Tlaatlaah
JF-Expert Member
- May 18, 2023
- 24,665
- 25,388
unaniaibisha nakua sina confidence napopita na wewe mtaaniMimi ndo ninavopenda hivo, napenda kusinyaa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
unaniaibisha nakua sina confidence napopita na wewe mtaaniMimi ndo ninavopenda hivo, napenda kusinyaa
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Lumine Gold nachanganya na Sepi serum kwenye kopo moja.
Hili swali hawezi kulijibu, atajifanya hajaliona. mana hata yeye mwenyewe hana uhakikaDuuh we ni ke au me?
Hapo kipa katokaHamna kazi hapo..
Bintiiii,tunakupa mume huyo "mzungu" kabisa.🤣[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Hawezi akawa chakula ya mishangazi kwa pigo zake ni chakula ya wanaume wanaokula marinderNi mwanaume huyu chakula ya mishangazi
Brand ya ushoga au sioNapaka ili kupendeza, kulinda bland yangu
Si mwanao huyoUnavyosemaga mishangazi inakupenda kumbe unajichubua😂
Nenda hospitali
Sijajua kwanini, Nimeingiwa na simanzi/masikitiko baada ya kufikia hii comment.Napaka ili kupendeza, kulinda bland yangu
Sinza na lotions zinahusikajeLocations; Mwananyamala, Sinza, Manzese, Magomeni, Tegeta msichoke & Mbagala...
Elewa comment yanguSinza na lotions zinahusikaje
Tena huyu sii lotions
Nii mikorogo, nshasema lipo kundi la wapuuzi ndo watafanya ata kulala kwa mwanaume itakuwa ni ajabu