Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Basi dogo, sina cha kukwambia tena.Lumine Gold nachanganya na Sepi serum kwenye kopo moja.
Ooh Sawa..Napaka ili kupendeza, kulinda bland yangu
Hahaaha Kata products
Basi dogo, sina cha kukwambia tena.
Basi dogo, sina cha kukwambia tena.
Kwahiyo wewe unapenda kuwa mweupe...?
Lotion au mkorogo? Huwa linapumuliwa!Sasa wewe lotion ya nini?
Wakati ni mwanaume?
Sasa dogo umenizidi hadi mimi dada yako nitakwambia nini? Hadi unachanganya lotion na serum wewe ni pro.Nambie tu plz,
🤣🤣🤣Lotion au mkorogo? Huwa linapumuliwa!
Hapo anajiona mjanjaa sanaHahaaha Kata products
Hahah halafu eti mwanaume?Sasa dogo umenizidi hadi mimi dada yako nitakwambia nini? Hadi unachanganya lotion na serum wewe ni pro.
Niambie kwanza rangi yako halisi ni ipi? Mweusi au maji ya kunde? Halafu kung'aa zaidi ndio kuwa mweupe zaidi?Nielekeze, niachane na huu mkorogo, nitumie lotion ipi ili nig’ae vzur zaidi
halafu wewe Babie mbona usipo jipaka chochote ndio unakua mzuri zaid love, sura inag'aa vizuri inaonekana vizuri una Nuru njema.....Kuna lotion niliyokuwa naitumia first time ilinikubali sana nikawa mweupe kama mwarabu, kopo liliisha nikanunua jingine sasa hii ya mara ya pili ndo imenikataa kabisa yaani nimekuwa mweusi mpaka nimepitiliza.
Najiuliza hii ya mara ya pili ilkuwa imeexpaya ama vipi,.?
Naombeni ushauri.
Niambie kwanza rangi yako halisi ni ipi? Mweusi au maji ya kunde? Halafu kung'aa zaidi ndio kuwa mweupe zaidi?
halafu wewe Babie mbona usipo jipaka chochote ndio unakua mzuri zaid love, sura inag'aa vizuri inaonekana vizuri una Nuru njema.....
Achana na hiyo milotion yaani ukijipakaga unakuaga umenyauka na kufubaa ka povu la lundo la Pichu chafu... ...
Aisee kumbe ni mwanaume?Tatizo linaanzia hapa
Nahitaji kuongeza mwili (Kunenepa)
Habarini wana JF, Nini kifanyike ili kuongeza mwili (unene) ili niwe na muonekano mzuri wa kiafya unaovutia? Nahitaji kunenepa.www.jamiiforums.com
Likaja hapa.
Mwanamke wangu mbaya wa sura na muonekano ila ndie anaeniweka mjini
Nina demu mmoja anasoma chuo, ananipenda sana lakini mimi namchukulia kawaida tu kwasababu ananiweka mjini, naishi kwake ananilisha na bills zote analipia yeye, mimi mchango wangu kweke ni kidogo sana nkipata pesa kidogo kidogo ndipo nachangia. Kwanza kabisa demu tulikutana mtandaoni...www.jamiiforums.com
Kuna shida.