Mesorphine
Member
- Oct 11, 2020
- 56
- 36
Mtt mzr taja basi baadhiPole sana aisee... kwanini usitafute tu lotion itakayokufanya umaintain hiyohiyo rangi yako nyeusi.. zipo nyingi tu ukipaka unakua na weusi flani hivi soo sweet [emoji8][emoji8]
Mbinu uliyotumia wengine hawawezi kushtukia. Unajifanya kama unaponda then unaitaka hiyo lotion... 🤣Ikubali rangi yako wewe achana na mikorogo. Tafuta mafuta ya kusoftisha rangi yako bila kuchubua.
Madhara ya mikorogo ni makubwa, hasa uzeeni tunawaona wanavyoteseka.
BTW ulikuwa unatumia 'lotion' gani?
Kwani bwana ako anataka sana uwe mweupe? Hajawaona wanawake weupe?Nielekeze, niachane na huu mkorogo, nitumie lotion ipi ili nig’ae vzur zaidi
Kwani bwana ako anataka sana uwe mweupe? Hajawaona wanawake weupe?
Madelicious mnapambana sana muwe weupe.Mimi ndo Bwana ako, usitafte bwana mwingne
MWENZIO HUYU HAPA NAYE AMEJICHUBUA KAMA WEWE.Mimi ndo Bwana ako, usitafte bwana mwingne
Kuna lotion niliyokuwa naitumia first time ilinikubali sana nikawa mweupe kama mwarabu, kopo liliisha nikanunua jingine sasa hii ya mara ya pili ndo imenikataa kabisa yaani nimekuwa mweusi mpaka nimepitiliza.
Najiuliza hii ya mara ya pili ilkuwa imeexpaya ama vipi,.?
Naombeni ushauri.
Ila unapointi nzr mwanamke unafaa Kwa kutiduaIkubali rangi yako wewe achana na mikorogo. Tafuta mafuta ya kusoftisha rangi yako bila kuchubua.
Madhara ya mikorogo ni makubwa, hasa uzeeni tunawaona wanavyoteseka.
BTW ulikuwa unatumia 'lotion' gani?
Umeshaanza ule ujinga wako, ukirudia tena nakuignore.Ila unapointi nzr mwanamke unafaa Kwa kutidua
Me mwenyewe nimeshangaa.Kumbe ni mwanaume [emoji15][emoji15][emoji47][emoji47][emoji848]
Kwanini hujiamini??
Bila shaka elimu yako ni darasa la saba