERA AMBATANA NA NDUGU YTU UMSAIDIE NAMBA ZAKE KAANDIKA HPO..
 
Mm niko bonde la mto Ngeregere kwa Sasa. Kabla ya kuja huku nilikuwa bonde la mto Rufiji. Wakuu kilimo cha mbogamboga na matunda kinalipa. Seriously.
Unapata wapi mtaji wa kuanzia? Unaenda kuishi kwa nani wakati ukiwa huko Bondeni kwenye kilimo?
 
Mkuu unaweza kusema kinalipa ila hautifautishi mazingira au mahari alipo mtu, wewe huko mkoani kwako kinalipa ila huku kwingine yawezekana ni kazi bure. Mfano huku kwetu hata uwe msimu wa uhaba wa nyanya lazima nyanya 4 kubwa utaziuza 300/= je kunakutoboa hapo ukilinganisha na investment uliyofanya
Mm niko bonde la mto Ngeregere kwa Sasa. Kabla ya kuja huku nilikuwa bonde la mto Rufiji. Wakuu kilimo cha mbogamboga na matunda kinalipa. Seriously.
 
Unapata wapi mtaji wa kuanzia? Unaenda kuishi kwa nani wakati ukiwa huko Bondeni kwenye kilimo?
Tatizo la ninyi mnaojiita wasomi mnataka kila kitu kiende mtelemko. Uza hiyo simu unayotumia ku-like na ku-comment humu upate mtaji.

Kuhusu pa kukaa, vijijini kuna ukarimu wa hali juu Sana. Lkn atafutae huwa hana mwiko, hata shamba analala.
 
Tatizo la ninyi mnaojiita wasomi mnataka kila kitu kiende mtelemko. Uza hiyo simu unayotumia ku-like na ku-comment humu upate mtaji.

Kuhusu pa kukaa, vijijini kuna ukarimu wa hali juu Sana. Lkn atafutae huwa hana mwiko, hata shamba analala.
Unalala Shamba ukimezwa na Chatu
 
Mkuu kama una dhamira toka hapo ulipo nenda sehemu nyingine. Nchi yetu hii, kila mtu anao uhuru wa kuishi ama kwenda mahala popote.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…