Low IQ Tanzania, wanafurahia Polisi kuondolewa barabarani!

Low IQ Tanzania, wanafurahia Polisi kuondolewa barabarani!

Ile njia ya malamba wamepangiana muda kabisa na siku,kuna wa gogoni,staki shari na wa osterbay yan bajaj,carry,daladala,gari za mizigo,toyo n.k uwa wanaipata fresh,tena bajaj muda mwingine zinaishia ndani ndani huko kuwakimbia basi uwa wanawafuata hadi huko uswazi,sasa trafiki hao utasema wanaangalia usalama au ni rushwa tu
 
Polisi hawana msaada, ziwekwe speed radars, camera hii itasaidia sana maana watu watafata sheria, faini kwa speeding iwe kubwa hata 100,000 na hapo utaletewa tu taarifa yenye control number ambapo utapewa siku za kulipa.

Speed radars auto ni ngumu kwa mtu kuanza lia apunguziwe
Utawala upi huo wakuweka speed radars? Aiiiiiiiii!!!
 
Huo ni ujinga Sana,

Kuna maeneo bila traffic wengi utatokea mwingi Sana. Barabarani daladala zinapack kila eneo. Kama kweli unaendesha gari siku 1 pita barabara ya Tandale - sinza utaona daladala zinavyopaki kwenye barabara na kuwa usumbufu.


Kuna daladala Zinasimama sehemu sio za vituo, kabla ya maamuzi yoyote WAnasiasa wangepaswa kujiuliza hizi tabu zitamalizwa vipi

Sent from my SM-A032F using JamiiForums mobile app

Ni mara ngapi izo daladala zinasimama ovyo barabarani na hawachukuliwi hatua?askari hawapo?daladala haisimami kwenye zebra na haichukuliwi hatua sasa usisimame wewe mwenye gari ndogo!!kwenye mataa bajaji hazisimami na hawazikamati kwa sababu gani??wanaolia Humu wengi wenye gari ndogo na Ndio huongoza kwa kusingiziwa makosa
 
Kila ofisi wahlifu wapo, hebu nenda Mahospitalini, Tamisemi, Mabaraza ya ardhi, Mahakamani, n.k kote Malalamiko yapo, kwa hiyo nako wapunguzwe?? We huna kosa, unaogopaje askari?? Hebu tuanzie hapo!

Kuna wakati Askari ambao si waaminifu wanasingia watu makosa!!ukiwa unatoka mwenge mpakani ukunje mataa kuelekea makongo kuna zebra!!taa zilipowaka nikavuka mara paap askari kanisimamisha!akanambia leta leseni yako nami bila kuchelewa nikampatia,akanambia nakuandikia faini umesimama mbele ya zebra,nikamwambia hapana ni hao wawili mimi nilikua nyuma yao!!akaja mwenzie Muungwana akamwambia hapana si huyu ni hawa wawili!!kwa hasira niliendesha Gari kwa jazba huend ngesababisha ajali
 
.ulikiwa upigaji tu. Iweje employee atumie gari yake kufanya kazi ya serikali KM 100 toka ofisini. Itakua saba wee
.
[

QUOTE="Kijakazi, post: 43313712, member: 3657"]
Kila siku wanazika watu, wanalemaa, ukienda hospitalini majeruhi wa ajali wamejaa, nchi ambayo Dereva amebeba roho za watu zaidi ya 50 anakuja asubuhi kuanza safari amelewa tayari.

Kiongozi wao anasema Polisi waondoke barabarani kwamba wanagasi madereva, swali ni kwamba and it’s rhetorical, je, Polisi huwa anakuonea akikumata au ni kweli unakuwa na kosa?

90% ya ajali Tanzania ni uzembe wa madereva au kutokufwata Sheria za barabarani, kwa nchi kama Tanzania ile tu kujua kwamba kuna Polisi barabarani kunaokoa maisha ya watu wengi tu, lkn leo hii some psychopaths wanaondoa Polisi na anasifiwa, lkn yeye ajali hazimhusu kwani ana msafara kila mahali.

Jamii yenye low IQ ni ile isiyoweza kujifunza na kurudia makosa yale yale kila siku, mpaka siku lori au basi linaloendeshwa na Mlevi limalize familia yako yote mkiwa njiani kwenda Xmas labda akili itawajia waliobakia, …
[/QUOTE]
 
Kila siku wanazika watu, wanalemaa, ukienda hospitalini majeruhi wa ajali wamejaa, nchi ambayo Dereva amebeba roho za watu zaidi ya 50 anakuja asubuhi kuanza safari amelewa tayari.

Kiongozi wao anasema Polisi waondoke barabarani kwamba wanagasi madereva, swali ni kwamba and it’s rhetorical, je, Polisi huwa anakuonea akikumata au ni kweli unakuwa na kosa?

90% ya ajali Tanzania ni uzembe wa madereva au kutokufwata Sheria za barabarani, kwa nchi kama Tanzania ile tu kujua kwamba kuna Polisi barabarani kunaokoa maisha ya watu wengi tu, lkn leo hii some psychopaths wanaondoa Polisi na anasifiwa, lkn yeye ajali hazimhusu kwani ana msafara kila mahali.

Jamii yenye low IQ ni ile isiyoweza kujifunza na kurudia makosa yale yale kila siku, mpaka siku lori au basi linaloendeshwa na Mlevi limalize familia yako yote mkiwa njiani kwenda Xmas labda akili itawajia waliobakia, …
Police hawana msaada sana maana hata magari hawakagui zaidi ya kutaka hela tu.......
 
Hakuna anayelalamikia askari kukagua mabasi kabla ya safari au kuwapima kilevi madereva kabla ya kuanza safari.
Kinacholalamikiwa ni usumbufu au kero ya kusimamishwa barabarani mara nyingi bila sababu za msingi, na mara nyingi ikiwa ni kutafuta zile zilizoitwa za kisafisha viatu.
 
Hongera mzee wangu Kinana kwa kulisema hadharani kero ya kuwepo kwa wingi polisi wa usalama barabarani hii nimekuunga mkono. Chukua mfano mdogo wa barabara ya kutoka Arusha kwenda ngorongoro, kona ya Nairobi kuna trafiki wanakagua, hatua chache kufika kona ya mbauda wapo wanakagua, mbele kidogo makahawani wapo wanakagua,uwanja wa ndege wapo wanakagua,mateves wapo wanakagua, haki Rod wapo wanakagua,kisongo wapo wanakagua,meserani duka bovu wapo, mbele ya nanja wapo, barabara ya redo school wapo,mbuyuni wapo, makuyuni wapo,mtowambu wapo,manyara wapo, marera wapo. Vituo vote hiyo gari moja inakaguliwa vitu gani?
 
kuna nyimbo ilee ya wagosi wa kaya inaeleza kero za trafic hasa rushwa za bila sababu,"hayaa haa trafki huyooo,[emoji445][emoji444]
endesha gari kutoka Dar mpaka Tunduma au Kahama alafu utapata majibu ya kero za trafic.
 
Kila siku wanazika watu, wanalemaa, ukienda hospitalini majeruhi wa ajali wamejaa, nchi ambayo Dereva amebeba roho za watu zaidi ya 50 anakuja asubuhi kuanza safari amelewa tayari.

Kiongozi wao anasema Polisi waondoke barabarani kwamba wanagasi madereva, swali ni kwamba and it’s rhetorical, je, Polisi huwa anakuonea akikumata au ni kweli unakuwa na kosa?

90% ya ajali Tanzania ni uzembe wa madereva au kutokufwata Sheria za barabarani, kwa nchi kama Tanzania ile tu kujua kwamba kuna Polisi barabarani kunaokoa maisha ya watu wengi tu, lkn leo hii some psychopaths wanaondoa Polisi na anasifiwa, lkn yeye ajali hazimhusu kwani ana msafara kila mahali.

Jamii yenye low IQ ni ile isiyoweza kujifunza na kurudia makosa yale yale kila siku, mpaka siku lori au basi linaloendeshwa na Mlevi limalize familia yako yote mkiwa njiani kwenda Xmas labda akili itawajia waliobakia, …
Watanzania kazi yao ni kupinga kila kitu hata kama anaujua ukweli atapinga tu, Kinana kasema wapunguzwe hasa walio karibu karibu, sasa kama trafic wa kituo A amekukagua na hakuna muingio wa barabara huyu wa kituo B anakukagua nini tena? Angesema waongezwe mngekosoa yan nikupinga kila kitu
 
Kila siku wanazika watu, wanalemaa, ukienda hospitalini majeruhi wa ajali wamejaa, nchi ambayo Dereva amebeba roho za watu zaidi ya 50 anakuja asubuhi kuanza safari amelewa tayari.

Kiongozi wao anasema Polisi waondoke barabarani kwamba wanagasi madereva, swali ni kwamba and it’s rhetorical, je, Polisi huwa anakuonea akikumata au ni kweli unakuwa na kosa?

90% ya ajali Tanzania ni uzembe wa madereva au kutokufwata Sheria za barabarani, kwa nchi kama Tanzania ile tu kujua kwamba kuna Polisi barabarani kunaokoa maisha ya watu wengi tu, lkn leo hii some psychopaths wanaondoa Polisi na anasifiwa, lkn yeye ajali hazimhusu kwani ana msafara kila mahali.

Jamii yenye low IQ ni ile isiyoweza kujifunza na kurudia makosa yale yale kila siku, mpaka siku lori au basi linaloendeshwa na Mlevi limalize familia yako yote mkiwa njiani kwenda Xmas labda akili itawajia waliobakia, …
Akili inayoamini kuwa alisemalo mtawala hata Kama linatia kinyaa Ni sahihi. Watawala watatawala Sana kwa sababu wananchi wengi hatuna elimu ya kufikiri kabla ya kushangilia kauli za watawala. Wazee wa kusafirisha twiga kwenye ndege hawataki mizigo yao icheleweshe na ndo sababu kubwa wamerudi kwa kasi yake.
 
Hongera mzee wangu Kinana kwa kulisema hadharani kero ya kuwepo kwa wingi polisi wa usalama barabarani hii nimekuunga mkono. Chukua mfano mdogo wa barabara ya kutoka Arusha kwenda ngorongoro, kona ya Nairobi kuna trafiki wanakagua, hatua chache kufika kona ya mbauda wapo wanakagua, mbele kidogo makahawani wapo wanakagua,uwanja wa ndege wapo wanakagua,mateves wapo wanakagua, haki Rod wapo wanakagua,kisongo wapo wanakagua,meserani duka bovu wapo, mbele ya nanja wapo, barabara ya redo school wapo,mbuyuni wapo, makuyuni wapo,mtowambu wapo,manyara wapo, marera wapo. Vituo vote hiyo gari moja inakaguliwa vitu gani?
Ulikuwa kujiuliza ni kwa nini hao usalama barabarani wamewekwa kwenye vituo hivyo vya ukaguzi au na ww ni walewale walamba asali?.
 
Kuweka kamera kila mahali ni gharama na hawawezi kumudu na ndiyo maana badala yake Polisi wanakaa barabarani, nchi nyingine hauoni Polisi kwa maana wana teknolojia lkn hata hizo nchi kabla ya kutajirika ziliweka polisi barabarani pia!
Inategemea na vipaumbele vyetu. Tunaweza kabisa kuitumia teknolojia ya sasa kufuatilia matukio ya barabarani. Kuna matumizi mengi yasiyokuwa ya lazima ambayo kama yangetumika vyema tungeweza kulifikia lengo letu. Tusingoje hadi tuwe matajiri ili kufanya hayo kwani siku zote tutaendelea kulakamikia umaskini na unyonge ambao si kweli kabisa.
 
Kila siku wanazika watu, wanalemaa, ukienda hospitalini majeruhi wa ajali wamejaa, nchi ambayo Dereva amebeba roho za watu zaidi ya 50 anakuja asubuhi kuanza safari amelewa tayari.

Kiongozi wao anasema Polisi waondoke barabarani kwamba wanagasi madereva, swali ni kwamba and it’s rhetorical, je, Polisi huwa anakuonea akikumata au ni kweli unakuwa na kosa?

90% ya ajali Tanzania ni uzembe wa madereva au kutokufwata Sheria za barabarani, kwa nchi kama Tanzania ile tu kujua kwamba kuna Polisi barabarani kunaokoa maisha ya watu wengi tu, lkn leo hii some psychopaths wanaondoa Polisi na anasifiwa, lkn yeye ajali hazimhusu kwani ana msafara kila mahali.

Jamii yenye low IQ ni ile isiyoweza kujifunza na kurudia makosa yale yale kila siku, mpaka siku lori au basi linaloendeshwa na Mlevi limalize familia yako yote mkiwa njiani kwenda Xmas labda akili itawajia waliobakia, …
Low IQ.. ... Mtoa wazo atakuwa wapi... Kama washangiliaji ni kiwango hiki...!!!
 
Jiji la Nairobi nchini Kenya limejaa camera Barabarani wao walipata wapi hizo fedha Za kuweka camera? Tanzania trafic ni kitengo cha IGP, na MaRPC
Pesa zetu ni za kugharamia ukopaji wa posho za wanono !!!
 
Mleta mada anashindwa kutofautisha Kati ya kupunguzwa na kuondolewa.
Hao wanapunguzwa.ilikuwa kila Kona ukikatiza Hawa hapa.
Nitakupa mfano mmoja.siku moja nilikuwa nimetoka kariakoo nimetumwa kununua vitu vya hardware nikakodi gari kutoka kariakoo nirudi home bagamoyo na mzigo.dereva akashauri ili kupunguza matrafiki tupitie njia ya kawe tukatokee boko ununio.
Bwanaa wee.kila tukikata Kona Hawa hapa anatoa elfu 5.mpaka tunafika tumekutana na matrafiki Mara 6 na kote katoa hela na hapo tulibeba milango
 
Hata malor yana stand Yao Mkuu Iko pale Kurasin. Mengine pia yanakuwa na stand zao tatizo umekariri tu bus stand
Si kila Lori linaloingia barabarani litokea Stendi kwa sababu si kila Lori linatika Dar, mengine yatokea Ubaruku kuchukua viazi mviringo, acha kukariri ukidhani nchi yote ni Dar.
 
Kwahiyo hao trafiki wanazuia ajali?

Kinana ameshauri wapunguzwe sio waondolewe, logic ni kwamba wako wengi sana inafika hatua wanasimamisha magali unnecessarily yaani ilimradi usumbufu tu.

Inapelekea watu wapate usumbufu na kuchelewa kwenye shughuli zao.

Kwa wenzetu pia hali iko ivo?

Nijibu we koplo mwenye low IQ
Unaandika "habali" halafu unajiona una IQ kubwa?
 
Back
Top Bottom