Siyo Waarabu wote ni weupe.Kuna lotion niliyokuwa naitumia first time ilinikubali sana nikawa mweupe kama mwarabu, kopo liliisha nikanunua jingine sasa hii ya mara ya pili ndo imenikataa kabisa yaani nimekuwa mweusi mpaka nimepitiliza.
Najiuliza hii ya mara ya pili ilkuwa imeexpaya ama vipi,.?
Naombeni ushauri.
Nimeandika utani sio ugomvii.Elewa comment yangu
Anapenda waarabu weupe... huwa wanagawa visimaSiyo Waarabu wote ni weupe.
Kuna lotion niliyokuwa naitumia first time ilinikubali sana nikawa mweupe kama mwarabu, kopo liliisha nikanunua jingine sasa hii ya mara ya pili ndo imenikataa kabisa yaani nimekuwa mweusi mpaka nimepitiliza.
Najiuliza hii ya mara ya pili ilkuwa imeexpaya ama vipi,.?
Naombeni ushauri.
Uduguu mbna hatariiii hiii [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Huyo atumie kyuti body cream ang’ae apate madanga vizuri [emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Hili swali hawezi kulijibu, atajifanya hajaliona. mana hata yeye mwenyewe hana uhakika
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] brohz, mwanaume wa kugombania nafas dressing table sio type angu kabisaaBintiiii,tunakupa mume huyo "mzungu" kabisa.[emoji1787]
human (falcon) doesn't obey their creator (falconer)Turning and turning in the widening gyre The falcon cannot hear the falconer; Things fall apart; the centre cannot hold; Mere anarchy is loosed upon the world.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nimecheka had baasJamani unataka kuja wapi kaka?
Huku tumeshajaa usileft group please tunawahitaji sana
Hivi we ni kigi makasi alokuwa mchezaj au ni kigi makasi unajiita tu hilo jinaHili swali hawezi kulijibu, atajifanya hajaliona. mana hata yeye mwenyewe hana uhakika
Eeeh tumejaa nae anataka kuja huku kufanya nini jamani[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nimecheka had baas