Angekubali kuwa second wife, leo leo angeanza kulala uchi.Stay tuned vigezo vitapungua hivyo!!
Vp mkuu na weww tangazo lak knKila la kheri kwa huyo mlimbwende
MZee wao ni wao hapana, maana bado Sina hata mchumba😂😂Ungerudisha umri nyuma ningekupa kijana wangu Intelligent businessman ila sasa umeenda sana , mwisho watasema kaoa kashangazi.
Nami nasubiria lako Palina 😂😂Vp mkuu na weww tangazo lak kn
Usishangae, akija na uzi wake wa madem wa kishua😂😂Dogo muhuni huyo 😅😅
Mm mwenyewe sijamwona mudaa sanaaKunguru wa Manzese where is this guy??
Ni kweli mkuu ila ametumia kiingereza kama silaha ya kujinadiKakosea tena? Kingereza ni kosa? Nilidhan lugha tu, na labda katumia kingereza sababu kingereza kipo straight na clear, angetumia kiswahili maelekezo yangekuwa mengi, mfano aliposema inferiority complex kwa kiswahili angeandika nini mzee? Mbona kama yangekuwa maneno mengi?
Ni kweli mkuu ila ametumia kiingereza kama silaha ya kujinadi
Huwezi kupata mume kwa style hiyo sana sana utapigwa tu miti kisha utemwe.
""i love education""
kaolewe na huyo education unayempenda sasa ututolee shida hapa
My mother hatafuti mwanaume lakini. Ana mume wake na watoto na vitukuu. Wewe endelea kutembeza pussy kwa masharti ulitegemea kupata mume.Even ur mother anapigwa miti so what so special about it??
Jamaniiii so ukifika supermarket [emoji23][emoji23][emoji23]unatangaza wale single wapite mbele