Low IQ Tanzania, wanafurahia Polisi kuondolewa barabarani!

Low IQ Tanzania, wanafurahia Polisi kuondolewa barabarani!

Hakuna mahala IGP kaambiwa aondoe askari.
Ameshauri apunguze trafiki barabarani wengi wapo unnecessary.


Juzi nimepita njia ya temeke kabla ya kufika mitaa ya vetenari pale kuna trafiki sita.

Acheni upuuzi, kwani katika jeshi la Polisi kitengo ni utrafiki tu?

GD inawahusu wababaishaji nyie
Mtafarakana sana ila ndo ushauri ushaenda kwa boss wenu na ashaanza kuufanyia kazi.
Mnatunyanyasa sana, unakamata gari mtu kasahau leseni home anakwambia kaisahau unakomaa apeleke gari kituoni wakati sheria yenyewe inatoa room ya mtu kuileta leseni ndani ya siku kadhaa.

Hovyo sana polisi wa std 7 na form four felia mnatusumbua sana
Traffic ni lazima uleta nidhamu barabarani kwa maana ya dereva huwa makini kuhofia buku mbili yake.
 
Sasa we kama umesahau leseni, si utaipeleka, akikwambia gari peleka kituoni, unamwambia nawahi hospital nakuletea ndani ya saa 72 unatia gia unaondoka zako!!

Sio waelewa kabisa hao jamaa. Mtu unaguliwa unawahi hospital umesahau leseni una kitambulisho cha kawaida unamuelewesha askari haelewi ndo kwanza anakuweka pembeni anaenda kwenye magari mengine hapo utasota sana lengo lake ujiongeze na usipojiongeza anakupeleka kituoni kweli wakati hata sio lazima.


Kuna mambo ya kukomalia kama kukuta dereva anaendesha gari amelewa sio mtu kasahau leseni au kioo kimepigwa na kajiwe kimeonyesha msitari mtu anakomaa nawewe utadhani umeua mtu.
 
Hakuna mahala IGP kaambiwa aondoe askari.
Ameshauri apunguze trafiki barabarani wengi wapo unnecessary.


Juzi nimepita njia ya temeke kabla ya kufika mitaa ya vetenari pale kuna trafiki sita.

Acheni upuuzi, kwani katika jeshi la Polisi kitengo ni utrafiki tu?

GD inawahusu wababaishaji nyie
Mtafarakana sana ila ndo ushauri ushaenda kwa boss wenu na ashaanza kuufanyia kazi.
Mnatunyanyasa sana, unakamata gari mtu kasahau leseni home anakwambia kaisahau unakomaa apeleke gari kituoni wakati sheria yenyewe inatoa room ya mtu kuileta leseni ndani ya siku kadhaa.

Hovyo sana polisi wa std 7 na form four felia mnatusumbua sana
Traffic ni lazima uleta nidhamu barabarani kwa maana ya dereva huwa makini kuhofia buku mbili yake.
Bila shuruti mswahili haendi
 
Wewe ndiyo mwenye low iq na kutokutembea.

Umezaliwa chato umekulia nyarugusu na hv sasa unaishi nyamirembe na kaburi lako litakua kolomije.

Kenya unaweza tembea zaidi ya km 200 bila kumuona trafik, zambia, Drc, Botswana, Uganda hata somalia pia ni hivyo hivyo.
Wacha na trafiki waanze kujiunga kwenye vikoba.
 
!
e9789e247da446e0a654c00a3d5c71a5.jpg
 
Kwahiyo hao trafiki wanazuia ajali?

Kinana ameshauri wapunguzwe sio waondolewe, logic ni kwamba wako wengi sana inafika hatua wanasimamisha magali unnecessarily yaani ilimradi usumbufu tu.

Inapelekea watu wapate usumbufu na kuchelewa kwenye shughuli zao.

Kwa wenzetu pia hali iko ivo?

Nijibu we koplo mwenye low IQ
pia hawa jamaa wapo barabarani kuomba hela ya maji au ya kupigia brush buku moja unapita ikija gari ingine wanapeana zamu so hakukua na tija yoyote
 
Wanaotaka Trafik waondolewe point yao kuu ni "rushwa" na "usumbufu"

wanaotaka trafik wabakishwe point yao kuu ni "usalama wa maisha"

Naungana na wanaotaka trafik wabaki,hao wanaotaka waondolewe sababu zao

pia ni za msingi,trafiki waelekezwe waambiwe madhaifu yao ila wasiondolewe ila

kama mishahara ya kuwalipa ipo basi nashauri waongezwe maana hawatoshi bado.
 
Kila siku wanazika watu, wanalemaa, ukienda hospitalini majeruhi wa ajali wamejaa, nchi ambayo Dereva amebeba roho za watu zaidi ya 50 anakuja asubuhi kuanza safari amelewa tayari.

Kiongozi wao anasema Polisi waondoke barabarani kwamba wanagasi madereva, swali ni kwamba and it’s rhetorical, je, Polisi huwa anakuonea akikumata au ni kweli unakuwa na kosa?

90% ya ajali Tanzania ni uzembe wa madereva au kutokufwata Sheria za barabarani, kwa nchi kama Tanzania ile tu kujua kwamba kuna Polisi barabarani kunaokoa maisha ya watu wengi tu, lkn leo hii some psychopaths wanaondoa Polisi na anasifiwa, lkn yeye ajali hazimhusu kwani ana msafara kila mahali.

Jamii yenye low IQ ni ile isiyoweza kujifunza na kurudia makosa yale yale kila siku, mpaka siku lori au basi linaloendeshwa na Mlevi limalize familia yako yote mkiwa njiani kwenda Xmas labda akili itawajia waliobakia, …
Ingekuwa jamii yenye high IQ hata ccm isingekuwepo madarakani.
 
Wanaotaka Trafik waondolewe point yao kuu ni "rushwa" na "usumbufu"

wanaotaka trafik wabakishwe point yao kuu ni "usalama wa maisha"

Naungana na wanaotaka trafik wabaki,hao wanaotaka waondolewe sababu zao

pia ni za msingi,trafiki waelekezwe waambiwe madhaifu yao ila wasiondolewe ila

kama mishahara ya kuwalipa ipo basi nashauri waongezwe maana hawatoshi bado.
TRafic anacheza kikoba Cha laki 1 ataAchaje kukubambikia kosa
 
Kila siku wanazika watu, wanalemaa, ukienda hospitalini majeruhi wa ajali wamejaa, nchi ambayo Dereva amebeba roho za watu zaidi ya 50 anakuja asubuhi kuanza safari amelewa tayari.

Kiongozi wao anasema Polisi waondoke barabarani kwamba wanagasi madereva, swali ni kwamba and it’s rhetorical, je, Polisi huwa anakuonea akikumata au ni kweli unakuwa na kosa?

90% ya ajali Tanzania ni uzembe wa madereva au kutokufwata Sheria za barabarani, kwa nchi kama Tanzania ile tu kujua kwamba kuna Polisi barabarani kunaokoa maisha ya watu wengi tu, lkn leo hii some psychopaths wanaondoa Polisi na anasifiwa, lkn yeye ajali hazimhusu kwani ana msafara kila mahali.

Jamii yenye low IQ ni ile isiyoweza kujifunza na kurudia makosa yale yale kila siku, mpaka siku lori au basi linaloendeshwa na Mlevi limalize familia yako yote mkiwa njiani kwenda Xmas labda akili itawajia waliobakia, …
Shiiiiiijj........ ongea polepole. Low IQ ndicho kigezo kikuu cha kupata ajira katika Jeshi la Poisi. Div. 1 na 2 hawatakiwi katika Jeshi la Polisi. Yasemekana wakiajiriwa, wanakuwa na 'option' ya kuacha kazi na kuajiriwa kwingineko. Polisi anatakiwa asiwe na sifa ya kupata ajira nje ya Jeshi la Polisi. Acha kabisa kutaja mambo ya IQ!
 
Kila siku wanazika watu, wanalemaa, ukienda hospitalini majeruhi wa ajali wamejaa, nchi ambayo Dereva amebeba roho za watu zaidi ya 50 anakuja asubuhi kuanza safari amelewa tayari.

Kiongozi wao anasema Polisi waondoke barabarani kwamba wanagasi madereva, swali ni kwamba and it’s rhetorical, je, Polisi huwa anakuonea akikumata au ni kweli unakuwa na kosa?

90% ya ajali Tanzania ni uzembe wa madereva au kutokufwata Sheria za barabarani, kwa nchi kama Tanzania ile tu kujua kwamba kuna Polisi barabarani kunaokoa maisha ya watu wengi tu, lkn leo hii some psychopaths wanaondoa Polisi na anasifiwa, lkn yeye ajali hazimhusu kwani ana msafara kila mahali.

Jamii yenye low IQ ni ile isiyoweza kujifunza na kurudia makosa yale yale kila siku, mpaka siku lori au basi linaloendeshwa na Mlevi limalize familia yako yote mkiwa njiani kwenda Xmas labda akili itawajia waliobakia, …
Mpumbavu wewe, ajali za mijini ni ngapi.
Au nawe unakurupuka na kuja kuleta hoja za kijinga hapa.
Kinana kasema ma trafiki waondolewe mijini
 
Kwahiyo hao trafiki wanazuia ajali?
msome tena mletamada,na huu sio muda wa kulewa.
Kinana ameshauri wapunguzwe sio waondolewe
unaelewa maana ya neno wapunguzwe???acheni upumbavu watz siasa zinawadumaza.
yaani wewe unafikiri watapunguzwa kwa kuvalishwa nguo nyeusi au??wataondolewa barabarani wabaki ambao wewe na yeye msivyo na akili mnaona wanatosha,sijui wangapi??
, logic ni kwamba wako wengi sana inafika hatua wanasimamisha magali unnecessarily yaani ilimradi usumbufu tu.
narudia tena acha ujinga,unahisi kusumbuliwa na traffic!!!unatakiwa ujue kwamba hata waliopo hawatoshi.
Inapelekea watu wapate usumbufu na kuchelewa kwenye shughuli zao.
una shughuli ipi wewe ya maana unayochelewa kwa akili hizi!!!
Kwa wenzetu pia hali iko ivo?
wenzenu akina nani??umetembea nchi gani wewe ambayo haina points za ukaguzi??
Nijibu we koplo mwenye low IQ
kama huyu koplo ana low IQ,wewe na mwindaji wa tembo,mko bellow average.
yule anazeeka tutamsamehe,bahati mbaya wewe utakuwa ni kijana wa hovyo una 34yrs tu.
 
Traffic ni lazima uleta nidhamu barabarani kwa maana ya dereva huwa makini kuhofia buku mbili yake.
Bila shuruti mswahili haendi
Ila trafiki aliekuwepo magogoni 2015-2021 mlimuita majina yote ya hovyo. Watanzania tumeshindikana kwa unafiki. Mtu anasapoti upande unaofeva hata kama ni wa ibilisi.
 
Back
Top Bottom