Good Father
JF-Expert Member
- Feb 28, 2014
- 10,321
- 18,574
Wahalifu hamjifichi
Kila ofisi wahlifu wapo, hebu nenda Mahospitalini, Tamisemi, Mabaraza ya ardhi, Mahakamani, n.k kote Malalamiko yapo, kwa hiyo nako wapunguzwe?? We huna kosa, unaogopaje askari?? Hebu tuanzie hapo!Trafiki hawazuii ajali..wanatumia barabara kama kitega uchumi...
Wanakuandikia tu kwani leseni si umeshamkabidhi?Kwa nn utoe rushwa kama huna kosa??
Kweli kabisa !Japo baadhi ya polisi wanapenda rushwa lakini uwepo wao tu unawafanya madereva wasimamie sheria.Ajali nyingi zinasababishwa na mwendo kasi.kuwapunguza polisi barabarani tutegemee maafa zaidi hasa mikoa ya kanda ya ziwa maana umbali was huko huwafanya madereva waendeshe kwa kasi
Kosa haliwezi kosekana wakikuamulia watalipata tu! Unless otherwise uwe jeuri tu.Kila ofisi wahlifu wapo, hebu nenda Mahospitalini, Tamisemi, Mabaraza ya ardhi, Mahakamani, n.k kote Malalamiko yapo, kwa hiyo nako wapunguzwe?? We huna kosa, unaogopaje askari?? Hebu tuanzie hapo!
Kama ni kero basi badilisheni sheria ili wasiwepo, sio kutumia majukwaa ya siasa kutafuta umaarufu, halafu mnamtega IGP mpya, aondoe askari, ajali zikizidi mumshtaki kwa kukiuka katiba na sheria sio??!!Ndio maana nimemuuliza analo gari? Trafiki ni kero sana tena sana. Anza kutoka posta mpaka kibaha uone.
Wajinga ni Wengi sana na wanazidi kuongezeka kwa KASI ya AjabuKila siku wanazika watu, wanalemaa, ukienda hospitalini majeruhi wa ajali wamejaa, nchi ambayo Dereva amebeba roho za watu zaidi ya 50 anakuja asubuhi kuanza safari amelewa tayari.
Kiongozi wao anasema Polisi waondoke barabarani kwamba wanagasi madereva, swali ni kwamba and it’s rhetorical, je, Polisi huwa anakuonea akikumata au ni kweli unakuwa na kosa?
90% ya ajali Tanzania ni uzembe wa madereva au kutokufwata Sheria za barabarani, kwa nchi kama Tanzania ile tu kujua kwamba kuna Polisi barabarani kunaokoa maisha ya watu wengi tu, lkn leo hii some psychopaths wanaondoa Polisi na anasifiwa, lkn yeye ajali hazimhusu kwani ana msafara kila mahali.
Jamii yenye low IQ ni ile isiyoweza kujifunza na kurudia makosa yale yale kila siku, mpaka siku lori au basi linaloendeshwa na Mlevi limalize familia yako yote mkiwa njiani kwenda Xmas labda akili itawajia waliobakia, …
Kwa Akili zako hujui hawa Polisi ndio wanawaelimisha Madereva juu ya kuzuia AJALI?Ukweli usemwe mtoa mada dishi limeyumba
trafki hawazuii ajali madereva ndio wanazuia
MTU mzima kama yule anapoongea uongo wa wazi lazima tumshangae!! Eti kila mita 100 kuna askari!! Hao waliopo tu hawatoshi, hao kupangwa hivyo wanatokea wapi??Nani kasema wanaondolewa. Yeye ametoa wazo/ maoni polisi wapunguzwe barabarani. Jeshi limesema litalitazama huko.
Sijaona mahali kua watawaondoa polisi barabarani
Mwenye uwezo wa kushawishi fungu la kamera, anashauri tu kuondoa askari!!Low IQ Tanzania washindwa kufikiria kuweka camera barabarani kupima speed Za magari wanakubali mtu kulipwa mshahara kwa kujificha porini na simu au kamera kupima speed Za magari.
Vichwa vyenu mnavitumia kufugia nywele tu! Nani kasema watolewe!? Wameshauriwa kupunguza idadi ya vituo vya trafic hasa vilivyokaribiana ili kupunguza usumbufu na kuokoa muda.Kila siku wanazika watu, wanalemaa, ukienda hospitalini majeruhi wa ajali wamejaa, nchi ambayo Dereva amebeba roho za watu zaidi ya 50 anakuja asubuhi kuanza safari amelewa tayari.
Kiongozi wao anasema Polisi waondoke barabarani kwamba wanagasi madereva, swali ni kwamba and it’s rhetorical, je, Polisi huwa anakuonea akikumata au ni kweli unakuwa na kosa?
90% ya ajali Tanzania ni uzembe wa madereva au kutokufwata Sheria za barabarani, kwa nchi kama Tanzania ile tu kujua kwamba kuna Polisi barabarani kunaokoa maisha ya watu wengi tu, lkn leo hii some psychopaths wanaondoa Polisi na anasifiwa, lkn yeye ajali hazimhusu kwani ana msafara kila mahali.
Jamii yenye low IQ ni ile isiyoweza kujifunza na kurudia makosa yale yale kila siku, mpaka siku lori au basi linaloendeshwa na Mlevi limalize familia yako yote mkiwa njiani kwenda Xmas labda akili itawajia waliobakia, …
Mwezi mmoja ni parefu sana ! Tuwaondoe kwa siku kumi tu uone mziki wa kugongana uso kwa uso na ule mziki wa kuuziana cheche wanavyosema wenyewe !!Watanzania wengi ni wafuata mkumbo na wasiojua kipi wanakitaka kipi hwakitaki.
Sio madereva tu watanzania walio wengi hawawezi kujisimamia, wao ni bora wafike hawana miguu ila wamefika kwa wakati
Tuwaondoe traffic mwezi mmoja tu alafu turudi hapa tujadili hii mada.
Kama ni kero basi badilisheni sheria ili wasiwepo, sio kutumia majukwaa ya siasa kutafuta umaarufu, halafu mnamtega IGP mpya, aondoe askari, ajali zikizidi mumshtaki kwa kukiuka katiba na sheria sio??!!
Vichwa vyenu mnavitumia kufugia nywele tu! Nani kasema watolewe!? Wameshauriwa kupunguza idadi ya vituo vya trafic hasa vilivyokaribiana ili kupunguza usumbufu na kuokoa muda.
Sasa we kama umesahau leseni, si utaipeleka, akikwambia gari peleka kituoni, unamwambia nawahi hospital nakuletea ndani ya saa 72 unatia gia unaondoka zako!!Hakuna mahala IGP kaambiwa aondoe askari.
Ameshauri apunguze trafiki barabarani wengi wapo unnecessary.
Juzi nimepita njia ya temeke kabla ya kufika mitaa ya vetenari pale kuna trafiki sita.
Acheni upuuzi, kwani katika jeshi la Polisi kitengo ni utrafiki tu?
GD inawahusu wababaishaji nyie
Mtafarakana sana ila ndo ushauri ushaenda kwa boss wenu na ashaanza kuufanyia kazi.
Mnatunyanyasa sana, unakamata gari mtu kasahau leseni home anakwambia kaisahau unakomaa apeleke gari kituoni wakati sheria yenyewe inatoa room ya mtu kuileta leseni ndani ya siku kadhaa.
Hovyo sana polisi wa std 7 na form four felia mnatusumbua sana
Kila siku wanazika watu, wanalemaa, ukienda hospitalini majeruhi wa ajali wamejaa, nchi ambayo Dereva amebeba roho za watu zaidi ya 50 anakuja asubuhi kuanza safari amelewa tayari.
Kiongozi wao anasema Polisi waondoke barabarani kwamba wanagasi madereva, swali ni kwamba and it’s rhetorical, je, Polisi huwa anakuonea akikumata au ni kweli unakuwa na kosa?
90% ya ajali Tanzania ni uzembe wa madereva au kutokufwata Sheria za barabarani, kwa nchi kama Tanzania ile tu kujua kwamba kuna Polisi barabarani kunaokoa maisha ya watu wengi tu, lkn leo hii some psychopaths wanaondoa Polisi na anasifiwa, lkn yeye ajali hazimhusu kwani ana msafara kila mahali.
Jamii yenye low IQ ni ile isiyoweza kujifunza na kurudia makosa yale yale kila siku, mpaka siku lori au basi linaloendeshwa na Mlevi limalize familia yako yote mkiwa njiani kwenda Xmas labda akili itawajia waliobakia, …