Lotion niliyotumia nikawa mweupe imenikataa

Lotion niliyotumia nikawa mweupe imenikataa

Pole sana aisee... kwanini usitafute tu lotion itakayokufanya umaintain hiyohiyo rangi yako nyeusi.. zipo nyingi tu ukipaka unakua na weusi flani hivi soo sweet [emoji8][emoji8]
Mtt mzr taja basi baadhi
Za kumaintain weusi
Pia za kumaintain weupe
 
Ikubali rangi yako wewe achana na mikorogo. Tafuta mafuta ya kusoftisha rangi yako bila kuchubua.
Madhara ya mikorogo ni makubwa, hasa uzeeni tunawaona wanavyoteseka.
BTW ulikuwa unatumia 'lotion' gani?
Mbinu uliyotumia wengine hawawezi kushtukia. Unajifanya kama unaponda then unaitaka hiyo lotion... 🤣
 
Mimi ndo Bwana ako, usitafte bwana mwingne
MWENZIO HUYU HAPA NAYE AMEJICHUBUA KAMA WEWE.

Screenshot_2023-12-18-15-52-49-643_com.android.chrome~2.jpg
 
Kuna lotion niliyokuwa naitumia first time ilinikubali sana nikawa mweupe kama mwarabu, kopo liliisha nikanunua jingine sasa hii ya mara ya pili ndo imenikataa kabisa yaani nimekuwa mweusi mpaka nimepitiliza.

Najiuliza hii ya mara ya pili ilkuwa imeexpaya ama vipi,.?

Naombeni ushauri.

Kwanini hujiamini??

Bila shaka elimu yako ni darasa la saba
 
Ikubali rangi yako wewe achana na mikorogo. Tafuta mafuta ya kusoftisha rangi yako bila kuchubua.
Madhara ya mikorogo ni makubwa, hasa uzeeni tunawaona wanavyoteseka.
BTW ulikuwa unatumia 'lotion' gani?
Ila unapointi nzr mwanamke unafaa Kwa kutidua
 
sasa tumia bio oil ya kufanya uso ung'are
na uwaze kupaka mikorogo. njoo nikuuzie
 
Back
Top Bottom