FaizaFoxy
Platinum Member
- Apr 13, 2011
- 100,246
- 123,145
Siyo Waarabu wote ni weupe.Kuna lotion niliyokuwa naitumia first time ilinikubali sana nikawa mweupe kama mwarabu, kopo liliisha nikanunua jingine sasa hii ya mara ya pili ndo imenikataa kabisa yaani nimekuwa mweusi mpaka nimepitiliza.
Najiuliza hii ya mara ya pili ilkuwa imeexpaya ama vipi,.?
Naombeni ushauri.