Looking for a job marketing positions or insurance principal officer

Looking for a job marketing positions or insurance principal officer

Itatuchukua miaka mingi sana kama taifa kupiga hatua. Watanzania ni wepesi wa kukosoa lakini hawapendi kukosolewa hata kidogo.

Unapowasilisha hoja kwa lugha isiyokuwa yako, sio dhambi kukosea. Hata kiswahili chanyewe tunakosea sana sema tu kwakuwa tunachukulia poa.

Hata hivyo tatizo ni pale unapoambiwa kuwa lugha uliyotumia hukuitendea haki halafu unakuwa mkali. Badala ya kuichukulia hiyo kama changamoto unageuza mjadala unakuwa wa matusi. Hii sio sawa na haitakusaidia.

Tuelezane ukweli pale inapobidi. Tujifunze kuwa na majibu ya staha, na tuache kudhani kuwa hatukosei. Ukifuatilia mjadala utagundua kuwa umehamia kwenye matusi tu na sio kwenye ushauri wa kutatua hoja iliyokuwa mezani.

Ukweli ni kuwa mleta mada amekosea sana kwa namna anaojibu hoja.

Ushauri wangu:

Mleta mada, maisha hayahitaji mashindano na hupotezi chochote kwa kujishusha. Kuwa muungwana, waombe radhi ulowakwaza kisha walio kukwaza naamini nao watakuomba radhi kwakuwa wengi walifanya kama ku "retaliate " tu na sio vinginevyo.

Kumbuku, hii ni JF kuna siku uzI huu unaweza kuja kuwa kikwazo kikubwa sana hapo baadae kwenye harakati zako.

Kila la kheri kwako mkuu.

Asante kwa maneno yako ya Busara na yasiyo na Matuc ila Naomba nami nikukumbushe kitu Kukosolewa sio dhambi ila Dhambi ni Kutukanwa ama lugha za Matuc juu ya Mwandishi.

Mtu anapokosolewa inamsaidia kujua kile alichokikosea Ila Anapotukanwa Ina msaidia nini
 
Asante kwa maneno yako ya Busara na yasiyo na Matuc ila Naomba nami nikukumbushe kitu Kukosolewa sio dhambi ila Dhambi ni Kutukanwa ama lugha za Matuc juu ya Mwandishi.

Mtu anapokosolewa inamsaidia kujua kile alichokikosea Ila Anapotukanwa Ina msaidia nini
Denis kumbuka kitu chochote ambacho kipo mtandaoni hakiozi kitakaa humu forever so jaribu sana kuangalia uandishi wako na mabishano ambayo sio ya lazima..you have a future ahead of you CV yako iko mtandaoni tayar na kila mtu kajua wewe ni nani..So achana na lugha zisizofaa hata mtu akikutukana ww poteza sbb wewe ndio utakuja kua looser hapo badae pale mtu atakapokuja kukuchimbua!
 
Rekebisha CV yako kwanzo ina mapungufu mengi sana , employers watakuona hauko serious. Ushauri tu usitoe povu
 
Kuna mtu ana probox anatafuta dreva wa uber vipi nikuunganishe?
 
Vitz RS 10.5---
30,000 * 30 * 12 * 2 = 21.6
Duh Hii Ni Mara Mbili Yake


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Naitwa Denis Samwel nipo Tabata Natafuta Gari ya kufanyia kazi ya usafiri wa Mtandaoni yaani Uber, Taxify na Ping.

Account zote Ninazo pia Niko na licence inayoniruhusu kufanya kazi hii, Pia niko Hati ya Tabia njema kutoka Wizara ya mambo ya ndani ya nchi. Umri wangu miaka 27.

Hesabu ni sh. 30000 kwa siku gari nataka mkataba na mkataba utegemeane na Gari ya muhusika mwenyewe maana inawezekana ikawa imetumika kiasi chake, Ikiwa mpya ni miaka 2.

Gari inatakiwa Iwe Toyota Ractis, IST Au VITZ. Mimi ni mwajiriwa wa kampuni moja hapa mjini kwahiyo hesabu ya 30000 kwa Siku haiwezi kunishinda,.

Ahsantenii. Namba zangu 0716397525 au 0684731015
 
Naitwa Denis Samwel nipo Tabata Natafuta Gari ya kufanyia kazi ya usafiri wa Mtandaoni yaani Uber, Taxify na Ping...
Hiyo hesabu yako piga X 6/7,

Sababu ni kua kwa wiki huleta 30,000 x 6 = 180,000 badala ya 210,000 uliopigia.
 
Back
Top Bottom