Lotion niliyotumia nikawa mweupe imenikataa

halafu wewe Babie mbona usipo jipaka chochote ndio unakua mzuri zaid love, sura inag'aa vizuri inaonekana vizuri una Nuru njema.....

Achana na hiyo milotion yaani ukijipakaga unakuaga umenyauka na kufubaa ka povu la lundo la Pichu chafu... ...
 
Aisee kumbe ni mwanaume?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…